Uchaguzi 2020 Bora CHADEMA mngesitisha uzinduzi wa kampeni kufuatilia hujuma za wagombea wenu kuenguliwa

Uchaguzi 2020 Bora CHADEMA mngesitisha uzinduzi wa kampeni kufuatilia hujuma za wagombea wenu kuenguliwa

Unajua kuna mburura wengine bado hamjaijua siasa ya cdm.
Mfano,wagombea wengi hao unaodai wameenguliwa ni wagombea matapeli kweli kweli.
Wameweka vyao mfukoni wengine mara katekwa,kajisahaulisha makusudi kurudisha form fulan etc.
Mnafiki wewe!!
 
Mkuu, huo ushauri wako utawaingiza kingi, namkuthubutu kususa itakula kwenu. Chamsingi wanasheria wenu waplay part kuwasaidia wagombea wenu Period
 
Umechelewa,

Niliandika jana hapa kwamba Lisu angekuwa na akili angetumia ule muda aliotumi kumuwekea Magufuli pingamizi katika kushughulikia na kuwasaidia wabunge wake kwenye majimbo walioenguliwa.

Badala yake yeye akaenda kutafuta sifa ili amfurahishe beberu wake amsterdam na wafuasi wake w mitandaoni.
 
Wala usitie Shaka. Mwenyekiti na mgombea wetu wanatoa maelekezo murua kesho.

Pamoja na hayo!!! Wananchi tumeshajua cha kuwafanya hawa wadhalimu, salamu walizipata Jana Tunduma na watazipata Tanzania nzima mwaka huu. Hatuitaji Chadema kufuatilia maana kama wananchi tumeshachoka udhalimu wa CCM

Kuonewa sasa baaasi!!!
 
Wataachaje kampeni wakt wameshachukua ela za mabeberu kwa kuwadanganya kuwa wanakubalika na watashinda uchaguzi?

Inashangaza sana chama ambacho kinajinasibu kuwa kitashinda uchaguzi sasa unajiuliza inamaana chadema na usomi wao wanashindwa kujua huwezi kuunda serikali usipokuwa na wabunge wa kutosha au nia yao ni kupata Urais tu? Lissu ameshawadanganya mabeberu kuwa watashinda na ukweli Chadema wanajua kabisa hawana ubavu wa kushinda uchaguzi ndo maana kutwa Lissu anafanya visa ili tu mabeberu waone anaonewa kuwekewe vikwazo kwa taarifa yake tutawangalia tu wala hatumgusi ataguswa na box la kula pale atakapopata kura 668,756 sawa na 5.88% kama alizopata Boss wake Mbowe mwaka 2005
Kwa ulichokiandika nimeshindwa kukusifia kwamba una mbwa to
 
Tuliwaambia pia wakati nyie mkishangilia mbwembwe na kejeli za Lisu kwa Magufuli ccm wao wako huku field wanapanga mbinu za ushindi. Mkawa mnatukana.

Haya mwambieni Ansterdam awasaidie sasa!
 
Mkuu haya yalifahamika mapema kwamba yatatokea , kila kanda ina timu makini sana ya wanasheria wanasimamia jambo hili kwa ukamilifu kabisa
 
Sasa kuondolewa kwa hila ni dalili kuwa hawakubaliki, au hujui unaoongea nini?
Kuondelewa kwa hila kivipi lini umesikia Chadema wana semina hata ya kuwafundisha wagombea wao kujaza form za uchaguzi au kuwaeleza wanatakiwa wafanye nini kuepuka mitego ya NEC ? Walishindwa nini kufanya hvyo ela za ruzuku zinafanya nn kwanini zisitumike kufanya hvyo? Acheni mambo yenu mmekosea kujaza maform then mnataka kuwapa lawama wengine .
 
Lissu hawezi kuwa nchi nzima. Huu ni ufedhuli ambao viongozi wanatakiwa waongoze wananchi kuupinga hata kwa kumwaga damu. It cannot get worse than this. Lissu hana uwezo wa Kimungu kwamba takuwa Sumbawanga, Mpwapwa, Mtama, Bunda kwa wakati mmoja. Kabla ya kulaumu, fikiri kwanza. Haya si mazingira ya kawaida. Nchi inahitaji mapinduzi. Demokrasia imeshindikana.
Umechelewa,

Niliandika jana hapa kwamba Lisu angekuwa na akili angetumia ule muda aliotumi kumuwekea Magufuli pingamizi katika kushughulikia na kuwasaidia wabunge wake kwenye majimbo walioenguliwa.

Badala yake yeye akaenda kutafuta sifa ili amfurahishe beberu wake amsterdam na wafuasi wake w mitandaoni.
 
ndugu mtoa mada, hoja yako haina mashiko, sasa waache kufanya kampen halafu inakuaje? hv una faham kama kampeni ni mwezi mmoja tu? kimsingi labda nikuelekeze kitu kimoja kinaitwa division of labour au mgawanyo wa majukumu sasa ni vyema wengine wangeendelea na kampen na wachache wafuailie hili swala lakin usiseme eti waache kupiga kampen, au ww makijani nn unataka kuwaingiza wenzio chaka? hv kwel kabisa unaongea toka moyoni unaona kama wasifanye kampeni? una hatar sana ndugu, binafsi napingana na wewe kwa 100℅
 
Tukirudi katika neutral point, hata wapumbavu wa CCM wanaweza kuona 'hujuma' inayoendelea.Kwa kifupi tu, vikwazo vitaihusu government, safari hii kichomi ni kikali sana.

Tundu Lissu kaamua pia kufata gari, polisi wanaruka ruka tu, yote haya yanakuwa profiled na kutumwa hukoo kwa "wasaidizi wa kupatikana kwa haki". Tayari ripoti ya vifo imeshakwenda huko death toll inasoma 3.
 
Back
Top Bottom