Ngungus alishasema hatokiiiiKwahiyo wamebaki upande wa ngungus?
Ndio maana Ngungus Boy hataki kujiuzulu sababu anajua tatizo kuu la 5imba ni MwamediHivi wajumbe wa bodi ya Simba ndio tatizo la msingi la Simba kufanya vibaya? Je Yeye mwekezaji alikuwa anatimiza majukumu yake ipasavyo? Kama wajumbe 3 wamekataa kujiuzulu Ina maana Kuna mengi chini ya kapeti wanayajua juu ya mwekezaji wanaona anataka kuwatoa mbuzi wa kafara wakati yeye mwenyewe ndio chanzo Cha tatizo, zile bilioni 20 aliziweka benki Gani?
π€π€π€π€More to come
Shida sana hii walahiNgungus alishasema hatokiiii
Niliwaambia hapa mkabisha ooh Mo ndio boss wake hawezi kwenda kinyume naye, haya sasa.π¨ BREAKING.
wajumbe wote wa bodi ya klabu ya Simba SC kutokea upande wa muwekezaji, Mohamed Dewji wamejiuzulu...