Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mobeto akitoka kwa mwana yanga apewe nafasi hukuNiliwaambia hapa mkabisha ooh Mo ndio boss wake hawezi kwenda kinyume naye, haya sasa.
Tatizo hatapokea simu.Sisi wanachama na sisi tumpigie Mangungu. Atokeee hatumtaki
Baada ya 2030?Waparurane wakija kushtuka Yanga bingwa mpaka 2030
Kumbe kuna Shangazi kwenye bodiMwekezaji wa klabu ya Simba, Mfanyabiashara Mohamed Dewji ameripotiwa kutoa shinikizo la kujiuzulu nafasi zao kwa wajumbe wote aliowateua yeye ambapo mpaka sasa wajumbe watatu wamejiuzuli huku wengine watatu wakigoma.
Wajumbe waliogoma kutii amri ya tajiri mpaka sasa ni pamoja na Mwenyekiti wa Bodi hiyo Salim Abdallah Muhene 'Tryagain', Rashid Shangazi ambaye pia ni Mbunge wa Mlalo na Hamza JOHARI ambaye pia ni Mkurugenzi wa Mamlaka za viwanja vya ndege Tanzania.
#KitengeSports
Nifah haunaga show mbovu! Heshima kwako 🖖Niliwaambia hapa mkabisha ooh Mo ndio boss wake hawezi kwenda kinyume naye, haya sasa.
UlajiHizi takataka nyeusi kwa nini huwa zinang'ang'ania madaraka.Ukishindwa kutimiza malengo maana yake kazi imekushinda..ndio maana hamna maendeleo Africa..Try again na Mangungu washikwe na kuwekwa ndani
Hizi takataka nyeusi kwa nini huwa zinang'ang'ania madaraka.Ukishindwa kutimiza malengo maana yake kazi imekushinda..ndio maana hamna maendeleo Africa..Try again na Mangungu washikwe na kuwekwa ndaniw
Wanachama hawana nguvu ya kumtoa hawakumuweka waoTry Again na Mangungu ndo wanaongoza list ya viongozi wasiotakiwa na wanachama wa Simba.
Ila ajabu Try Again bado anakaza kung'atuka. Muda ufike sasa wanachama wamshughulikie labda ndo atakubali kujiuzulu.
Labda huenda Try again ana baraka za MO za yeye kuendelea kukaidi agizo la kuachia madarakaTry Again na Mangungu ndo wanaongoza list ya viongozi wasiotakiwa na wanachama wa Simba.
Ila ajabu Try Again bado anakaza kung'atuka. Muda ufike sasa wanachama wamshughulikie labda ndo atakubali kujiuzulu.
Dahh mwanetu Jaribu Tena pamoja na kula gamba lake la diploma ya uongozi kutoka FIFA nae kajiuzulu, sasa mkisifiwa na Rais wa FIFA nani atawaambia maana mwana yupo karibu sana na Rais wa FIFA.Shaffih anatupa za ndaaani kabisa, anasema Wajumbe wa Bodi ya Simba wamejiuzuru.
Nini maoni yako kuhusu move hii kama itakuwa na ukweli
PIA SOMA
- Tetesi: - Simba inatarajia kumrejesha tena Barbara Gonzalez kwenye Bodi
View attachment 3010487