Paula Paul
JF-Expert Member
- Oct 23, 2019
- 4,649
- 13,607
- Thread starter
- #3,461
Kwenye philosophy nimekumbuka Sophie’s World by Jostein Gaarder. Umewahi kukisoma?Vitabu vizuri vya physlosophy au politics au great histories anyone?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwenye philosophy nimekumbuka Sophie’s World by Jostein Gaarder. Umewahi kukisoma?Vitabu vizuri vya physlosophy au politics au great histories anyone?
Anyway nadhani umuhimu wa kitu inategemea na mtu na mtu, mie kwangu nakiona useful sana kimenipa mwongozo katika kujipay me first na idea za savingsNimeishia kwenye page ya kwanza tu.
Nakubaliana na wewe kabisa kuwa kitabu kina madini. Lakini they're not realistic. Utajiri hauji kwa kufanya saving. Ni hadaa tu. Ndio maana siku hizi vitabu vya hivyo nilishachoka kuvisoma. Ukweli wa Utajiri hausemwi vitabuni.
Iseje kiwa Saving za 'Shamim Kibubu' wa Insta🤪Anyway nadhani umuhimu wa kitu inategemea na mtu na mtu, mie kwangu nakiona useful sana kimenipa mwongozo katika kujipay me first na idea za savings
Mimi sijakisoma bado ila ningetamani ukisome.Nimeishia kwenye page ya kwanza tu.
Nakubaliana na wewe kabisa kuwa kitabu kina madini. Lakini they're not realistic. Utajiri hauji kwa kufanya saving. Ni hadaa tu. Ndio maana siku hizi vitabu vya hivyo nilishachoka kuvisoma. Ukweli wa Utajiri hausemwi vitabuni.
Sijawahi kuvisoma, ila sijui ni hicho cha gambosh nilisoma tu page moja mwandishi kaandika "nikaliaa wee nikalia weeee" nikaona ujinga huu sikuendelea🤣🤣🤣🤣🤣 bibi yangu anakula nyama za watu. Nilisomaga zamani sana hii hadithi.. Na je kile cha 'KILE DEMU NA UTAMU WAKE' Unakifahamu? 🤪🤣
Naomba self helping books paula, dizaini hizo za love youselfMimi sijakisoma bado ila ningetamani ukisome.
Yes, we don’t get rich by saving money. Ila unaweza kuwa tajiri kwa ku invest pesa hizo ulizo zisave. Ili uweze kufanya investment inataka uwe na pesa. Na hizo pesa unaweza kuzipata kwenye savings zako, right?
Kisome, Wildlifer.
Simjui huyo nsimulie kidogoIseje kiwa Saving za 'Shamim Kibubu' wa Insta🤪
It can't be. Yule dem aliyekua anahamasisha wafanye saving akaja fungwa kwa issues za drugs.Simjui huyo nsimulie kidogo
Ujue kwanini nakuambia kwangu ni useful mie bana sinaga matumizi mazuri ya pesa yani sina nkipata salary ni matumizi hadi senti ya mwiisho kisha naanza kukaa dolo, kuna siku i asked my self hivi nakaa sina hata 100 mbovu nikipata dharura hapa nafanyaje, nikipigiwa hata simu mzazi mgonjwa inahitajika hata elf 50 sina....so kupitia hiki kitabu sahivi walau siwezi kushindwa kuafford vidharura.Nimeishia kwenye page ya kwanza tu.
Nakubaliana na wewe kabisa kuwa kitabu kina madini. Lakini they're not realistic. Utajiri hauji kwa kufanya saving. Ni hadaa tu. Ndio maana siku hizi vitabu vya hivyo nilishachoka kuvisoma. Ukweli wa Utajiri hausemwi vitabuni.
Love yourself bado sijasoma Dear. Ila self help books zipo nyingi na categories mbalimbali, about money, business, positive thinking, self esteem, relationships .Naomba self helping books paula, dizaini hizo za love youself
Oooohhh shamimu mwasha, namjua nakumbuka alikua ni motivesheno spika huko insta😁It can't be. Yule dem aliyekua anahamasisha wafanye saving akaja fungwa kwa issues za drugs.
🤣🤣 Eti nikalia wee.Sijawahi kuvisoma, ila sijui ni hicho cha gambosh nilisoma tu page moja mwandishi kaandika "nikaliaa wee nikalia weeee" nikaona ujinga huu sikuendelea🤣🤣
Money, positive thinking na self esteem....vya relationship nkiwa na mood 😁Love yourself bado sijasoma Dear. Ila self help books zipo nyingi na categories mbalimbali, about money, business, positive thinking, self esteem, relationships .
Nikupe kipi Evelyn?
Basi nitakisoma, nguvu ya kuwakatalia wanawake wawili naitoa wapi😄, na nitatoa maoni yangu hapa hapa!Mimi sijakisoma bado ila ningetamani ukisome.
Yes, we don’t get rich by saving money. Ila unaweza kuwa tajiri kwa ku invest pesa hizo ulizo zisave. Ili uweze kufanya investment inataka uwe na pesa. Na hizo pesa unaweza kuzipata kwenye savings zako, right?
Kisome, Wildlifer.
Nimekuelewa sana Evelyn. Na kwa kweli kwa angle hiyo nakuelewa, mimi pia ni bad spender, na ilinitesa kwa miaka mingi hadi nilipoweka mifumo ya kunidhibiti. Hata ukipata 10 Mil kwa siku, bila kuwa na Saving, kuna mahala utakwama.Ujue kwanini nakuambia kwangu ni useful mie bana sinaga matumizi mazuri ya pesa yani sina nkipata salary ni matumizi hadi senti ya mwiisho kisha naanza kukaa dolo, kuna siku i asked my self hivi nakaa sina hata 100 mbovu nikipata dharura hapa nafanyaje, nikipigiwa hata simu mzazi mgonjwa inahitajika hata elf 50 sina....so kupitia hiki kitabu sahivi walau siwezi kushindwa kuafford vidharura.
Kwahiyo mie savings sio kuwa tajiri, ila we wildlifer kama haukosi vimilioni tano kwenye wallet bila shaka hauhitaji msaada wa saving, umenipata?
The Alchemist by Paul Coelho umewahi kukisoma? Ni kitabu kizuri sana, kirahisi pia kwa lugha na ukimaliza kukisoma hautojutia muda wako.Money, positive thinking na self esteem....vya relationship nkiwa na mood 😁