Omerta
JF-Expert Member
- Jan 3, 2016
- 5,957
- 7,505
Hivi ni kitabu gani kweli?
The wealthy gardener
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi ni kitabu gani kweli?
"THE HIGHER YOU GO YOU FEEL LOWER"I read lots of books but mostly Christian books.THE MORE I READ THE MORE I FEEL SHALLOW.
Asante sana. Acha nijifunze Falsafa zilizomo humu, nitashare maoni yangu juu ya yaliyomo.As you are new to stoicism, I think "The Enchridion" is the good place to start.
It's really short and it helps a lot. You can study one chapter a day. Here's the book ,
Nahisi hiyo ndio tofauti muhimu.Tofauti yake na tablet zaidi ya kwamba haiumizi macho ni nini?
Hapana.Inatumia mb?
Nahisi hiyo ndio tofauti muhimu.
May be you feel shallow cause you mostly read christian books, also read islamic, buddhist, confucians, jewish, et cetera et cetera, i think you wont feel shallow..I read lots of books but mostly Christian books.THE MORE I READ THE MORE I FEEL SHALLOW.
Thank you, natafuta vitabu vya Marcus Aurelius, hasa Meditations na A life... Hivi PDF zake hakuna?Nahisi hiyo ndio tofauti muhimu.
Mkuu hicho kitabu gani?Asante sana. Acha nijifunze Falsafa zilizomo humu, nitashare maoni yangu juu ya yaliyomo. View attachment 1965787
Nimejaribu kudowload hii ila sasa kwa.playstore ziko nyingu sijui ipi inafanya kazi maana hii yangu haina option ya kuweka pdf file anayejua zaid aweke jina kamili ya hyo foxit inavyosomeka playstore.FOXIT PDF
Shida ni kwenye tone tu hapo ndo nashindwa hizi audio books. Kisauti cha kirobotic kabisa hii ukitumia apps kama hio foxit kama una ela ya subscription kuna audibles playstore /appstoreOkay, ilikuwa ni comment number #988 kwenye hii thread nilijibu hivi ,
"Kama unatumia PDF au hardcopy na kwa sasa unataka kutumia audiobook ni rahisi. Unaangalia tuu malengo yako ni yapi.,
1.Upo bize na unataka kusikiliza huku unaendelea na shughuli nyingine.
2. Unataka usikilize kwa sababu wewe ni mvivu wa kusoma.
3. Unahitaji backup ya kukuwezesha kumaliza kitabu mapema na kujifunza "pronunciations". Hii inamaanisha unasoma huku unasikiliza at the same time.
Hii ya tatu niliitumia sana mimi niliitumia sana kwenye kunifanya niwe na speed ya kusoma. Mfano kitabu unaweza kukuta kina page 200 ambapo itakuchukua muda kukimaliza, lakini Audiobook yake ina masaa matano hadi sita.
Unanunua kitabu au hata kama ni PDF. Halafu kusikiliza Audio huku unafuatilizia maandishi kwenye kitabu chako.
Nikifika mahali pa kutake notes, au kucheka, aku kutafakari na pause kisha na play naendelea.
Hivyo kama Audio ina masaa matano hiki kitabu ni rahisi wewe kukimaliza ndani ya masaa 10( inategemea na ugumu/urahisi wa kitabu husika).
Audiobook ni record ya sauti ya MTU anayesoma kitabu. Yaani unasililiza mtu akisoma kitabu husika".
Hizi Audiobooks zinauzwa, ila kuna siku member mmoja ali-share app ambayo unaiweka kwenye simu inakusomea kitabu chochote.
Hapana sifahamu, thegreen. Ila kuna watu wameandika humu kwamba wanauza nikiwakumbuka nitawaita.
Pole sana , unatumia Kindle au simu?
Hiki hapa mkuu Enjoy...Thank you, natafuta vitabu vya Marcus Aurelius, hasa Meditations na A life... Hivi PDF zake hakuna?
Asante sanaHiki hapa mkuu Enjoy...
Marcus aurelius my mentor 🌹
Post #2729Mkuu hicho kitabu gani?
Boss si ungenitajia tu jina 😃Post #2729