Bookworms of JF, what's your favorite book (s) and why?

Bookworms of JF, what's your favorite book (s) and why?

Sina ufafanuzi ninaodhani unaoweza kukusaidia

Ila ninachofahamu kwa uhakika ni kwamba unaoitwa mwili ni mkusanyo wa taarifa nyingi za watu waliopata kuishi miaka mingi huko nyuma

Waliopata kushughulika na changamoto nyingi na kuzipatia utatuzi iwe mahusiano, kiafya, kiuchumi, kiutawala n.k

Lakini vyote kwa ujumla vimekusanywa kwenye mwili mpya mmoja ambao ni wewe..!

Kwa ufupi ni kwamba hujawahi kufa na wewe ni majibu ya wale waliokutangulia.. kila changamoto na majibu yake vipo ndani yako

Sisi wengine kwako ni ukumbusho tu na si lolote, tungependa sana kuelewa pia ulimwengu ulio ndani yako tunapopata mda na sisi tupate kukumbuka mengi

Lakini cha kusikitisha dunia sasa hairusu hilo tumekuwa ni wakulishwa kila aina ya chakula na kuamuliwa namna ya kufikiri.!

Asante mkuu ManchoG kwa hii tafakuri.
 
I am in the process of writing a book Paula.

When I am through I will send a copy to you and I am confident you will find it a must read.

I am very serious about this so please don’t take it as just an instance of online bantering.

In the meantime there are two terrific psychological thrillers that I would like to recommend for leisure reading though you are likely to be a bit haunted by them especially if you have kids:

1. We Need to Talk About Kevin,
by Lionel Shriver.

2. Defending Jacob, by William
Landay.

Of course you might have already gone through them,been the bookhound that you are, in which case you might give me an insight.

I have kids and I confess to be terrified by the doings of Kelvin and Jacob, who though in fiction, mirrors some terrible things which have really occurred in our modern society.

Have you also thought about writing a book, or actually written one Paula?

I would very much like to discuss this with you.
OMG, Congratulations Nowonmai, I can't wait to read your book.

I haven't written a book yet. I've always wanted to write a novel but I find writing hard. You see, it looks easy peasy lemon squeezy but is actually difficult difficult lemon difficult. I'd really like to write a novel someday.

Ponte la pilas!!

Edit: Thank you for the book recommendations.
 
Kitabu kitamu hiki

Mkuu,

Hii ni bonge la movie hasa uipate kwenye 1080p hainishagi hamu kabisa,

Kuna Mwamba Mr Owen Chase vs Captain Pollard

Humo unakutana Tommy Shelby wa peaky blinders kama Mathew Joy

Shukrani sana kwa hili Desa
 
Sina ufafanuzi ninaodhani unaoweza kukusaidia

Ila ninachofahamu kwa uhakika ni kwamba unaoitwa mwili ni mkusanyo wa taarifa nyingi za watu waliopata kuishi miaka mingi huko nyuma

Waliopata kushughulika na changamoto nyingi na kuzipatia utatuzi iwe mahusiano, kiafya, kiuchumi, kiutawala n.k

Lakini vyote kwa ujumla vimekusanywa kwenye mwili mpya mmoja ambao ni wewe..!

Kwa ufupi ni kwamba hujawahi kufa na wewe ni majibu ya wale waliokutangulia.. kila changamoto na majibu yake vipo ndani yako

Sisi wengine kwako ni ukumbusho tu na si lolote, tungependa sana kuelewa pia ulimwengu ulio ndani yako tunapopata mda na sisi tupate kukumbuka mengi

Lakini cha kusikitisha dunia sasa hairusu hilo tumekuwa ni wakulishwa kila aina ya chakula na kuamuliwa namna ya kufikiri.!


Asante mkuu kwa maelezo yako..NIFANYE nini nianze kujisoma mwenyewe?
 
Mkuu nashukuru sana kwa ufuatiliaji wako. Unanipa sababu ya kuandika zaidi.

Ben Shapiro nimemsoma kitabu chake kimoja cha hivi karibuni nafikiri.

Huwa napenda kuji challenge kwa kusoma watu ambao niko tofauti nao kimawazo, nisije kuwa katika "echo chamber" na watu tunaokubaliana nao tu.

Basi nikajikita kusoma kitabu chake "The Right Side of History: How Reason and Moral Purpose Made the West Great".

