Bookworms of JF, what's your favorite book (s) and why?

Bookworms of JF, what's your favorite book (s) and why?

Ukikwama kwenye lugha nishtue[emoji13][emoji13][emoji13] nimemeza dictionary kichwani.
Ukimaliza hicho nitakushauri kingine cha kusoma chenye page chache na kinachovutia.
Pia niruhusu niwe nakukumbusha kusoma kitabu kila siku ili ukimalize kwa wakati.
Usjari ntafurahi sana ukiwa unafanya hvyo [emoji3][emoji3][emoji3] ninavitabu kama mia 500 kwenye laptop mziki ni kusoma
 
Becoming by Mrs. Obama was a very inspiring exercise in humility. I read it when it came out.

Mama Obama kawa open mpaka nikawa nasema Mama haya mengine ungebakiza.

Kuna sehemu alihadithia jinsi wazazi wake walivyoweka kipaumbele kwenye kusomesha watoto mpaka wakakosa kuwa na nyumba yao wenyewe kwa miaka mingi

Kutaja kitabu hiki kumenikumbusha mjadala mwingine wa hapa JF unaowanyanyapaa kama kiasi waajiriwa wasiojenga nyumba. Niliwatetea kwa kusema watu tofauti wana malengo tofauti katika maisha.

Wengine labda wanasomesha future leaders.
Absolutely..si vyema kuhukumu sana watu

i loved and enjoyed her honesty..

inasaidia kuona maisha ni kupambana,

Nilipenda bidii yake katika kila kitu kwa kweli kuanzia nyumbani,shule, kazi hadi kulea familia
kaelezea mengi mnoo and most of all nilipenda sana sana mahusiano yake na Obama, Mr.

ilinisikitisha walivopata tabu sn kutafta watoto ila Mungu mkubwa kwa kweli..
 
Kitabu pekee kinachokujengea nidham ya pesa na namna ya kuilea katika mazingira yetu.

Vitabu vingi vinaongelea mambo ya stock, bonds, hisa n.k kama nyenzo za kukufanya ufanikiwe kwenye eneo la mambo ya fedha, hayo mambo hayatekelezeki kirahisi na wengi wetu.

The Richest Man in Babylon kinamfaa kila mtu, aliye kwenye dimbwi la madeni, tajiri, mwanafunzi, mzazi, kijana anaenza maisha.
Natamani watu wote wangekisoma wanapomaliza elimu ya sekondary au hata msingi kuwajengea nidham ya pesa.

Hua sichoki kukisoma na kukirudia, tena na tena.
Nlitaka kusema tutumie hapa tafadhali kumbe nnacho haha
Bt nadhani u may share kwa manufaa ya wengine
 
Huwa mnapenda kusoma kwa mfumo gani?.
Hardcopy/cover or soft copy?

For me nasoma softcopy mostly inasaidia kutunza vitabu vingi..portability na kuwa flexible etc
Hardcopy labda tu nikose soft yake

iBooks is the best

kwa mnaotumia tablet na kindle zipoje?.sijawahi jaribu hizo
 
Soma na hiki cha I can, I must,I Will cha Dr MENGI. Kina maisha halisi ya mtanzania na pia njia alizotumia au kupitia hadi kufanikiwa ni aplicable kwenye maisha halisi ya mtanzania unlike walizoandika wazungu.
Capitalist nigger imeandikwa na chika onyeani ni mnaija. Jaribu kukisoma.
Cha Dr Mengi nakieka katika list japo kiukweli kusoma ni mtihani [emoji32][emoji32]
 
Hiyo nayo pia setting ni USA. Mojawapo ni kuelezea umuhimu wa location katika biashara. Kwanini mtu afungue mgahawa airport alipe kodi ya mamilioni kwa mwezi wakati mwenzake yuko Buguruni analipa laki na bidhaa yenyewe ni kahawa ileile. Hiki kitu nimeshuhudia kwenye malls ukienda cheki cinema,popcorn unanunua buku elfu 3 zilezile unazonunua elfu moja pale Mbagara rangi tatu. LocatioLocation,target
Asante sana kwa haya maelezo T14 Armata.
 
Vitabu are here to stay

Hiv vitabu nawapa sana respect wandishi. Na maaudhui walionesha it imposible kueleza feeling zilizomo humu

1: to kill a mockingbird by harper lee

2: my sister keeper by judy piquot
Vinahusu nini?
 
PAPILLON
Henri Charrière
5

Fragmento
PRESENTACIÓN
Este libro, sin duda, nunca habría existido si, en julio de 1967, en los periódicos de Caracas, un año después del terremoto que la había asolado, un joven de sesenta años no hubiese oído hablar de Albertine Sarrazin. Ese pequeño diamante negro, todo fulgor, risa y coraje, acababa de morir. Había adquirido celebridad en el mundo entero por haber publicado, en poco más de un año, tres libros, dos de ellos sobre sus fugas y sus prisiones.
Source: Papillon
Hii imechezwa movie pia? Ya mkaka mmoja alisingiziwa kesi akafungwa halafu akawa anafanya mipango ya kutoroka na rafiki yake inafeli mwisho wa siku inabidi rrafiki yake amsaidie atoroke mwenyewe yeye abaki?
Story ndio ipo kwenye hiki kitabu?.
 
Back
Top Bottom