Paula Paul
JF-Expert Member
- Oct 23, 2019
- 4,649
- 13,607
- Thread starter
-
- #401
Superb!!! Hongera sana Hon..Na nimeendelea leo nimepata haya
"The hand that gives is the hand that gather's"
"Without our rich heart, wealth is an ugly beggar"
Unakuta mtu anajisifia kusoma lundo la vitabu, lakini most ya hivyo vitabu ukisoma tu introduction unagundua kabisa kilichoandikwa humo ni upotoshaji wa kishetani, kuna watu wana muda wa kupoteza aisee..Kwanini unataka nisome ambavyo viko kinyume wakati ukweli uko wazi na misingi ya hao ambao wako kinyume tunaijua ?
Mathalani misingi ya Wakana Mungu inajulikana,na kusoma vitabu vyao ni kupoteza muda. Unakuta mtu anamjadili Mola wakati hamjui,huku ni kutumia akili vibaya.
Wakana Mungu wakawaida wanaamini ya kuwa Akili ndi kila kitu,na Wakana Mungu wa Kisayansi wanaamini Akili na majaribio ya Kisayansi ndio kila kitu,huku nikujidanganya kwani viwili hivyo sio timilifu na vinahitaji msaada ili kuwa timilifu.
Kusema kwako huoni tatizo kielimu unafanya makosa na ndio maana nikasema wewe ni tatizo sababu huna elimu ya hiki unacho kiegemea.Unajua ukashindwa kumshawishi mtu kitu Fulani kipo, hauwezi ona ana tatizo kwa kutokuamini,baada ya kumdhibitishia kipo na asipoamini hapo ndio unaweza ona anatatizo. Ndio maana Mimi sioni tatizo mtu kuw Atheist.
Mkapa aliitwa "Mr. Clean". Kama sifa ya kuwa mpinga rushwa.My LIfe, My Purpose,
because it is such a funny, fictitious comedy!
Umesema kweli kabisa. Watu inaonekana wanapenda habari za uongo na za kutungwa na kupoteza muda.Unakuta mtu anajisifia kusoma lundo la vitabu, lakini most ya hivyo vitabu ukisoma tu introduction unagundua kabisa kilichoandikwa humo ni upotoshaji wa kishetani, kuna watu wana muda wa kupoteza aisee..
Good!!My LIfe, My Purpose,
because it is such a funny, fictitious comedy!
Ukikisoma kile kitabu utatamani ukimbie Afrika.I'm not into books but the only book which caught my attention effortlessly is THE CAPITALIST NIGGER..
Written by an African for the black race
nadhani its a must read book to any black person in the world as it vividly shows our roots and the toxic perception that enslave us enough to remain the laughing stock of the world.
Japokuwa uliyoyaandika huku mwisho ni ya uongo na huwezi kuthibitisha juu ya kutokuwepo kwa ushahidi kwa mambo ya kiimani,na kuendelea kujadili hili hakutakuwa na faida.Zurri miongoni mwa funzo nililolipata kwenye kusoma kitabu cha How To Win Friends and Influence People is to avoid "pointless argument".
Na kati ya vitu ambavo sipendi kutumia nguvu kubishana ni vitu ambavyo vina husu " imani" maana havinaga ushahidi.
Tusamehane kama tumekwazana na Mjadala ufungwe.
Kogut, have you found any actual proof in there? Or it just some man describing his brain's projections when nearing death?Proof of heaven by Eden Alexander, M.D (Neurosurgeon).
Vipo viwili vya aina hiyo. kuna kingine kinaitwa 'A brief history of universe'.. Kitafute pia hutajutia muda wako kuvisomaAsante kwa maelezo mubashara.
Nitakitafuta A Brief History Of Time.
I have the same feeling.Anasahau kwamba he became a believer because he was convinced by others to do so. Na siku akitambua all the stories told by religion are obviously fiction, he'll learn not to believe in anything for which there is no evidence.
My an Atheist friend once told me,"if you showed me the evidence, I would believe in the God". Truthfully ,There is literally no proof than what we call "myths ".
Kusema kweli kuna muda Mimi mwenyewe naona religions are just a way to brainwash mass of people. Acha tuone.
Thats not a proof.Every proof on existence of God are out there, including yourself. Do you think just a cell from nowhere inaweza kujitengeneza ikawa kiumbe mwenye akili kama binadamu au nyani abadilike na kuwa mtu. Ever you tried to imagine the solar system and the whole of the galaxies. Where are those powers tied, including the powers that restrict the ocean to overrun the dry land!
Brother, hiko cha pili ndicho kilichoandikwa na Ibn Rushd(Averroes)?1. Blasting the foundation of Atheist
2. The Incoherence of the Incoherence
Kwa leo vinatosha hivi viwili.
Haswaa.Brother, hiko cha pili ndicho kilichoandikwa na Ibn Rushd(Averroes)?
Asante Stardust.Vipo viwili vya aina hiyo. kuna kingine kinaitwa 'A brief history of universe'.. Kitafute pia hutajutia muda wako kuvisoma
Lol, I was born and raised in Tanzania Mjuni.Paula, are you a Tanzanian? I have never physically seen a Tanzanian fond of reading books, other than JF members.
I see! One of the funniest books i have read, is Don Quixote.Lol, I was born and raised in Tanzania Mjuni.