Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 48,444
- 194,235
No probs Baby.... Inaitwa AnyBooksAsante Hiyo app inaitwaje? Would you mind sharing with us? .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
No probs Baby.... Inaitwa AnyBooksAsante Hiyo app inaitwaje? Would you mind sharing with us? .
Kumbe yapo kwenye vitabu. Bila shaka na majibu yapo kwenye vitabu.
Naomba unipe kitabu cha kusoma.
I read this when I was a teenager. It was pretty good.Street Lawyer
Grisham killed it.
I simply cannot wait to hear/ read those beautiful lines[emoji13][emoji13][emoji13].
Nope, ni MB zako tu...na MB zitatumika kukitoa library mpaka kwenye bookshelf yako after hapo unakisoma offline
Hiii kitabu nzuri sana,ukimaliza utakuwa hatari kwenye Ku close deal.Nimekuwa mvivu siku hizi,mwaka huu mpaka leo nimesoma vitabu 7 au 8 tu. Sasa hivi nasoma hiki
That sucks beyond words. I am afraid that death is the most unfair thing we have to endure. Time is passing and All things are more manageable with time.I lost my mom 3yrs ago, it was pretty shattering and numbing. My friend recommended this book to me, "The Reptile Room" by Lemony Snicket. This is children's series of unfortunate event but I read them as an adult and helped me a ton.
At first I didn't want to accept that my mom is gone even after her funeral, but this quote helped me out to accept the reality,
"It is a curious thing, the death of a loved one. We all know that our time in this world is limited, and that eventually all of us will end up underneath some sheet, never to wake up. And yet it is always a surprise when it happens to someone we know."
This quote from the book also helped me when I thought I'd never be happy without her by my side and how to cope without her.
"I think we'll always miss our parents. But I think we can miss them without being miserable all the time. After all, they wouldn't want us to be miserable."
Since then, I hate to express my sadness, I would rather smile and show that everything is okay even if I feel depressed. I don't want my mom to worry about me because I know all she wants is for me to be happy.
This book has became the best book to me, followed by A grief observed by Lewis and Love, Aubrey by Suzzane Lafleur.
Nitajitahidi nikisome, lazima kina vitu vya maana kutoka kwa Baba wa Taifa.Tujisahihishe.
written by Mwl Julius Kambarage Nyerere.
jisahihishe ukibaini una makosa.
[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]Asiyejua maana usimwambie maana.
Nimemjibu hivyo ili aondoe kiwingu, niendelee kushusha mistari yangu kwako.
What a coincidence?Tujisahihishe.
written by Mwl Julius Kambarage Nyerere.
jisahihishe ukibaini una makosa.
Unajua hata ukiitwa interview serikalini lugha inayotumika kuku interview ni English?.Hivi kwanini mtumie kingereza wakati nyie ni waswahili wa Yombo? Sio fair kabisa mnachotufanyia mliosoma shule za mabasi ya njano..