Bookworms of JF, what's your favorite book (s) and why?

Bookworms of JF, what's your favorite book (s) and why?

Do you ever feel bad about not finishing a book?

So, Compartment No. 6 by Rosa Liksom was recommended by a friend and I am having a hard time getting into this one.
I want to give up but I don't like not finishing something. I am trying to push through the rest anyway.
 
Kuna aliyesoma kazi za Tolkien? Nimekuwa na Silmarillion kwa siku nyingi lakini kilinitia uvivu kukisoma. Nimeanza kukisoma wiki hii. Huyu mzee alipata tabu sana kuandaa hizi kazi.
 
Trackers by Deon Meyer. Wapenzi wa riwaya za kipelelezi za kiafrika, kigongo kingine hiki.
Screenshot_20211118-214944.jpg
 
The Subtle of not giving a Fook- mark Manson
-The point is, most of us struggle throughout our lives by giving too many fucks in situations where fucks do not deserve to be given


Suntzu art of War - Make your plan be dark & impenetrable as night! When you move fall like a Thunderbolt
 
Kuna aliyesoma kazi za Tolkien? Nimekuwa na Silmarillion kwa siku nyingi lakini kilinitia uvivu kukisoma. Nimeanza kukisoma wiki hii. Huyu mzee alipata tabu sana kuandaa hizi kazi.
Nimesoma The Silmarillion ,The Hobbit, and LoTR. As for The Silmarillion..it's not an easy read, ni kama Old Testament. Mimi nilianza chapter ya mwisho (Of The Rings of Power and The Third Age) kuja mbele. Hapo bado majina yanachanganya, na ni mengi .
Make sure you read it slowly, Red Giant.
 
Nimesoma The Silmarillion ,The Hobbit, and LoTR. As for The Silmarillion..it's not an easy read, ni kama Old Testament. Mimi nilianza chapter ya mwisho (Of The Rings of Power and The Third Age) kuja mbele. Hapo bado majina yanachanganya, na ni mengi .
Make sure you read it slowly, Red Giant.
Kweli siyo kirahisi, pengine ndiyo maana imenichukua muda mrefu kukianza. Mtu mmoja au sehemu moja inaweza kuwa na majina kibao kulingana na contexts. Na kila kitu kina jina, kuanzia pete, panga tarumbeta nk. Na si majina rahisi kwa sisi wabantu. Sisi na Dagor Bragollach wapi na wapi!!😀😀. Hii ni kaz complex sana, hadi lugha mpya iliundwa!!! Ila niko full nondo, nina map na narejea mtandaoni. Bila kucheki map kwa makini hiki kitabu ni ngumu kukielewa. Lakini mpaka hapa nimekienjoy sana na napendekeza kwa wapenzi wa high fantasy wakisome.

Nilisoma The Hobbit kabla movies zake hazijatoka, kazi nzuri na movies zake nzuri pia. LoTR sidhani kama nitavisoma sababu nilianza na movies zake.

Heshima kubwa kwa Tolkien.
 
Bado upo na Deon Meyer.
Nina katabia kamoja ka kihafidhina, nikimsoma muandishi, akanivutia, huendelea kusoma vitabu vyake vyote. Sasa hiki cha Meyer, nilichosoma awali ilikuwa ni series ya kwanza ya Detective [in fact he is bodyguard] Lemer, hii ya sasa ni series ya pili. Na kuna kingine cha Thirteen Hours nacho kina rating za juu kiko kwenye list na chako cha Fever. So hopefully i will stop there.
 
Kweli siyo kirahisi, pengine ndiyo maana imenichukua muda mrefu kukianza. Mtu mmoja au sehemu moja inaweza kuwa na majina kibao kulingana na contexts. Na kila kitu kina jina, kuanzia pete, panga tarumbeta nk. Na si majina rahisi kwa sisi wabantu. Sisi na Dagor Bragollach wapi na wapi!!😀😀. Hii ni kaz complex sana, hadi lugha mpya iliundwa!!! Ila niko full nondo, nina map na narejea mtandaoni. Bila kucheki map kwa makini hiki kitabu ni ngumu kukielewa. Lakini mpaka hapa nimekienjoy sana na napendekeza kwa wapenzi wa high fantasy wakisome.

Nilisoma The Hobbit kabla movies zake hazijatoka, kazi nzuri na movies zake nzuri pia. LoTR sidhani kama nitavisoma sababu nilianza na movies zake.

Heshima kubwa kwa Tolkien.
Enh, Finrod, Finarfin, Feanor, Fingon, Finwe..lol.
Bila family tree na detailed map hauwezi.
 
Nina katabia kamoja ka kihafidhina, nikimsoma muandishi, akanivutia, huendelea kusoma vitabu vyake vyote. Sasa hiki cha Meyer, nilichosoma awali ilikuwa ni series ya kwanza ya Detective [in fact he is bodyguard] Lemer, hii ya sasa ni series ya pili. Na kuna kingine cha Thirteen Hours nacho kina rating za juu kiko kwenye list na chako cha Fever. So hopefully i will stop there.
Ni tabia nzuri.
Unajua ukiwa familiar na mwandishi kusoma kazi zake nyingine inakuwa ni rahisi na haichukui hata muda kumaliza maana unaelewa style yake.
 
Seems like i've been accustomed with this notification! [emoji3] It can't be a day without it.
Screenshot_20211119-183945_2.jpg
 
Hapana sijawai, na ni mgeni pia kwangu.
Niambie kuhusu yeye.
Point yako ya kumsoma muandishi na kumjua, imenipeleka kumkumbuka, actually ni yeye ndiye aliyenifanya nimjue Deon Meyer. Ni muandishi wa riwaya za kipelelezi (zote alizotoa ziko set Ghana). Ukizosoma of course kila moja ina tatizo fulani la kijamii inaloli-adress, ila zinafanana eneo moja, zote zinafunza kuhusu masuala ya utabibu na saikolojia ya uhalifu. Pengine kwa kuwa ni daktari kitaaluma, imefanya eneo hilo ziwe nzuri sana.
 
Back
Top Bottom