Bookworms of JF, what's your favorite book (s) and why?

Hapo umeandika The Secret The Power sijaelewa.

Chochote utakachokisoma mimi naona ni sawa tuu. Mimi nilianza na The Magic na nilikipenda sana japo ni cha tatu.
 
Hapo umeandika The Secret The Power sijaelewa.

Chochote utakachokisoma mimi naona ni sawa tuu. Mimi nilianza na The Magic na nilikipenda sana japo ni cha tatu.
Yes nimeandika hivyo kwa maana hapa kwenye page ya kwanza nadhani ni cover pia wameanza kuandika the Secret the POWER. Au kwa kuwa wataalamu mnaviita the secret na mkavipa na series kabisa.
Yote kwa yote asante kwa ufafanuzi nikimaliza hiki nitahamia kwenye hicho cha The Magic naona Author ni yule yule
 
Okay nimeelewa.
Vyote ni The Secret.
 
Na huo ndio usomaji ufaao. Mimi nimesoma kitabu cha istihali za uhalifu nimekimaliza. Ila nimejikuta sijakielewa vizuri maana nilikisoma kwa pupa, Sasa nakirudia taratibu ili nielewa kila andiko la kitabu hiki
 
To kill a mockingbird
The fault in our stars
"To Kill a Mockingbird "
Hiki kitabu nimetoka siku sio nyingi kumlalamikia chaliifrancisco kwamba nimesoma hadi chapter 4 bado naona siyo kizuri japo kinasifiwa.
Vipi kinakuwa kizuri huko mbeleni nisome zaidi? Au ilitakiwa hadi chapter 4 kiwe kimeshakuwa kizuri YOUNGBLOOD?
 
Ujue nimeona hata aibu kuleta mrejesho maana naona pia hata sielewi vizuri. Ila niko determined kukisoma nikielewe hata ikiwezekana kurudia twice.
 
Jinsi unavyosoma ndio unazidi kukipenda,kinaelezea mambo yanayoendelea sasa USA.

Niwe mkweli mwenyewe nilikisoma mara ya kwanza nikaacha,nikarudia tena nikaacha,mara ya tatu ndio nimekimaliza.
 
Ujue nimeona hata aibu kuleta mrejesho maana naona pia hata sielewi vizuri. Ila niko determined kukisoma nikielewe hata ikiwezekana kurudia twice.
Mimi nimekisoma nimemaliza,shida yake ni English iliyoyumika mle haiko sawa na kwenye vitabu vingine
 

Ni kitabu kizuri sana Paula.

Sitaki nikuharibie utamu kama ndio unakianza.

Mfuatalie tu Jean Louis Atticus(Scout) na wenzake wanayotafuta kum -expose Boo Radley ambaye ni reclusive fulani hivi, wakidhani kwamba labda ni mtu mwovu na jinsi wanavyokuja kugundua kwamba ni mtu mwema tu ambaye alikuwa mhanga wa primitive harshness na ignorance ya baba yake.

“It is a sin to kill a mocking bird.
Why should anyone kill something which only seek to please?” (Sorry I don’ t remember the exact qoutation)

I may also add, why kill at all?

Unaweza tokwa na machozi!
 
Tangu mwaka umeanza nesoma vitabu kadhaa
To kill a mockingbird
The fault in our star
Everything is fucked
Ego is the enemy-Hiki nimekirudia ni kama bibilia kwangu
 
Kwakweli unaweza kutokwa na machozi
 
Jinsi unavyosoma ndio unazidi kukipenda,kinaelezea mambo yanayoendelea sasa USA.

Niwe mkweli mwenyewe nilikisoma mara ya kwanza nikaacha,nikarudia tena nikaacha,mara ya tatu ndio nimekimaliza.
Okay, mimi nimedownload hadi movie yake na Audiobook. Labda nikiiangalia nikirudi kukisoma nitakipenda.
 
Huko nilikuwa sijafika. Kama ni hivo inaonekana huko mbele ni kitamu.
Asante Nowonmai.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…