Dah watu mnapenda sana motivational books...ila mimi sijui nini ila imani na hao writers ilishanitoka baada ya kugundua alieandika how to be rich alikufa masikini.
Baada ya kujua hao business motivations na wao wanategemea kukuuzia kitabu ili wakuze business yao.
Inshort they get rich off of people believing they will be made rich.
It's a fantasy, a story tale.
Ndomana bora nistick kwenye fictional stories,comedy,drama etc. Nikiwa najua kabisa this book is what it claims it is "just a story"
ila sio storybook inayokuambia "i am more than a story book,I can change your life"
I prefer honesty.