Bora Hayati Dkt. Magufuli, haya yamerudi tena!

Mpuuzi kweli wewe. Huna jipya kazi yako kuja na utoto jukwaani alafu hujui hata kuandika huna shule kichwani. Hao maelfu ya watu walio uwawa uliwaona? Kutwa unakomenti upuuzi wa kikobazi.
Ni kwa sababu hakuna ulichopoteza kwenye uvamizi. Mzigo wa mwenzako kwako ni ganda la usufi.

Mambo yangu ni ya kitoto , mtaendelea kuyapata hayo mambo ya kijiutuzima kwa kuja kulalamika JF .

Kumbuka karma itaendelea kuwatafuna mpaka mtapojutia mliyoyafanya na kuomba radhi.

Dua ya mwenye kudhulumiwa hairudi
 
Mpuuzi kweli wewe. Huna jipya kazi yako kuja na utoto jukwaani alafu hujui hata kuandika huna shule kichwani. Hao maelfu ya watu walio uwawa uliwaona? Kutwa unakomenti upuuzi wa kikobazi.
Nakusaidia kumshangaa.

Anachanganya dini na siasa. Hawa jamaa dini mbele ya kila kitu kama vile Znz ni Theocratic badala ya Democratic.

Anasema Nyerere aliuwa anasahau kupitia dini yake hiyo Sultan Jamshid alikuwa akipasua mimba (kikatili) za Watumbatu hadharani kweupe ili watoto wake waone mtoto anavyolala tumboni alafu anatupa mizoga ya maiti!

Anasahau kwamba Ikulu ya Znz nguzo zake zimeshikiliwa na maiti za Wakojani, Wangazija na Wanyamwezi waliofukiwa humo kwa zege!? Karma itaanza na wao Mahizbu Mawakala wa Sultani.

Hayo hapo juu pia Nyerere ndiyo aliyafanya au alileta mapinduzi kuyatokomeza?

Huyo Hizbu anataka wangeendelea kuwa chini ya utawala dhalimu wa Sultani?

Nchi inalipiwa hata bili ya umeme na bara! Bajeti yake sawa na bajeti ya Azam FC! Alafu hawana shukurani! Mshukuruni Magufuli kuwapa Dr. Mwinyi ili awanyooshe mpate maendeleo.

TRA ikikusanya pesa zinatumika hadi kwao Znz wakati ZRA ikikusanya mapato hakuna mgawo unaoletwa bara, Baghosha!
 
Chifu anashindana kunya tu pale magogoni hakuna cha ziada
 
Kenya wamefanya uchunguzi wamegundua mizigo inayotoka China ni mingi ila inayolipiwa kodi ni michache
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…