Bookworms of JF, what's your favorite book (s) and why?

Bookworms of JF, what's your favorite book (s) and why?

Sijui ni lugha gani nimejaribu kuangalia hata Google haijui ni lugha gani.
Hiki ni Kiswahili, na kila lugha zina lahaja. Mara nyingi huwezi kuta Kamusi imejumuisha lahaja zote za lugha fulani, sababu si jambo dogo.
 
Hi,

I used to think that reading was boring until I found books that really sparked my interest. Reading became important to me because it’s fun and it teaches me new things. It keeps my mind active and inshape and it makes a difference for me if I go long periods without reading books, my mind starts to stagnate.

My favorite book of all the time is East of Eden by John Steinbeck. I liked this book and I loved every page of it. To be honest this is a masterpiece. To this day still is one of the best motivational book I’ve ever read. I enjoyed it for the massages it provides. I have been reading the book and just got to these quotes “And now that, you don’t have to be perfect you can be good.” And “ If you want to be straight allow yourself to be crooked” etc. Truthfully this book gave me a little inspiration to pursue my goals.

Another one is The Hitchhiker’s Guide to the Galaxy by Douglas Adams. It’s the funniest book I have ever read. I’ve read the book many times, but still makes me laugh. I will share favorite part that I found myself re-reading, you know, Said Arthur,” It's at times like this when I m trapped in a Vogon...... And about to die of asphyxiation in deep space that I really wish I’d listened to what my mother told me when I was young”

“Why, what did she tell you?”

Arthur “ I don’t know, I didn’t listen”.
It’s so insanely funny and It reminds me that you shouldn’t take life so damn seriously.

Do you have any favorite book(s) you real like? Tell us about it, based on how good the book was, and why you think it was the best, what is the favorite part in it?

For those who don’t like reading, y'all should know that reading is the good way to learn new things, to see things in another perspective and to expand your creativity and linguistic skills.

Welcome guys.

G’day.
poor daddy rich daddy
 
Ukitaka maana ya hiki kilicho andikwa nitakupa maana zake. Msomi aitwaye Abdulatif Abdallah ameelezea maana za beti hizi. Ila hakuna Kamusi rasmi inayoelezea maana ya msamiati huu.
Sio kiswahili hiko mkuu.
 
Thank you.

Nah Nowonmai, I've never read it.
Just downloaded it, I will give it a read.
Thank you for your suggestion.

I am currently enjoying The hobbit. It's just so good.

Oh, btw How's it going?

Very well dear Paula.

Glad to know that you are enjoying the hobbits.

The people(or should I say creatures?) of middle earth; hobbits, elves, Gandalf, Arathorn, even Gollum are so delightful.

Beware the Nazgul though and of course the hellish ruler of Mordor.

Can you please provide for me(and mayhaps others) softcopies of the sequels of The Fellowship of The Rings? To wit, The Twin Towers and The Return of the King? I have read them before of course but I couldn’t keep the copies and as you are testifying, the Middle Earth is unforgottable.

My blessings.
 
1. Dafina ya Umalenga
2. Mtango wa Kiswahili
3. Upisho wa Umalenga
4. Kale ya Washairi wa Pemba (Kamange na Sarahani)
5. Utenzi wa al Inkishafi

Vitabu hazina kubwa ajabu, naendelea kusoma.

Naendelea....

Mkuu, hongera sana kwa kuwa na hivyo vitabu.

Riwaya, tamthiliya na mashairi ya kiswahili ni tamu sana.

Ni miaka sasa toka nisome Mzimu wa Watu wa Kale, Kisima cha Giningi, Duniani Kuna Watu, Kiu, Nyota ya Rehema, na takribani utunzi wote wa Shaaban Roberts lakini mpaka sasa sijawasahau bwana Ali, Kipwerere, Bwana Msa, Najum, Kassim Hakimu Marjani, Bi Selume, Mwinyi, Iddi, Rehema, Fouad na Utubora Mkulima kwa uchache.

Binafsi nakumbwa na hali ambapo kupata vitabu vya kiswahili ni ngumu zaidi kuliko vya kiingereza.

Nitafurahia sana kusoma vitabu vya kiswahili vya maudhui yoyote vitakavyoletwa humu.
 