Basi Shapiro kajishaua sana humo, kimepanda, kimeshuka.Mimi namu enjoy sana kwa sababu ananikumbusha mengi katika historia, hata kama sikubaliani na anavyoitafsiri historia kwa mrengo wake wa kihafidhina, kwa hiyo huyu ni mhafidhina ambaye ninaweza kumsoma.

Basi kaandika kaandika, namsoma namsoma, naona arguments zake shallow, ila ana data nzuri sana. Mwisho kabisa wa kitabu akamaliza na bonge la anti climax, kimsingi alimaliza kwa kukubali kwamba hata yeye hana majibu anafake tu.

Akanikumbusha tangazo moja la biashara la Marekani.

Jamaa anajisifia kayapatia maisha, ana nyumba nzuri ina swimming pool, ana familia nzuri, ana mali nyiingi.

Halafu anajiuliza swali, kawezaje kupata vyote hivi?

Akasema ana madeni yamemjaa kuanzia mguuni mpaka kwenye macho, karibu anataka kuzama kwenye madeni.

Shapiro naye alijenga kitabu kizima kama mtu anayejisifia sana kuwa na falsafa sahihi, halafu mwisho wa kitabu akakubali kwamba yote ni mambo ya kulazimisha tu.

Safii sana, Umetisha Mkuu.

Nakubali sana Uwezo Wako Kaka,Huwa Unanifanya zaiidi niendelea kusoma vitabu.


Natamani Walau hata siku Nipate kusoma kitabu chako chochote ulichokiandika.

Unamadini sana kaka..


Mtu kama wewe Ukiondoka bali hata ya Kuandika kitabu chochote...Nitasikitika mno hata Kwa "Penname" Mithili Ya George Orwell Si mbaya.
 
Mkuu nashukuru sana kwa ufuatiliaji wako. Unanipa sababu ya kuandika zaidi.

Ben Shapiro nimemsoma kitabu chake kimoja cha hivi karibuni nafikiri.

Huwa napenda kuji challenge kwa kusoma watu ambao niko tofauti nao kimawazo, nisije kuwa katika "echo chamber" na watu tunaokubaliana nao tu.

Basi nikajikita kusoma kitabu chake "The Right Side of History: How Reason and Moral Purpose Made the West Great".

Basi Shapiro kajishaua sana humo, kimepanda, kimeshuka.Mimi namu enjoy sana kwa sababu ananikumbusha mengi katika historia, hata kama sikubaliani na anavyoitafsiri historia kwa mrengo wake wa kihafidhina, kwa hiyo huyu ni mhafidhina ambaye ninaweza kumsoma.

Basi kaandika kaandika, namsoma namsoma, naona arguments zake shallow, ila ana data nzuri sana. Mwisho kabisa wa kitabu akamaliza na bonge la anti climax, kimsingi alimaliza kwa kukubali kwamba hata yeye hana majibu anafake tu.

Akanikumbusha tangazo moja la biashara la Marekani.

Jamaa anajisifia kayapatia maisha, ana nyumba nzuri ina swimming pool, ana familia nzuri, ana mali nyiingi.

Halafu anajiuliza swali, kawezaje kupata vyote hivi?

Akasema ana madeni yamemjaa kuanzia mguuni mpaka kwenye macho, karibu anataka kuzama kwenye madeni.

Shapiro naye alijenga kitabu kizima kama mtu anayejisifia sana kuwa na falsafa sahihi, halafu mwisho wa kitabu akakubali kwamba yote ni mambo ya kulazimisha tu.

Nilikuwa Naangalia Alivyokuwa anatoa maoni kuhusu Mzozo wa Palestine vs Israeli & LGBT & Watu Weusi wa Amerika ni balaa tupu.


Kuna Wafaasi Wake Wanamuita Ben An Intellectual Giant,Akatokea Jamaa akamuchambua kama ulivyomchmbua hapo,

Pia na njanja yake katika Midahalo dhidi ya Washindani Wake...Lakini aliompa sifa ya uwezo wake wakuongea haraka-haraka/fast.

Akasema Pia Ben hafiki hata robo ya Uwezo Wa Noam Chomsky-( Who rules The World, Understanding Power)
 
Nilikuwa Naangalia Alivyokuwa anatoa maoni kuhusu Mzozo wa Palestine vs Israeli & LGBT & Watu Weusi wa Amerika ni balaa tupu.


