Tetesi: Boom: Wajumbe wote wa Bodi ya Simba upande wa Mo Dewji wajiuzulu

Kimeumana, anyway tusubiri tuone kama kutakuwa na jipya
 
Hizi takataka nyeusi kwa nini huwa zinang'ang'ania madaraka.Ukishindwa kutimiza malengo maana yake kazi imekushinda..ndio maana hamna maendeleo Africa..Try again na Mangungu washikwe na kuwekwa ndani
 
Kumbe kuna Shangazi kwenye bodi
 
Try Again na Mangungu ndo wanaongoza list ya viongozi wasiotakiwa na wanachama wa Simba.

Ila ajabu Try Again bado anakaza kung'atuka. Muda ufike sasa wanachama wamshughulikie labda ndo atakubali kujiuzulu.
 
Ks
Hizi takataka nyeusi kwa nini huwa zinang'ang'ania madaraka.Ukishindwa kutimiza malengo maana yake kazi imekushinda..ndio maana hamna maendeleo Africa..Try again na Mangungu washikwe na kuwekwa ndaniw

Try Again na Mangungu ndo wanaongoza list ya viongozi wasiotakiwa na wanachama wa Simba.

Ila ajabu Try Again bado anakaza kung'atuka. Muda ufike sasa wanachama wamshughulikie labda ndo atakubali kujiuzulu.
Wanachama hawana nguvu ya kumtoa hawakumuweka wao
 
Try Again na Mangungu ndo wanaongoza list ya viongozi wasiotakiwa na wanachama wa Simba.

Ila ajabu Try Again bado anakaza kung'atuka. Muda ufike sasa wanachama wamshughulikie labda ndo atakubali kujiuzulu.
Labda huenda Try again ana baraka za MO za yeye kuendelea kukaidi agizo la kuachia madaraka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…