Bookworms of JF, what's your favorite book (s) and why?

Bookworms of JF, what's your favorite book (s) and why?

Wakuu mwenye kitabu cha THINK AND GROW RICH au THINK BIG
naomba atume soft copy yake kama anayo na shida nacho
 
As you are new to stoicism, I think "The Enchridion" is the good place to start.
It's really short and it helps a lot. You can study one chapter a day. Here's the book ,
Asante sana. Acha nijifunze Falsafa zilizomo humu, nitashare maoni yangu juu ya yaliyomo.
Screenshot_20211006-165938.jpg
 
Okay, ilikuwa ni comment number #988 kwenye hii thread nilijibu hivi ,


"Kama unatumia PDF au hardcopy na kwa sasa unataka kutumia audiobook ni rahisi. Unaangalia tuu malengo yako ni yapi.,

1.Upo bize na unataka kusikiliza huku unaendelea na shughuli nyingine.
2. Unataka usikilize kwa sababu wewe ni mvivu wa kusoma.
3. Unahitaji backup ya kukuwezesha kumaliza kitabu mapema na kujifunza "pronunciations". Hii inamaanisha unasoma huku unasikiliza at the same time.


Hii ya tatu niliitumia sana mimi niliitumia sana kwenye kunifanya niwe na speed ya kusoma. Mfano kitabu unaweza kukuta kina page 200 ambapo itakuchukua muda kukimaliza, lakini Audiobook yake ina masaa matano hadi sita.
Unanunua kitabu au hata kama ni PDF. Halafu kusikiliza Audio huku unafuatilizia maandishi kwenye kitabu chako.
Nikifika mahali pa kutake notes, au kucheka, aku kutafakari na pause kisha na play naendelea.
Hivyo kama Audio ina masaa matano hiki kitabu ni rahisi wewe kukimaliza ndani ya masaa 10( inategemea na ugumu/urahisi wa kitabu husika).


Audiobook ni record ya sauti ya MTU anayesoma kitabu. Yaani unasililiza mtu akisoma kitabu husika".
Hizi Audiobooks zinauzwa, ila kuna siku member mmoja ali-share app ambayo unaiweka kwenye simu inakusomea kitabu chochote.
Shida ni kwenye tone tu hapo ndo nashindwa hizi audio books. Kisauti cha kirobotic kabisa hii ukitumia apps kama hio foxit kama una ela ya subscription kuna audibles playstore /appstore
 
Hapana sifahamu, thegreen. Ila kuna watu wameandika humu kwamba wanauza nikiwakumbuka nitawaita.
Pole sana , unatumia Kindle au simu?

thegreen aende maeneo ya Posta, pale jengo la Shirika la Bima ule mtaa wote kuelekea Azania Front pametapakaa vitabu. Na ule upande karibia na Bank of Baroda. Ashindwe yeye tu
 
Thank you, natafuta vitabu vya Marcus Aurelius, hasa Meditations na A life... Hivi PDF zake hakuna?
Hiki hapa mkuu Enjoy...
Marcus aurelius my mentor 🌹
 

Attachments

Kwenye vitabu napenda fiction. Juzi kati hapo nimepata kitabu cha " a knight of the seven kingdoms" cha george RR martin mtunzi wa game of thrones. Hii kitu ni ya moto sana.. yaani unajikuta upo westeros kabisa
 
Back
Top Bottom