Kuna Wafaasi Wake Wanamuita Ben An Intellectual Giant,Akatokea Jamaa akamuchambua kama ulivyomchmbua hapo,

Pia na njanja yake katika Midahalo dhidi ya Washindani Wake...Lakini aliompa sifa ya uwezo wake wakuongea haraka-haraka/fast.

Akasema Pia Ben hafiki hata robo ya Uwezo Wa Noam Chomsky-( Who rules The World, Understanding Power)
Ndizo hizo habari za "echo chamber" nilizoongelea, unachagua maoni fulani halafu hutaki kusikia mengine, ukipata showman anayejua rhetorical presentation, unamuona giant.

Shapiro hata graduate student wa Chonsky bado hajamfikia. Chomsky anaweza kuanza kuchambua misingi ya lugha/ falsafa mpaka unakubali huyu mtu kasoma.

Nashukuru kwa ufuatiliaji wako.
 
Mi napenda kusoma vitabu vya stories hasa kwa ajili ya kujifunza kiingereza. Vitabu nilivyosoma ni The diary of whimpy kid, 5 love languages na War room.
 
OMG, Congratulations Nowonmai, I can't wait to read your book.

I haven't written a book yet. I've always wanted to write a novel but I find writing hard. You see, it looks easy peasy lemon squeezy but is actually difficult difficult lemon difficult. I'd really like to write a novel someday.

Ponte la pilas!!

Edit: Thank you for the book recommendations.
Vp Paula umemsoma Joe Navarro ktk kazi yake ya Dangerous personalities?
Aisee kinafaa sana kuwajua watu hatari wanaotuzunguka.
 
Ndizo hizo habari za "echo chamber" nilizoongelea, unachagua maoni fulani halafu hutaki kusikia mengine, ukipata showman anayejua rhetorical presentation, unamuona giant.

Shapiro hata graduate student wa Chonsky bado hajamfikia. Chomsky anaweza kuanza kuchambua misingi ya lugha/ falsafa mpaka unakubali huyu mtu kasoma.

Nashukuru kwa ufuatiliaji wako.
Pamoja Mkuu,,
 
Vp Paula umemsoma Joe Navarro ktk kazi yake ya Dangerous personalities?
Aisee kinafaa sana kuwajua watu hatari wanaotuzunguka.
Bado sijakisoma astig. Nimesikia tu watu wakikizungumzia. Ni psychology book enh?
 
Bado sijakisoma astig. Nimesikia tu watu wakikizungumzia. Ni psychology book enh?
Basi kitafute, kuna mtu alinishauri nikisome baada ya kumuambia shida yangu kuhusu jirani yangu mmoja ambaye tulikuwa tukigombana nae kila siku. Baada ya kukisoma si tu sasa najua jinsi ya kuishi nae bali nimegundua hata jinsi ya kumhandle mwenza wangu na hata jinsi ya kuishi bila shida na boss wangu.
Joe anaelezea watu wa aina tatu
1. Narcisistic
2. Emotionally unstable
3. Paranoid
4. Predator
Kizuri sana ukikielewa maana tunezungukwa na watu hao kila mahali ila hatujui kuwa ni watu hatari sana.
 
Basi kitafute, kuna mtu alinishauri nikisome baada ya kumuambia shida yangu kuhusu jirani yangu mmoja ambaye tulikuwa tukigombana nae kila siku. Baada ya kukisoma si tu sasa najua jinsi ya kuishi nae bali nimegundua hata jinsi ya kumhandle mwenza wangu na hata jinsi ya kuishi bila shida na boss wangu.
Joe anaelezea watu wa aina tatu
1. Narcisistic
2. Emotionally unstable
3. Paranoid
4. Predator
Kizuri sana ukikielewa maana tunezungukwa na watu hao kila mahali ila hatujui kuwa ni watu hatari sana.
Thank you astig.
Nitakitafuta.
 
Nahtaj sana vtabu vya ujasusi jins wanvyoish na kufny kaz zao,mwenye navyo aviweke humu
 
Mwenye kitabu cha kwaheri kwaheri ukoloni anaweza share plz nakitafuta sana
 
Back
Top Bottom