Nyamuleha jr
Senior Member
- Feb 20, 2013
- 185
- 65
mtizamo wangu ni tofauti na wewe, 7500 kwa mwezi 225,000 mshahara wa mtu wa mwezi pale ero link customer care vodacom. Mnatumia vibaya hizo pesa, starehe zitawauwa. Shemeji zangu wawili wapo vyuoni. Wa kiume alipopata mkopo akakamata demu hapo shule akampa mtaji demu wakaja dar kununua viatu vya biashara. Wa kike pesa za mkopo akamwongezea boyfriend anunue Noah waoshe hapa town. Sasa wadogo zangu wa vyuoni ishini maisha ya kawaida msipende kujikweza
mtizamo wangu ni tofauti na wewe, 7500 kwa mwezi 225,000 mshahara wa mtu wa mwezi pale ero link customer care vodacom. Mnatumia vibaya hizo pesa, starehe zitawauwa. Shemeji zangu wawili wapo vyuoni. Wa kiume alipopata mkopo akakamata demu hapo shule akampa mtaji demu wakaja dar kununua viatu vya biashara. Wa kike pesa za mkopo akamwongezea boyfriend anunue Noah waoshe hapa town. Sasa wadogo zangu wa vyuoni ishini maisha ya kawaida msipende kujikweza
Fedha inayotolewa na heslb kwa wanafunzi wa elimu ya juu kwaajili ya chakula na malazi yaani meals and accomodation alimaarufu kama bumu haitoshelezi labda pengine kama ingekuwa ya meals tu lakini haitoshi tsh 7500 kwa siku ukilinganisha na gharama za maisha haitoshi matokeo yake ndio wasomi wabovu kvtokana na njaa mimi ningependekeza pesa hii kuongezwa hadi 12000 kwa siku ili niweze kupanga chumba mtaani nipate chakula na nauli
UMEONGEA PWENTI.MKUU.. Sie wengine tulisoma enzi hizo boom 5000 per day na tulijibana hadi pesa zikawa zinabaki mwisho wa semester bila kujali semester dume au laa... TATIZO HAWA VIJANA WANA MAMBO MENGI.. Wanataka iphone5, laptop apple(mac book), bado wanataka ipad/tablet, bling bling, kujirusha na ngono....
UKIWA NA PLAN ZINATOSHA.. I thought kijana angekuja na hoja ya kuomba hizo pesa ziwafikie wanachuo wengi bila urasimu
kama haitoshi mbona mnashinda bar mnalala club na kununua cm za mamilioni?? CIUNGI MKONO HOJA!
Fedha inayotolewa na heslb kwa wanafunzi wa elimu ya juu kwaajili ya chakula na malazi yaani meals and accomodation alimaarufu kama bumu haitoshelezi labda pengine kama ingekuwa ya meals tu lakini haitoshi tsh 7500 kwa siku ukilinganisha na gharama za maisha haitoshi matokeo yake ndio wasomi wabovu kvtokana na njaa mimi ningependekeza pesa hii kuongezwa hadi 12000 kwa siku ili niweze kupanga chumba mtaani nipate chakula na nauli
UMEONGEA PWENTI.MKUU.. Sie wengine tulisoma enzi hizo boom 5000 per day na tulijibana hadi pesa zikawa zinabaki mwisho wa semester bila kujali semester dume au laa... TATIZO HAWA VIJANA WANA MAMBO MENGI.. Wanataka iphone5, laptop apple(mac book), bado wanataka ipad/tablet, bling bling, kujirusha na ngono....
UKIWA NA PLAN ZINATOSHA.. I thought kijana angekuja na hoja ya kuomba hizo pesa ziwafikie wanachuo wengi bila urasimu
mtizamo wangu ni tofauti na wewe, 7500 kwa mwezi 225,000 mshahara wa mtu wa mwezi pale ero link customer care vodacom. Mnatumia vibaya hizo pesa, starehe zitawauwa. Shemeji zangu wawili wapo vyuoni. Wa kiume alipopata mkopo akakamata demu hapo shule akampa mtaji demu wakaja dar kununua viatu vya biashara. Wa kike pesa za mkopo akamwongezea boyfriend anunue Noah waoshe hapa town. Sasa wadogo zangu wa vyuoni ishini maisha ya kawaida msipende kujikweza
Hapa mimi mtoto wa kabwela natumia 3500 kwa cku,na maisha yanasogea
Mkuu toka mambo ya cost sharing yameanza hakuna mwaka eti hela ya boom ilitosha. Ni wewe mwenyewe jinsi gani utaitumia. Hela ya boom hakutosha na haitotosha. We piga buku maliza shule anzaUnapotoa hoja yako angalia muda,wewe 5000 ilikuwa inakutosha kwa wakati huo si sasa hivi kwani gharama za maisha zimepanda
kama haitoshi mbona mnashinda bar mnalala club na kununua cm za mamilioni?? CIUNGI MKONO HOJA!