Kiraka Kikuu
JF-Expert Member
- Oct 3, 2011
- 5,903
- 1,979
Kama ndiyo, kwanini, na kama siyo kwanini???
Karibuni kwa mjadala.
Karibuni kwa mjadala.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
natoka hapa fikiria kwanza ndio utamke hayo
natoka hapa namvyoomba kuongezewa salary je
Kama ndiyo, kwanini, na kama siyo kwanini???
Karibuni kwa mjadala.
natoka hapa sorry sikushambulii ila wazo lako pia la msingi kwa kujenga taaluma ya elimu ya juu
Hapa ni kufikitia gharam ya maisha inayomkabiri mwanafunzi jua bidhaa mbalimbali zimepanda kulingana na kushika kwa uzalishji mali nchini na uchumi pia so nivyema kuongezea kipata mwanafunzi huyu anayepata shida kwa uzembe wa viongozi wetu
natoka hapa fikiria kwanza ndio utamke hayo
Kama ndiyo, kwanini, na kama siyo kwanini???
Karibuni kwa mjadala.
Nami nichangie kidogo.
Fedha yoyote, kutosha au kutotosha kwake junategemea vitu vikubwa viwili: nidhamu ya matumizi(hakikisha hautumii hadi senti ya mwisho),na fedha inayo baki tumia kwa kuwekeza,hata kwenye biashara ndogo ndogo itakayo kuletea faida na kuzalisha iwe nyingi.
Boom halitoshi kwa wengi kwa sababu wanatumia kila senti na kusubiri lingine.
Mimi binafsi,natumia boom kujilipia ada ya sh laki sita kwa mwaka, maisha ya kila siku mjini,kodi ya nyumba and any other uses you can name,na bado boom linabaki,maana nalizalisha.
Haya ni mawazo yangu tu.