KERO Bora Daraja la Magufuli likamilike tu, foleni Kivuko cha Kigongo - Busisi ni kero na zinaharibu ratiba za Watu

KERO Bora Daraja la Magufuli likamilike tu, foleni Kivuko cha Kigongo - Busisi ni kero na zinaharibu ratiba za Watu

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

KwetuKwanza

Member
Joined
Mar 13, 2023
Posts
82
Reaction score
150
1000180946.jpg

1000180947.jpg

Leo nimebahatika kupita katika Kivuko cha Kigongo - Busisi Mkoani Mwanza, nikiwa abiria nimekuta hali ni mbaya, ni kero Kwa kila mtu.

Foleni ya magari ni kubwa sana, foleni ya abiria ni kubwa, abiria unatumia takribani saa mbili hadi tatu kuvuka, magari yanatumia saa mawili hadi tatu pia kuvuka kwenda upande wa pili.

Nimeona kuna vivuko viwili tu ndivyo vinafanya kazi. Pande zote mbili za kivuko ni hatari, foleni kubwa mno, magari ni mengi, hali hii inachosha sana kwetu abiria, hatujui tatizo ni nini, je ni uchache wa Vivuko au kuna shida kwenye uongozi?

Leo saa kumi na mbili tufika hapa kivukoni, lakini tumekuta magari ya toka jana yake bado hayajavuka, tumefanikiwa kuvuka saa tatu kamili, tumechoka sana.

Abiria wanakaa kwenye lile jumba la abiria hadi wanachoka, changamoto inaonekana vivuko ni vichache na mahitaji ni makubwa.

Vivuko ni kama vimelemewa, na kasi ya hivi vilivyopo inaonekana ni ndogo, Serikali iingilie kati hii hali ya Kigongo - Busisi, inatukera sana abiria, inatukera sana wananchi.

Nimeangalia pande zote mbili za vivuko, nimekuta foleni kubwa na ndefu ya magari Tena magari ya abiria, foleni inafika hadi mlimani kwenye Barabara Kuu, unakuta foleni Hadi kilometa moja urefu wake.

Watu tunachoka, inakera na kuleta hasara kwetu wananchi, maana muda ni mali.

Serikali ifungue Daraja la Magufuli watu tupite hii hali ya kivuko inatuchosha sana.
1000180950.jpg

1000180952.jpg

Pia soma:
~
Mwanza: Ujenzi wa Daraja la JP Magufuli (Kigongo-Busisi) umefikia 96.3%
~ Rais Samia akagua ujenzi wa Daraja la J.P Magufuli, ujenzi wafikia 93%
~ Baada ya kivuko Busisi kuzingua, wananchi waruhusiwa kupitia katika Daraja la Magufuli na kuvuka kwa mguu hadi ng’ambo
~ Vivuko vya Kigongo-Busisi havifanyi kazi leo. Daraja lifunguliwe kwa dharura kuruhusu magari
 
Hivi lile daraja lililokuwa linajengwa na Magufuli halijamalizika bado au nini kinaendelea
 
Some people were complaining when Magufuli made the decision to build the bridge down there. They said he was building it because his wife was from Busisi, that the bridge had no economic advantage, and other nonsense. Now look at the kind of problem people are facing.
 
Hilo daraja la muda la mkandarasi si lingetumika tu kipindi hiki ukizingatia yeye halitumii sana kwa sasa yupo juu anatia lami.

Au mpaka aje Said Mtanda hapo ndiyo aamue.

Hayo magugu maji yana mpaka afisa wa serikali anaitwa afisa magugu maji lakini hawezi hata kuyaondoa kwenye njia ya kivuko miaka yote yamenasa kwenye daraja hapo.
 
View attachment 3257074View attachment 3257075View attachment 3257076View attachment 3257077
Leo nimebahatika kupita kivuko cha Kigongo- Busisi Mkoani Mwanza, kama abiria nimekuta hali ni mbaya, ni Kero Kwa kila mtu.

Foleni ya magari ni kubwa sana, foleni ya abiria ni kubwa sana, abiria unatumia masaa mawili Hadi matatu kuvuka, magari yanatumia masaa mawili Hadi matatu kuvuka kwenda upande wa Pili.

Nimeona Kuna vivuko viwili tu ndivyo vinafanya kazi.

Pande zote mbili za kivuko ni hatari, foleni kubwa mno, magari ni mengi, hali hii inachosha sana kwetu abiria, hatujui tatizo ni Nini, je ni uchache wa vivuko au Kuna shida kwneye uongozi?

Leo saa kumi na mbili tufika hapa kivukoni, lakini tumekuta magari ya toka Jana Bado hayajavuka, tumefanikiwa kuvuka saa tatu kamili, tumechoka sana.

Abiria wanakaa kwenye lile jumba la abiria Hadi wanachoka, Changamoto inaonekana vivuko ni vichache na mahitaji ni makubwa.

Vivuko ni kama vimelemewa, na Kasi ya hivi vilivyopo inaonekana ni ndogo, Serikali iingilie kati hii hali ya Kigongo- Busisi, inatukera sana abiria, inatukera sana wananchi.

Nimeangalia pande zote mbili za vivuko, nimekuta foleni kubwa na mdefu ya magari Tena magari ya abiria, foleni inafika Hadi milimani kwenye Barabara kuu, unakuta foleni Hadi kilometa moja urefu wake.

Hali ni mbaya sana kivukoni, watu tunachoka, inakera na kuleta hasara kwetu wananchi, maana muda ni Mali.

