Bila bila
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 22,168
- 39,118
Hii ni kauli isiyosahaulika toka Kwa Mwenyekiti wa 4 wa CCM na Rais wa awamu ya 4 wa Tanzania Dr Jakaya Mwisho Kikwete aliyoitoa mwaka 2010 kuelekea uchaguzi Mkuu wa mwaka huo.
Alitoa kauli hiyo kuonyesha Jinsi ilivyo ngumu kudeal na Tundu Lissu kama kiongozi mpinzani kuliko yeyote akiwemo Dr Wilbroad Slaa. Kwa maana halisi Dr Kikwete alikuwa tayari kupoteza Utais na kubaki Mwenyekiti wa Chama chake Taifa kuliko kuongoza serikali itakayokosolewa Bungeni na na nje ya Bunge na Mh.Tundu Antipus Mugwayi Lissu.
Kinachotushangaza wengi Kwa Sasa eti kuna wanaCCM wanaombea Tundu Lissu huyo huyo awe Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa badala ya Freeman Aikael Mbowe.
Naamini Wapinzani ndo walipaswa kushabikia hili na si wanaCCM, lakini Kwa vile wamepofuka na wako tayari kushabikia chochote kuhalalisha posho haramu wanazolipwa kuchafua mitandaoni, tuseme Acha Lissu aje, na wote tuseme "AMINA".
Alitoa kauli hiyo kuonyesha Jinsi ilivyo ngumu kudeal na Tundu Lissu kama kiongozi mpinzani kuliko yeyote akiwemo Dr Wilbroad Slaa. Kwa maana halisi Dr Kikwete alikuwa tayari kupoteza Utais na kubaki Mwenyekiti wa Chama chake Taifa kuliko kuongoza serikali itakayokosolewa Bungeni na na nje ya Bunge na Mh.Tundu Antipus Mugwayi Lissu.
Kinachotushangaza wengi Kwa Sasa eti kuna wanaCCM wanaombea Tundu Lissu huyo huyo awe Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa badala ya Freeman Aikael Mbowe.
Naamini Wapinzani ndo walipaswa kushabikia hili na si wanaCCM, lakini Kwa vile wamepofuka na wako tayari kushabikia chochote kuhalalisha posho haramu wanazolipwa kuchafua mitandaoni, tuseme Acha Lissu aje, na wote tuseme "AMINA".