Thank you. It was very nice to hear such kind words.That sucks beyond words. I am afraid that death is the most unfair thing we have to endure. Time is passing and All things are more manageable with time.
Sending you internet love and hug through the screen right now.
Duuh nimeshangaa sana kuona mrembo anataka kusoma nondo za mwl!!!......Nitajitahidi nikisome, lazima kina vitu vya maana kutoka kwa Baba wa Taifa.
hivi patakuwa na soft copy?
Hiyo "how to win friends" ndio sawa na "How to Win Friends & Influence People" By Dale Carnegie?Basi ngoja niweke vyangu nilivyovipenda zaidi...
- What to say when you talk to yourself
- Purpose driven to Life
- Who think you are
- Power of Subconcious mind
- How to win friends
- Bible
Napenda sana The Testament ya huyu bwana
Mzee wako alifanya kazi nzuri sana.1.Bible
2.think and Grow Rich
3.Poor Dad Rich Dad
4.Why we want You to be Rich
5.The Note book
6.I Can I must I will (not yet done....)
Why!?
Sikuzaliwa nikipenda kusoma vitabu kabisa tena nilikua naona ni adhabu
baba yangu ni msomaji wa vitabu sana nimezaliwa nimekuta kuna library nyumbani
so baba akija akikukuta unaangalia tv atakuuliza swali lolote la shule,Ukimjibu sahihi bila kukosea (umepona)
ila akikuuliza swali la shule halafu ukawa hujui unajiuma uma,Ana zima TV anakushika mkono anakupeleka Library
Anakugombeza anakwambia unakaa kuangalia TV wakati kichwani hamna kitu,Anakupa kitabu usome,
anaweza kukwambia shika hiki kitabu soma mpk page 20 then summarize kwenye hii paper ulichosoma uniletee chumbani
Ukimaliza unafanya hivyo (it was hard for me) ila i used to cope with that Life Mwishowe nikajikuta nadondokea kwenye
Usomaji wa vitabu bila hata kuambiwa na mtu au kupigiwa kelele.
the Secrete
Hichi kitabu ninekisoma sema nimeshidwa kukimaliza, tatizo ngeli yake kwangu nichangamoto nimezoe simple engrish kama ya kiyosakiRichest man in Babelon is my favourite book for now.It consist of many ideas about entrepreneurial,bussiness,investment,trade,account,culture,social and others.Its good for youth and rich people,even for poor it will help you to rise up your profit
Good for you .The Other Side of Sidney Sheldon - Sidney Sheldon
In his book I met a quote which eventually brought me back to life, was as good as dead both physically and spiritually.
“Life is like a novel. It's filled with suspense. You have no idea what is going to happen until you turn the page.”
Since then, I have come to appreciate any circumstances of life knowing that there are good/bad pages coming before the conclusion.
Why nation fail by Daron Acemoglu and James A. Robbison.Why nation fail
Bring out the magic in your mind written by Al Qoran
Who will cry when you die by Robin Sharma
I've been a huge fan of the book for a long time. It is a pretty long book tho.THE 48 LAWS OF POWER by Robert Greene.
Law 1 says, "NEVER OUTSHINE THE MASTER".
Hapo nimesoma tuu Song of lawino and ocol. Nimevetiwa na "Who will cry when you die" nitakitafuta. Au kama una soft copy yake naomba.•Purpose driven life by Rick Warren kipo pia version ya kiswahili.(maisha yanayoongozwa na malengo)
•The holly spirit and his gifts by Kenneth E Hagin.A great spiritual book
Purple hibiscus by chimmanda ngozi adichie
Half of yellow sun by chimmanda ngozi adichie
Americanah by chimmanda ngozi adichie
The thing around your neck by chimmanda ngozi adichie
Things fall apart by chinua Achebe
Gifted hands ben Carson
Songs of lawino and ocol
Who Will cry when you die
Napenda Sana vitabu ambavyo authors wake ni waafrica, you can relate and learn at the same time my favorite authors so far ni chinua Achebe na chimmanda ngozi adichie.
200? Pongezi kwako Technically.1: Bible,
2: Before you do,
3: 48 laws of power,
4: Long Walk To Freedom,
5: Dreams From My Father.
By the way nimesoma alots of book kwenye kila nyanja biashara,siasa,dini the reason ni kuwa na uelewa wa mambo yote yanayofocus kwenye jamii na maisha ya kila siku vitabu nilivyosoma vinafika 200 na zaidi.
Amemaanisha umesoma vitabu na umevi list ni vimeandikwa kwa lugha ya kingereza. Na faida moja wapo ya kusoma vitabu ni kukuza linguistic skills, imekuwaje ukalalamika kwamba hii post ya kingereza imekuonea?.What’s up bro????
Ni miongoni mwa vitabu vizuri sana alivoandika R. SHARMA.
MTANZANIAC class girl. Kwanza tuanzie hapa we ni diaspora au mzungu au mtanzania?
Anyway wekeni na pdf za vitabu itusaidie na wengine
-If you really want to escape the things that harass you, what you are needing is not to be in different place but to be different person.' Lucius Annaeus Seneca, Letters From a stoic.Letters from a Stoic
"Trusting everyone is as much a fault as trusting no one (though I must call the first the worthier and the second the safe behaviour)"
Thank you for sharing these quotes.The Alchemist by Paulo Coelho
"If someone isn't what others want them to be, the others become angry. Everyone seems to have a clear Idea of how other people should learn their lives, but none about his or her own".
"And, when you want something, all the universe conspires in helping you to achieve it".
"It's possibility of having a dream come true that makes life interesting ".
"When we love, we always strive to become better than we are, when we strive to become better than we are, everything around us become better too".
"There is only one thing that makes a dream impossible to achieve : fear of failure ".
"The secret of life, though is to fall seven times and get up eight times".
"I don't live in either my past or my future, I am interested only in the present. If you can concentrate always on the present, you will be a happy man. Life will be a party for you, a grand festival, because life is the moment we are living now." Paulo Coelho, The Alchemist.
Cc SweetieLee, 4G LTE