Nkundwe Sr
JF-Expert Member
- Nov 30, 2014
- 6,289
- 9,748
Usjari ntafurahi sana ukiwa unafanya hvyo [emoji3][emoji3][emoji3] ninavitabu kama mia 500 kwenye laptop mziki ni kusomaUkikwama kwenye lugha nishtue[emoji13][emoji13][emoji13] nimemeza dictionary kichwani.
Ukimaliza hicho nitakushauri kingine cha kusoma chenye page chache na kinachovutia.
Pia niruhusu niwe nakukumbusha kusoma kitabu kila siku ili ukimalize kwa wakati.
Kipo humu humu check kuanzia comment #200
Hapa kwenye matumizi ya "emoj" ndio huwa unaniacha sana.[emoji13][emoji13]
I seem to have this endless thirst for gaining knowledge☺️...ever felt like that?.Anything you lay your hands on....
Sawa kabisaa.
Pia soft copy huwa inatia uvivu tofauti na hardcopy.Usjari ntafurahi sana ukiwa unafanya hvyo [emoji3][emoji3][emoji3] ninavitabu kama mia 500 kwenye laptop mziki ni kusoma
[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]Hapa kwenye matumizi ya "emoj" ndio huwa unaniacha sana.
Umeadimika sana bibie.
Naona unarudia kile kile.[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]
Nipo sasa hivi.
Absolutely..si vyema kuhukumu sana watuBecoming by Mrs. Obama was a very inspiring exercise in humility. I read it when it came out.
Mama Obama kawa open mpaka nikawa nasema Mama haya mengine ungebakiza.
Kuna sehemu alihadithia jinsi wazazi wake walivyoweka kipaumbele kwenye kusomesha watoto mpaka wakakosa kuwa na nyumba yao wenyewe kwa miaka mingi
Kutaja kitabu hiki kumenikumbusha mjadala mwingine wa hapa JF unaowanyanyapaa kama kiasi waajiriwa wasiojenga nyumba. Niliwatetea kwa kusema watu tofauti wana malengo tofauti katika maisha.
Wengine labda wanasomesha future leaders.
Nlitaka kusema tutumie hapa tafadhali kumbe nnacho hahaKitabu pekee kinachokujengea nidham ya pesa na namna ya kuilea katika mazingira yetu.
Vitabu vingi vinaongelea mambo ya stock, bonds, hisa n.k kama nyenzo za kukufanya ufanikiwe kwenye eneo la mambo ya fedha, hayo mambo hayatekelezeki kirahisi na wengi wetu.
The Richest Man in Babylon kinamfaa kila mtu, aliye kwenye dimbwi la madeni, tajiri, mwanafunzi, mzazi, kijana anaenza maisha.
Natamani watu wote wangekisoma wanapomaliza elimu ya sekondary au hata msingi kuwajengea nidham ya pesa.
Hua sichoki kukisoma na kukirudia, tena na tena.
[emoji13]naipenda sana.Naona unarudia kile kile.
inapendeza sana.
Ina maanisha nini ?[emoji13]naipenda sana.
Capitalist nigger imeandikwa na chika onyeani ni mnaija. Jaribu kukisoma.Soma na hiki cha I can, I must,I Will cha Dr MENGI. Kina maisha halisi ya mtanzania na pia njia alizotumia au kupitia hadi kufanikiwa ni aplicable kwenye maisha halisi ya mtanzania unlike walizoandika wazungu.
Naomba unifafanulie hizi laws za 15 na 18 sijaelewa mkuu Emery PaperLAW 7 : GET OTHERS TO WORK FOR YOU, BUT ALWAYS TAKE THE CREDIT.
LAW 9: WIN THROUGH YOUR ACTIONS, NEVER THROUGH ARGUMENT.
LAW 15: CRUSH YOUR ENEMY TOTALLY
LAW 18: DO NOT BUILD FORTLESSES TO PROTECT YOURSELF, ISOLATION IS DANGEROUS.
Adolfo sijamkubali hakuwapiga pesa wamarekani,kafa masikini tu😀😀😀Shukrani sana, Nililua nakitafuta sana Hiki BillionDollar Spy...
Asante sana kwa haya maelezo T14 Armata.Hiyo nayo pia setting ni USA. Mojawapo ni kuelezea umuhimu wa location katika biashara. Kwanini mtu afungue mgahawa airport alipe kodi ya mamilioni kwa mwezi wakati mwenzake yuko Buguruni analipa laki na bidhaa yenyewe ni kahawa ileile. Hiki kitu nimeshuhudia kwenye malls ukienda cheki cinema,popcorn unanunua buku elfu 3 zilezile unazonunua elfu moja pale Mbagara rangi tatu. LocatioLocation,target
Vinahusu nini?Vitabu are here to stay
Hiv vitabu nawapa sana respect wandishi. Na maaudhui walionesha it imposible kueleza feeling zilizomo humu
1: to kill a mockingbird by harper lee
2: my sister keeper by judy piquot
Hii imechezwa movie pia? Ya mkaka mmoja alisingiziwa kesi akafungwa halafu akawa anafanya mipango ya kutoroka na rafiki yake inafeli mwisho wa siku inabidi rrafiki yake amsaidie atoroke mwenyewe yeye abaki?PAPILLON
Henri Charrière
5
Fragmento
PRESENTACIÓN
Este libro, sin duda, nunca habría existido si, en julio de 1967, en los periódicos de Caracas, un año después del terremoto que la había asolado, un joven de sesenta años no hubiese oído hablar de Albertine Sarrazin. Ese pequeño diamante negro, todo fulgor, risa y coraje, acababa de morir. Había adquirido celebridad en el mundo entero por haber publicado, en poco más de un año, tres libros, dos de ellos sobre sus fugas y sus prisiones.
Source: Papillon