Bookworms of JF, what's your favorite book (s) and why?

Bookworms of JF, what's your favorite book (s) and why?

1.Bible
2.think and Grow Rich
3.Poor Dad Rich Dad
4.Why we want You to be Rich
5.The Note book
6.I Can I must I will (not yet done....)

Why!?

Sikuzaliwa nikipenda kusoma vitabu kabisa tena nilikua naona ni adhabu

baba yangu ni msomaji wa vitabu sana nimezaliwa nimekuta kuna library nyumbani

so baba akija akikukuta unaangalia tv atakuuliza swali lolote la shule,Ukimjibu sahihi bila kukosea (umepona)

ila akikuuliza swali la shule halafu ukawa hujui unajiuma uma,Ana zima TV anakushika mkono anakupeleka Library

Anakugombeza anakwambia unakaa kuangalia TV wakati kichwani hamna kitu,Anakupa kitabu usome,

anaweza kukwambia shika hiki kitabu soma mpk page 20 then summarize kwenye hii paper ulichosoma uniletee chumbani

Ukimaliza unafanya hivyo (it was hard for me) ila i used to cope with that Life Mwishowe nikajikuta nadondokea kwenye

Usomaji wa vitabu bila hata kuambiwa na mtu au kupigiwa kelele.
 
Law 2: Never put too much trust in friends, Learn to use enemies

Law 3: Conceal your intentions

Law 4: Always say less than necessary

Law 5: So much depends on reputation- Guard it with your life
LAW 7 : GET OTHERS TO WORK FOR YOU, BUT ALWAYS TAKE THE CREDIT.

LAW 9: WIN THROUGH YOUR ACTIONS, NEVER THROUGH ARGUMENT.

LAW 15: CRUSH YOUR ENEMY TOTALLY

LAW 18: DO NOT BUILD FORTLESSES TO PROTECT YOURSELF, ISOLATION IS DANGEROUS.
 
Screenshot_20191113-105019_1573631446624.jpg

Mine 👆 but niko mvivu ila najitahidi sana 🙆
 
1.Bible
2.think and Grow Rich
3.Poor Dad Rich Dad
4.Why we want You to be Rich
5.The Note book
6.I Can I must I will (not yet done....)

Why!?

Sikuzaliwa nikipenda kusoma vitabu kabisa tena nilikua naona ni adhabu

baba yangu ni msomaji wa vitabu sana nimezaliwa nimekuta kuna library nyumbani

so baba akija akikukuta unaangalia tv atakuuliza swali lolote la shule,Ukimjibu sahihi bila kukosea (umepona)

ila akikuuliza swali la shule halafu ukawa hujui unajiuma uma,Ana zima TV anakushika mkono anakupeleka Library

Anakugombeza anakwambia unakaa kuangalia TV wakati kichwani hamna kitu,Anakupa kitabu usome,

anaweza kukwambia shika hiki kitabu soma mpk page 20 then summarize kwenye hii paper ulichosoma uniletee chumbani

Ukimaliza unafanya hivyo (it was hard for me) ila i used to cope with that Life Mwishowe nikajikuta nadondokea kwenye

Usomaji wa vitabu bila hata kuambiwa na mtu au kupigiwa kelele.
✌💪
 
THE 48 LAWS OF POWER by Robert Greene.

Law 1 says, "NEVER OUTSHINE THE MASTER".
I have read this book. I heard people say it was the most entertaining history book they ever read.[emoji45]
But to me, writing style wasn't the best, maybe because it was beyond my knowledge.
I will read it again together with my dictionary,I hope this time I will understand it .
 
The Other Side of Sidney Sheldon - Sidney Sheldon

In his book I met a quote which eventually brought me back to life, was as good as dead both physically and spiritually.

“Life is like a novel. It's filled with suspense. You have no idea what is going to happen until you turn the page.”

Since then, I have come to appreciate any circumstances of life knowing that there are good/bad pages coming before the conclusion.
Na hapo jamaa(Sydney) alishapanga kujiua hiyo siku,kashaandaa vidonge na wote nyumbani walitoka. Ghafla baba yake akarudi,akamkuta kwenye hiyo hali akamwambia hebu watembee kidogo. Katika maongezi yao ndo akatoa hiyo quote. Jamaa wazo la kujiua likatoka na akawa mpambanaji hadi akafanikiwa,kashinda Oscar,kauza vitabu kibao nk. THE OTHER SIDE OF ME by SYDNEY SHELDON.
 
Back
Top Bottom