Wamekusikia watalifanyia kazi [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Wanawake wa mjini tupunguze series za wanaume, unajikuta una mwanaume wa 15 bado unawaza kuolewa.
Hawa vijana wa mjini hawaoi bora umkamate lizee hapo uwe mke wa pili au watatu kuliko kuhesabu series na episode za vijana wa pinga ndoa.
Bora nimkamate mzee niwe second wife au third au muendelee kuhesabu series?
Wengine watasema si lazima kuolewa mbona series zinakuandama?
Kona ya Bwiru
Siyo kwa seremani nassoro?Wanawake wa mjini tupunguze series za wanaume, unajikuta una mwanaume wa 15 bado unawaza kuolewa.
Hawa vijana wa mjini hawaoi bora umkamate lizee hapo uwe mke wa pili au watatu kuliko kuhesabu series na episode za vijana wa pinga ndoa.
Bora nimkamate mzee niwe second wife au third au muendelee kuhesabu series?
Wengine watasema si lazima kuolewa mbona series zinakuandama?
Kona ya Bwiru
Eti wanasema wanasubiri wewe uolewe first halafu waje kuwa second kwa Mume wako.Wanawake wa mjini tupunguze series za wanaume, unajikuta una mwanaume wa 15 bado unawaza kuolewa.
Hawa vijana wa mjini hawaoi bora umkamate lizee hapo uwe mke wa pili au watatu kuliko kuhesabu series na episode za vijana wa pinga ndoa.
Bora nimkamate mzee niwe second wife au third au muendelee kuhesabu series?
Wengine watasema si lazima kuolewa mbona series zinakuandama?
Kona ya Bwiru
Anakuwa na huyu kwa mategemeo ya kumuoa,haoi,anaenda kwa mwingine hamuoi,anaenda kwa mwingine hamuoi,bora lizeeSasa wanaume 15 wote wa nini jamani.
Ndo mwanzo wa mikosi na majanga.
Mda mwingine kuwa na mwanaume mmoja ni afya.
Tukirudi kwenye topic
hiyo hatua ya kukamata lizee na kuwa mke wa pili au wa tatu ni final stage.
Nachukia sana vijana ambao wanapenda dy/dx. Kwanini ukatafute lizee wakati bado una uwezo wa ku mshape your boy..
Zoo f. k you na lizee lako hilo.
π¬π¬π¬π¬π¬π¬π¬π¬π¬π¬π¬π¬
Akili tu mda mwingine....Anakuwa na huyu kwa mategemeo ya kumuoa,haoi,anaenda kwa mwingine hamuoi,anaenda kwa mwingine hamuoi,bora lizee
kwahyo kwako cha muhimu ni bora kuwa na status ya kuolewa haijarishi uyo mume mtadumu kwa kipind gan.Si bora mjane kuliko wa kataa ndoa,anakutumikisha kingono halafu hakuoi
Wenye wazee wao ngoja wajeWanawake wa mjini tupunguze series za wanaume, unajikuta una mwanaume wa 15 bado unawaza kuolewa.
Hawa vijana wa mjini hawaoi bora umkamate lizee hapo uwe mke wa pili au watatu kuliko kuhesabu series na episode za vijana wa pinga ndoa.
Bora nimkamate mzee niwe second wife au third au muendelee kuhesabu series?
Wengine watasema si lazima kuolewa mbona series zinakuandama?
Kona ya Bwiru