Bora Episode au mke wa pili na watatu!

Bora Episode au mke wa pili na watatu!

Kwani kuolewa ni nini? Kipi kipya ambacho hujawahi fanya ila utakifanya ukiolewa?

Hapo ukute ushatoa mimba zaidi ya 5 na umegongwa na wanaume 15+. Jua ya kwamba hao wanaume wote wamekuoa na kukuacha. Tatizo lenu mnatengeneza definition zenu na maana yenu kuhusu kuolewa.

Maana harisi ya kuoa/kuolewa ni kutiana.
 
Hawa vijana wa mjini hawaoi bora umkamate lizee hapo uwe mke wa pili au watatu kuliko kuhesabu series na episode za vijana wa pinga ndoa.
Kuna wengine imani yao haiwaruhusu kuwa mke wa 2 au wa 3. Ushauri kwa hawa ni upi? Au waendelee kuchakatwa tuu?
 
lekaji bhagosha!....shida mnadate mabisho,hamtaki sura za kaz ambazo ndo waoaji!
 
Na umri huu nawezea wapi hayo mambo Mkuu 😅?

Mzee wenu nimebaki kucheza na Wajukuu tu hapa nyumbani baada ya kustaafu utumishi miaka Kenda iliyopita 😜
Mzee toa mafao hayo huku duniani kuna watoto wa afu mbili ni hatari sio wa kukosa.
 
Back
Top Bottom