Mkuu, hongera sana kwa kuwa na hivyo vitabu.

Riwaya, tamthiliya na mashairi ya kiswahili ni tamu sana.

Ni miaka sasa toka nisome Mzimu wa Watu wa Kale, Kisima cha Giningi, Duniani Kuna Watu, Kiu, Nyota ya Rehema, na takribani utunzi wote wa Shaaban Roberts lakini mpaka sasa sijawasahau bwana Ali, Kipwerere, Bwana Msa, Najum, Kassim Hakimu Marjani, Bi Selume, Mwinyi, Iddi, Rehema, Fouad na Utubora Mkulima kwa uchache.

Binafsi nakumbwa na hali ambapo kupata vitabu vya kiswahili ni ngumu zaidi kuliko vya kiingereza.

Nitafurahia sana kusoma vitabu vya kiswahili vya maudhui yoyote vitakavyoletwa humu.
Safi kabisa, ila mimi kuna vitabu huwa siwezi kuvisoma kwani huwa naona bapoteza muda hasa vitabu vya Riwaya na Tamthiliya huwa siwezi kuvisoma viwe vya lugha yoyote ile.

Nakipenda sana Kiswahili.
 
Kimakwe ni baada na kwisa ni maliza.
Naam kiswahili hasa ni baada na sio kimakwe.

Na kiswahili hasa maliza,au kumaliza na sio kwisa kama ulivyoeleza.

Kwisa sio kiswahili na kimakwe sio kiswahili.
Ni Kiswahili cha lini hiki ?
Kama sio cha kale basi min baabi awlaa kisiwe cha kisasa.
Unaujua Utenzi wa al Inkishafi ? Uliandikwa lini huu Utenzi ?
Siujui na hata hilo neno inkishafi sio kiswahili asili yake
 
Naam kiswahili hasa ni baada na sio kimakwe.

Na kiswahili hasa maliza,au kumaliza na sio kwisa kama ulivyoeleza.

Kwisa sio kiswahili na kimakwe sio kiswahili.
Kijana mbona unabisha vitu usivyo vijua. Niambie sasa hiko ni lugha gani ?

Maneno mangapi ya Kiswahili yana maana kwa Kiswahili ?

Niambie sasa Kwisa ni lugha gani na Kimakwe ni lugha gani ?
Siujui na hata hilo neno inkishafi sio kiswahili asili yake
Sasa kama huujui kwanini unapinga tena bila elimu ?

Tamko ni la asili ya Kiarabu ila ni la Kiswahili sababu limechukuliwa huko. Kwahiyo lina baki kuwa ni Kiswahili ila ni tamko la asili ya Kiarabu.
Kama sio cha kale basi min baabi awlaa kisiwe cha kisasa.
Jibu nilicho kuuliza.
 
Kijana mbona unabisha vitu usivyo vijua. Niambie sasa hiko ni lugha gani ?
Dah kwa hiyo kama lugha yake haifahamiki ndio ipachikwe kuwa lugha yake kiswahili ?

Kutokujua kwa lugha yake haijawa hoja ya kuwa hiko ni kiswahili,yaani neno combigenouz nikikataa kama sio kiswahili haina maana kuwa najua lugha yake.


Maneno mangapi ya Kiswahili yana maana kwa Kiswahili ?
Yapo Mengi tu yenye maana kwa kiswahili lakini sio hayo uliyoyataja,mengine yapo ila sio kwa hayo uliyoyataja.

Sawa mengine yapo yenye maana kwa kiswahili lakini je kuwepo kwa mengine ndo hoja hiyo ?

Tena yapo lakini sio kwa utofauti huo ambao upo katika hayo maneno yako wewe.


Tamko ni la asili ya Kiarabu ila ni la Kiswahili sababu limechukuliwa huko. Kwahiyo lina baki kuwa ni Kiswahili ila ni tamko la asili ya Kiarabu.
Tunakubaliana kuwa inkishafi sio neno la asili la kiswahili kama nilivyosema huko juu,


Jibu nilicho kuuliza.
Nimekujibu labda hujaelewa.

Nasema kwamba kama sio kiswahili cha kale basi hakiwezi kuwa kiswahili cha sasa hata kidogo.

Kwa hiyo sio kiswahili asili yake.
 