Serikali ifungue Daraja la Magufuli watu tupite hii hali ya kivuko inatuchosha sana.
Serikali inaelekea kutamatisha mwarobaini kwa uzinduzi wa daraja la Busisi...tatizo mradi umeenda kasi sana maana tunasubiri kamprni zianze ndo tuzindue tupate kura zote za wanakanda ya Ziwa.
 
Afu serikali haipendag mapicha picha kwenye mambo yake kuna siku watakukamata
Sio serikali tuu unapigaje picha watu na magari ya watu kiholela hivyo bila ruhusa yao? Kama mtu hakutaka kujulikana yuko huko je? Au mwenye hiyo BM manake hata namba hajazihide
 
kuna siku nilifika hapo sa 12 jioni, nikavuka sa 6 usiku, sina hamu.
Hicho kivuko ni moja ya kero kubwa sana , hiyo ya kutumia muda mwingi ni kawaida sana hasa siku za weekend, abiria na magari ni mengi kuliko idadi ya vivuko vinavyokuwepo, kama husafiri kwa private car bora ukubali hasara ya kuunganisha magari ya abiria ili kuokoa muda
 
View attachment 3257074View attachment 3257075View attachment 3257076View attachment 3257077
Leo nimebahatika kupita kivuko cha Kigongo- Busisi Mkoani Mwanza, kama abiria nimekuta hali ni mbaya, ni Kero Kwa kila mtu.

Foleni ya magari ni kubwa sana, foleni ya abiria ni kubwa sana, abiria unatumia masaa mawili Hadi matatu kuvuka, magari yanatumia masaa mawili Hadi matatu kuvuka kwenda upande wa Pili.

Nimeona Kuna vivuko viwili tu ndivyo vinafanya kazi.

Pande zote mbili za kivuko ni hatari, foleni kubwa mno, magari ni mengi, hali hii inachosha sana kwetu abiria, hatujui tatizo ni Nini, je ni uchache wa vivuko au Kuna shida kwneye uongozi?

Leo saa kumi na mbili tufika hapa kivukoni, lakini tumekuta magari ya toka Jana Bado hayajavuka, tumefanikiwa kuvuka saa tatu kamili, tumechoka sana.

Abiria wanakaa kwenye lile jumba la abiria Hadi wanachoka, Changamoto inaonekana vivuko ni vichache na mahitaji ni makubwa.

Vivuko ni kama vimelemewa, na Kasi ya hivi vilivyopo inaonekana ni ndogo, Serikali iingilie kati hii hali ya Kigongo- Busisi, inatukera sana abiria, inatukera sana wananchi.

Nimeangalia pande zote mbili za vivuko, nimekuta foleni kubwa na mdefu ya magari Tena magari ya abiria, foleni inafika Hadi milimani kwenye Barabara kuu, unakuta foleni Hadi kilometa moja urefu wake.

Hali ni mbaya sana kivukoni, watu tunachoka, inakera na kuleta hasara kwetu wananchi, maana muda ni Mali.

Serikali ifungue Daraja la Magufuli watu tupite hii hali ya kivuko inatuchosha sana.

Darajani kuvuka kwa rushwa, daraja litakamilika je?

Huko usengerema kila mahali hadi taasisi za umma ni uporaji Kwa kwenda mbele:

Chalamila, serikali wanapotutaka kulipia huduma za serikali wanajua malipo tunayolipa serikalini bila kupewa risiti ni kwa maslahi ya nani?
 
View attachment 3257074View attachment 3257075View attachment 3257076View attachment 3257077
Leo nimebahatika kupita kivuko cha Kigongo- Busisi Mkoani Mwanza, kama abiria nimekuta hali ni mbaya, ni Kero Kwa kila mtu.

Foleni ya magari ni kubwa sana, foleni ya abiria ni kubwa sana, abiria unatumia masaa mawili Hadi matatu kuvuka, magari yanatumia masaa mawili Hadi matatu kuvuka kwenda upande wa Pili.

Nimeona Kuna vivuko viwili tu ndivyo vinafanya kazi.

Pande zote mbili za kivuko ni hatari, foleni kubwa mno, magari ni mengi, hali hii inachosha sana kwetu abiria, hatujui tatizo ni Nini, je ni uchache wa vivuko au Kuna shida kwneye uongozi?

Leo saa kumi na mbili tufika hapa kivukoni, lakini tumekuta magari ya toka Jana Bado hayajavuka, tumefanikiwa kuvuka saa tatu kamili, tumechoka sana.

Abiria wanakaa kwenye lile jumba la abiria Hadi wanachoka, Changamoto inaonekana vivuko ni vichache na mahitaji ni makubwa.

Vivuko ni kama vimelemewa, na Kasi ya hivi vilivyopo inaonekana ni ndogo, Serikali iingilie kati hii hali ya Kigongo- Busisi, inatukera sana abiria, inatukera sana wananchi.

Nimeangalia pande zote mbili za vivuko, nimekuta foleni kubwa na mdefu ya magari Tena magari ya abiria, foleni inafika Hadi milimani kwenye Barabara kuu, unakuta foleni Hadi kilometa moja urefu wake.

Hali ni mbaya sana kivukoni, watu tunachoka, inakera na kuleta hasara kwetu wananchi, maana muda ni Mali.

Serikali ifungue Daraja la Magufuli watu tupite hii hali ya kivuko inatuchosha sana.
kwani daraja halijaanza?
 
Back
Top Bottom