Thanks mkuuVipo, tafuta bookshop kubwa za Dar
Pius Hugo high I high high in jug lithium hui Hui this buoy you buy hui took out I guilty KTU Hugh thug high I hit hut juju I by youth you I it I of Kikuyu you Yuki yoko yuyyiohhjjjvzHiki cha Maisha na Mafanikio sio cha Munga. Collections ya kazi za Munga zimetengenezewa kitabu kinaitwa ''Jitambue''. Nilkinunuaga Kariakoo kwenye meza ya wauza vitabu. Ntakuangalizia kama kuna Contacts mle then ntakutumia kiongozi. Ntaku-pm my number kwa mawasilaino zaidi.
Hiki cha Maisha na Mafanikio sio cha Munga. Collections ya kazi za Munga zimetengenezewa kitabu kinaitwa ''Jitambue''. Nilkinunuaga Kariakoo kwenye meza ya wauza vitabu. Ntakuangalizia kama kuna Contacts mle then ntakutumia kiongozi. Ntaku-pm my number kwa mawasilaino zaidi.
Kwa muda nimekuwa natamani kuwa na club kwa ajili ya watu kupata nafasi kusoma vitabu mbali mbali na taarifa mbal mbali ili kupanua uwezo na uelewa wa mambo mbali mbali katika maisha yetu. Club hii ningependa tuwekee zaid vitabu vya soft copy ili kufanya watu wengi waweze kupata nafasi ya kusoma vitabu hivyo ,pia tutatumia club hii kuweza kupeana ushauri na mbinu nzuri za usomaji wa vitabu , kuandika vitabu na pia kuuliza na kuelekezwa majina mbali mbali ya vitabu na hata wapi vinauzwa au kupatikana ( soft copy na hardcopy)
Malengo ya club hii hapa jf
1. Kupeana hamasa na kujenga/kuboresha tabia ya watu kupenda kusoma vitabu na taarifa mbali mbali
2.kuweza kupata nafasi ya vitabu mbali mbali , majina ya vitabu hivyo , na majarida mbali mbali
3. Kujenga na kupanua wigo kwa watu wengi kuweza kujifunza mambo mengi ili kupeana ujuzi kupitia vitabu
4.kupeana changamoto za kutafuta msomaji mzuri wa vitabu ( hapa vigezo vitajadiliwa na wa club ili kupata msomaji mzuri)
5. Kutakuwa na zawadi kwa msomaji mzuri wa vitabu(pia vigezo na zawadi vitajadiliwa na wana club)
Karibuni sana kwenye ulimwengu mpya wa kusoma vitabu kutokea hapa hapa JF
Binafsi ntaleta vitabu soft copy chache hapa na wengine wataendelea kuongeza vingine
Pius Hugo high I high high in jug lithium hui Hui this buoy you buy hui took out I guilty KTU Hugh thug high I hit hut juju I by youth you I it I of Kikuyu you Yuki yoko yuyyiohhjjjvzHiki cha Maisha na Mafanikio sio cha Munga. Collections ya kazi za Munga zimetengenezewa kitabu kinaitwa ''Jitambue''. Nilkinunuaga Kariakoo kwenye meza ya wauza vitabu. Ntakuangalizia kama kuna Contacts mle then ntakutumia kiongozi. Ntaku-pm my number kwa mawasilaino zaidi.
Hiki cha Maisha na Mafanikio sio cha Munga. Collections ya kazi za Munga zimetengenezewa kitabu kinaitwa ''Jitambue''. Nilkinunuaga Kariakoo kwenye meza ya wauza vitabu. Ntakuangalizia kama kuna Contacts mle then ntakutumia kiongozi. Ntaku-pm my number kwa mawasilaino zaidi.
Kwa muda nimekuwa natamani kuwa na club kwa ajili ya watu kupata nafasi kusoma vitabu mbali mbali na taarifa mbal mbali ili kupanua uwezo na uelewa wa mambo mbali mbali katika maisha yetu. Club hii ningependa tuwekee zaid vitabu vya soft copy ili kufanya watu wengi waweze kupata nafasi ya kusoma vitabu hivyo ,pia tutatumia club hii kuweza kupeana ushauri na mbinu nzuri za usomaji wa vitabu , kuandika vitabu na pia kuuliza na kuelekezwa majina mbali mbali ya vitabu na hata wapi vinauzwa au kupatikana ( soft copy na hardcopy)
Malengo ya club hii hapa jf
1. Kupeana hamasa na kujenga/kuboresha tabia ya watu kupenda kusoma vitabu na taarifa mbali mbali
2.kuweza kupata nafasi ya vitabu mbali mbali , majina ya vitabu hivyo , na majarida mbali mbali
3. Kujenga na kupanua wigo kwa watu wengi kuweza kujifunza mambo mengi ili kupeana ujuzi kupitia vitabu
4.kupeana changamoto za kutafuta msomaji mzuri wa vitabu ( hapa vigezo vitajadiliwa na wa club ili kupata msomaji mzuri)
5. Kutakuwa na zawadi kwa msomaji mzuri wa vitabu(pia vigezo na zawadi vitajadiliwa na wana club)
Karibuni sana kwenye ulimwengu mpya wa kusoma vitabu kutokea hapa hapa JF
Binafsi ntaleta vitabu soft copy chache hapa na wengine wataendelea kuongeza vingine
hahahaa..............................πππππππππ
Wale wenzangu na mie tunaokaa na kazi siku nenda siku rudi haiishi, tunaosubiri kazi zipungue ndo tufanye vitu fulani, tunaotaka Mungu aongeze siku iwe na saa 33 - wale wa ".... nitafanya kesho, nitafanya baadae, hii ngumu sana nitafanya nikimaliza hiki au kile, hii inachusha labda nibadilishe mazingira ndo nifanye, hii natupilia mbali kama ni kazi na nifukuzwe...." tusome "Eat That frog: 21 Great ways to stop procrastinating and get more done in less time" by Brian Tracy.
Thanks Nandera, huyu ni mimi typical!
Ntakitafuta hiki.. sounds interesting.
Hahahaaa..... unajikuta hujui uanzeje, uanze na nini uishie na nini mwisho unazira unaamua kujishindia JF. Kitafute mpendwa; hakika hutakuwa yule wa mwanzo.
Tuma tenaNa hapa vp....
Tuma tenaNa hapa vp....