Dah kwa hiyo kama lugha yake haifahamiki ndio ipachikwe kuwa lugha yake kiswahili ?

Kutokujua kwa lugha yake haijawa hoja ya kuwa hiko ni kiswahili,yaani neno combigenouz nikikataa kama sio kiswahili haina maana kuwa najua lugha yake.
Unapo kanusha kitu kitu hakikisha una ushahidi dhidi yake. Huwezi kusema hiki si Kiswahili kisha unashindwa kuthibitisha ya kuwa si Kiswahili.


Yapo Mengi tu yenye maana kwa kiswahili lakini sio hayo uliyoyataja,mengine yapo ila sio kwa hayo uliyoyataja.

Sawa mengine yapo yenye maana kwa kiswahili lakini je kuwepo kwa mengine ndo hoja hiyo ?

Tena yapo lakini sio kwa utofauti huo ambao upo katika hayo maneno yako wewe.
Sasa thibitisha ya kuwa Kimakwe na kwisa si Kiswahili.

Unaandika kama unajua unachokiandika ila unashindwa kuthibitisha. Wewe niambie tu umejuaje kwamba hicho si Kiswahili.
Tunakubaliana kuwa inkishafi sio neno la asili la kiswahili kama nilivyosema
Ni neno la Kiswahili ila lina asili ya Kiarabu, la lilivyo tamko "Baada" ambalo huko juu ulisema ni Kiswahili hasa, ila lina asili ya Kiarabu. Kwahiyo Inkishafi ni Kiswahiki chenye asili ya Kiarabu kadhalika tamko "Baada" ni Kiseahili ila lenye asili ya Kiarabu.
Nimekujibu labda hujaelewa.

Nasema kwamba kama sio kiswahili cha kale basi hakiwezi kuwa kiswahili cha sasa hata kidogo.

Kwa hiyo sio kiswahili asili yake.
Ndiyo maana nilikwambia hujajibu swali. Kuna kiswahili cha Kale na Kiswahili sanifu, hakuna Kiswahili cha kisasa mzee. Kiswahili ni sarufi na fasihi na mengineyo. Weka akilini hili.

Sasa kama siyo Kiswahili ndiyo utuambie ni nini hiki ? Au unafikiri mambo yanatokea tu pasi na asili au kinyume chake. ?
 
Unapo kanusha kitu kitu hakikisha una ushahidi dhidi yake. Huwezi kusema hiki si Kiswahili kisha unashindwa kuthibitisha ya kuwa si Kiswahili.



Sasa thibitisha ya kuwa Kimakwe na kwisa si Kiswahili.

Unaandika kama unajua unachokiandika ila unashindwa kuthibitisha. Wewe niambie tu umejuaje kwamba hicho si Kiswahili.

Ni neno la Kiswahili ila lina asili ya Kiarabu, la lilivyo tamko "Baada" ambalo huko juu ulisema ni Kiswahili hasa, ila lina asili ya Kiarabu. Kwahiyo Inkishafi ni Kiswahiki chenye asili ya Kiarabu kadhalika tamko "Baada" ni Kiseahili ila lenye asili ya Kiarabu.

Ndiyo maana nilikwambia hujajibu swali. Kuna kiswahili cha Kale na Kiswahili sanifu, hakuna Kiswahili cha kisasa mzee. Kiswahili ni sarufi na fasihi na mengineyo. Weka akilini hili.

Sasa kama siyo Kiswahili ndiyo utuambie ni nini hiki ? Au unafikiri mambo yanatokea tu pasi na asili au kinyume chake. ?
Sawa mkuu sina hoja nilikurupuka haswa.

Sina usahihi katika hili
 
IMG_20200926_213107.jpg
IMG_20200926_213152.jpg


Tafuta hicho kitabu usome kina Tendi Tatu za Kale ambazo ni :

1. Utendi wa Fumo Liyongo
2. Utenzi wa Inkishafi
3. Utendi wa Mwanakupona

Nakuonyesha ya kuwa hicho ni Kiswahili. Siku nyingine uache kukurupuka na kusumbua watu.
 

Attachments

  • IMG_20200926_213107.jpg
    IMG_20200926_213107.jpg
    200.6 KB · Views: 21
Back
Top Bottom