Bookworms of JF, what's your favorite book (s) and why?

Bookworms of JF, what's your favorite book (s) and why?

Umesema kweli kabisa. Watu inaonekana wanapenda habari za uongo na za kutungwa na kupoteza muda.

Yaani kuna watu wameandika vitabu,kila mstari ni elimu na unatakiwa uifanyie kazi.
[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]unapenda ubishi kama kula.
 
English translation is available, It was originally written in spanish, but lateron translated in different languages. You read it?
No , I tried ila kilinizidi umri akili na umri[emoji13][emoji13]. Nilisikia pia native speakers have trouble to understand it na kwa English inapoteza maana kwenye baadhi ya vitu...wewe umewezaje. Baba yangu alikuwa nacho.
 
No , I tried ila kilinizidi umri akili na umri[emoji13][emoji13]. Nilisikia pia native speakers have trouble to understand it na kwa English inapoteza maana kwenye baadhi ya vitu...wewe umewezaje. Baba yangu alikuwa nacho.
Hahahaaa, kweli kina lugha ngumu. Mimi nakielewa bila shida, huenda labda vocabulary yangu ni pana zaidi, Jaribu kusoma na dictińary pembeni..

Hiki kitabu ni cha zamani sana na kuna baadhi ya matukio yanabishaniwa, lakini bado ni kizuri, kinastaajabisha na kuchekesha sana.

Lakini kina funzo kubwa sana, YOU ULTIMATELY BECOME WHAT YOU READ!
 
Hahahaaa, kweli kina lugha ngumu. Mimi nakielewa bila shida, huenda labda vocabulary yangu ni pana zaidi, Jaribu kusoma na dictińary pembeni..

Hiki kitabu ni cha zamani sana na kuna baadhi ya matukio yanabishaniwa, lakini bado ni kizuri, kinastaajabisha na kuchekesha sana.

Lakini kina funzo kubwa sana, YOU ULTIMATELY BECOME WHAT YOU READ!
Tena unakielewa na kucheka kabisa[emoji13][emoji13]?
Umri wako utakuwa ni 35+[emoji13][emoji13]
 
Superb!!! Hongera sana Hon..
Umeona ilivyo raha kusoma vitabu? Na inaelekea una usomaji mzuri wa hatua kwa hatua ndio maana umeweza kunasa hizo quotes. Keep it up.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] asante hakika nimeshawishika na wewe
 
Mkapa aliitwa "Mr. Clean". Kama sifa ya kuwa mpinga rushwa.

Alipopata urais tu, Kitwana Kondo akataka kuonana naye ili ampongeze.

Mkapa akamwambia, kama pongezi, chukua ukurasa wa gazeti la serikali uchapishe gazetini. Such a journalist!

Ujumbe ulikuwa kwamba hataki watu wamzonge ili kutafuta influence.

Hapo hapo, rafiki yake Mkapa, "Sir" Andy Chande akamnunulia Mkapa Range Rover Vogue kama pongezi za kuwa rais.

Mkapa akalichukua, aka park pale Sea View.

Nikasema Mr. Clean kakubali hii pongezi ya Range Rover Vogue kutoka kwa Andy Chande wakati Kitwana Kondo hata kukutana naye tu kakataa?

Nikasema labda atalirudisha. Ikawa kila nikienda Sea View nalikuta.

Kutoka hapo nikajua kwamba habari za "Mr. Clean" ni mazingaombwe tu.

Ukijua habari kama hizi, ambazo kuandikwa kwenye vitabu sitegemei, utajua hivi vitabu ni public relations campaign tu.
Kwa nini Sir ya Andy Chande umeiwekea alama?, do you question that knighthood?
 
Kwa nini Sir ya Andy Chande umeiwekea alama?, do you question that knighthood?
Raia wa Tanzania hawapati haki ya kuwa na British Knighthood.

Tanzania tulianza kujenga jamii ya watu sawa. Isiyo na matabaka.

Ndiyo maana Nyerere alipiga marufuku uchifu.

Hivyo, Andy Chande kama Mtanzania, hiyo knighthood yake ni honorary tu.

Si knighthood proper kama ya Sir Seretse Khama.
 
I lost my mom 3yrs ago, it was pretty shattering and numbing. My friend recommended this book to me, "The Reptile Room" by Lemony Snicket. This is children's series of unfortunate event but I read them as an adult and helped me a ton.
At first I didn't want to accept that my mom is gone even after her funeral, but this quote helped me out to accept the reality,

"It is a curious thing, the death of a loved one. We all know that our time in this world is limited, and that eventually all of us will end up underneath some sheet, never to wake up. And yet it is always a surprise when it happens to someone we know."

This quote from the book also helped me when I thought I'd never be happy without her by my side and how to cope without her.

"I think we'll always miss our parents. But I think we can miss them without being miserable all the time. After all, they wouldn't want us to be miserable."

Since then, I hate to express my sadness, I would rather smile and show that everything is okay even if I feel depressed. I don't want my mom to worry about me because I know all she wants is for me to be happy.

This book has became the best book to me, followed by A grief observed by Lewis and Love, Aubrey by Suzzane Lafleur.
Can i get a soft copy ?
 
Tena unakielewa na kucheka kabisa
emoji13.png
emoji13.png
?
Umri wako utakuwa ni 35+
emoji13.png
emoji13.png
Hicho kitabu kinachekesha sana, unaweza ukawa unacheka peke yako kwa sauti.
 
Kwa nini kwa Seretse Khama iwe tofauti?
Raia wa Tanzania hawapati haki ya kuwa na British Knighthood.

Tanzania tulianza kujenga jamii ya watu sawa. Isiyo na matabaka.

Ndiyo maana Nyerere alipiga marufuku uchifu.

Hivyo, Andy Chande kama Mtanzania, hiyo knighthood yake ni honorary tu.

Si knighthood proper kama ya Sir Seretse Khama.
[/QUOTE
 
Baby Doll, umekisia kwamba naweza kuwa na umri wa miaka 35+...

Mimi nadhani umri hauna uhusiano wa moja kwa moja...

Kulikuwa na mtu anaitwa John Stuart Mill',

This guy was born 1806, by1809 (not 1819)he begun to learn greek.
At age 7 he had read most of the dialogues of Plato.

The next year he begun latin having meanwhile digested Herodotus, Xenophon, Diogenes, Laertius and Lucian.

Between eight and twelve he had finished Virgil, Horace, Livy, Sallust, Ovid, Terrence, Lucretius, Aristotle, Sophocles and Aristophanes. Had mastered Gemetry, Algebra, Differential calculus and written a Roman history, An abridgement of the ancient universal history and history of Holland.

At thirteen he made a complete survey of all there was to be known in the field of political economy.
Kwa hiyo Baby, umri sio kigezo sana muda mwingine.
carbon copy Paula Paul ana Kiranga.
 
Back
Top Bottom