Naam harakati zinaendelea kwenda vizuri.Glad to have you back, Safuher.
Nina imani hizo "harakati" zimeenda sawa na mategemeo yako.
Karibu tena.
Wamwandika kwa kiingereza mkuu auWajapan wana maandiko mazuri basi tu hawapati Airtimes. Nipo nacho kimoja nakipitia pitia cha Morihei Ueshiba. Very interesting book I take it as counterpart of Sun tzu
Good for you.[emoji117]A new bookwormer
[emoji117]Begginer
[emoji188]step_rocker.
Hivi hizo nguvu za kusoma fiction book huwa mnazitoa wapi? Mimi nilishashindwa kabisa kusoma fictionhahaha the more you read the more exciting it gets, nisikuharibie uhondo Paula endelea....
japo nakutamania maana bado story ni ndefu na nzuri huko mbele, [emoji3][emoji3]
you will be amazed, characters wote hao watakuja kujuana somehow [emoji1493][emoji1493] endelea bwana...
karibu Paula.View attachment 1924201
Wow, hongera sana.Naam harakati zinaendelea kwenda vizuri.
Sasa hivi nimeamua kujikaza nisome hiki kitabu cha Think big nimeanza kama kurasa thelathini na kitu hivi nataka nikisome kwa hizi wiki mbili.
Original language inakuwa Japanese ila vinakuwa translated kwenye lugha mbalimbali eg, English, Spanish, French wewe msomaji unachagua lugha ambayo ni rahisi kwako.Wamwandika kwa kiingereza mkuu au
Karibu sana, WANGECI WA NGUGI. Wewe sio mgeni tena.Habari za Leo wadau ,mm ni mgeni katika kundi hili la usomaji vitabu ,naomba mniruhusu niwe nashiriki katika majadiliano yenu
Vipo translated to English...Wamwandika kwa kiingereza mkuu au
| ISBN | 9789956792184 |
| Pages | 254 |
| Dimensions | 203 x 127mm |
| Published | 2015 |
| Publisher | Langaa RPCIG, Cameroon |
| Format | Paperback |
Wow, hongera sana.
Utakimaliza maana ni kifupi sana, kwangu ningekimaliza in one sitting ila wewe najui kitachukua forever maana upo na notebook pembeni
Kama vipo vyenye lugha ya kiingereza share nasi tafadhaliOriginal language inakuwa Japanese ila vinakuwa translated kwenye lugha mbalimbali eg, English, Spanish, French wewe msomaji unachagua lugha ambayo ni rahisi kwako.
Follett is an awesome storyteller and his works are well researched.
I've finished reading "The Pillars of the Earth ". Gosh, it's just so long, I thought it'd take me forever to get through all 900+ pages.
I liked the plot and setting. The story just got better and better as it went on. I thoroughly enjoyed it
I will check out the Sequel as well.
Thank you Nowonmai. I will have to keep "Triple" in mind after the Sequel.
How are you doing?
Richmen /Richmond
ISBN 9789956792184 Pages 254 Dimensions 203 x 127mm Published 2015 Publisher Langaa RPCIG, Cameroon Format Paperback NYUMA YA PAZIA
by Nkwazi Nkuzi Mhango
Nyuma Ya Pazia inazungumzia ubadhirifu unaomhusisha rais na mawaziri wake katika nchi ya Mafuriko au Abracadabra. Rais akishirikiana na waziri mkuu walileta kampuni ya kigeni ya kuua wadudu ya Richmen kuwekeza kwenye kuzalisha umeme nchini Mafurikony; Richmen to invest in power generation in Mafuriko. Kupitia rushwa na ushawishi wa wakubwa hawa Richmen ilipata tenda na kutumika kama mrija wa kuibia mabilioni ya fedha za umma toka Benki Kuu. Wananchi walipogundua jinai hii waliiangusha serikali na kuwaaadhibu watawala wao kwa kuwafunga maisha na wengine kuhukumiwa vifo. Kitabu kinaupiga kijembe tawala fisadi barani Afrika
Mkuu nisaidieOriginal language inakuwa Japanese ila vinakuwa translated kwenye lugha mbalimbali eg, English, Spanish, French wewe msomaji unachagua lugha ambayo ni rahisi kwako.
Sijakipata Ilankunda1234.Mkuu nisaidie
"The school of money"
Binafsi napenda sana vitabu vya mtindo wa Riwaya,Tamthilia,Hadithi ,na pia vitabu vinavyoelezea nadharia mbalimbali kuhusu ulimwengu ,in summary ,,any useful book of which you think may perhaps be crucial to me ,,Karibu sana, WANGECI WA NGUGI. Wewe sio mgeni tena.
Btw, what kind of books/genres do you like to read?
Thanks,Good for you.
Start with books that are short and easy to read. I would highly recommend you to start with "Man's Search for Meaning " by Victor Frankl and "How to Win Friends and Influence People", by Dale Carnegie.
I think are great books, well written and pretty short for beginners. Try them out, you would like them.
Welcome and enjoy your reading adventures #Bookworm'
Nasubiri mkuu paula paul:Sijakipata Ilankunda1234.
Satire kwa Tz
ISBN 9789956792184 Pages 254 Dimensions 203 x 127mm Published 2015 Publisher Langaa RPCIG, Cameroon Format Paperback NYUMA YA PAZIA
by Nkwazi Nkuzi Mhango
Nyuma Ya Pazia inazungumzia ubadhirifu unaomhusisha rais na mawaziri wake katika nchi ya Mafuriko au Abracadabra. Rais akishirikiana na waziri mkuu walileta kampuni ya kigeni ya kuua wadudu ya Richmen kuwekeza kwenye kuzalisha umeme nchini Mafurikony; Richmen to invest in power generation in Mafuriko. Kupitia rushwa na ushawishi wa wakubwa hawa Richmen ilipata tenda na kutumika kama mrija wa kuibia mabilioni ya fedha za umma toka Benki Kuu. Wananchi walipogundua jinai hii waliiangusha serikali na kuwaaadhibu watawala wao kwa kuwafunga maisha na wengine kuhukumiwa vifo. Kitabu kinaupiga kijembe tawala fisadi barani Afrika