Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
Ndio wewe ndio wa ku shape boy wako awe vile unavotakaMimi ndo nimjenge anioe?????
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio wewe ndio wa ku shape boy wako awe vile unavotakaMimi ndo nimjenge anioe?????
Kuna wengine imani yao haiwaruhusu kuwa mke wa 2 au wa 3. Ushauri kwa hawa ni upi? Au waendelee kuchakatwa tuu?Hawa vijana wa mjini hawaoi bora umkamate lizee hapo uwe mke wa pili au watatu kuliko kuhesabu series na episode za vijana wa pinga ndoa.
Mkuu Usitupeperushie Ndege Tafadhari.
Ndege yupi mkuuMkuu Usitupeperushie Ndege Tafadhari.
Chukua mama hiyo chaaap anapenda wazee kama TASAF
Namsubiri Hapa Kama Hatojali Awe Mke Wa Nne Mwisho Wa Mwaka Tucheze SebeneChukua mama hiyo chaaap anapenda wazee kama TASAF
Kila la heri mzee ukichelewa kuna mzee mwenzako Grahams huwa achezi mbali.N
Namsubiri Hapa Kama Hatojali Awe Mke Wa Nne Mwisho Wa Mwaka Tucheze Sebene
Huyo anampenda sana mkewe awezi mpandisha cheo.Kuna Comrade Ushimen Ndio Na Wasiwasi Nae
😂😂😂Huyo anampenda sana mkewe awezi mpandisha cheo.
Mzee toa mafao hayo huku duniani kuna watoto wa afu mbili ni hatari sio wa kukosa.Na umri huu nawezea wapi hayo mambo Mkuu 😅?
Mzee wenu nimebaki kucheza na Wajukuu tu hapa nyumbani baada ya kustaafu utumishi miaka Kenda iliyopita 😜
Mitaa ya Royal hospital.Mkuu unapatikana kona ya Bwiru hapo mitaa ya Diamond au mitaa ya the Dream kama unapanda kwenda Kitangiri??