To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
We ndo mtamu sasašUjue nini, mtu hunivutia kutokana na swaga zake tu, siyo lazima nione msura wala nini, yaan nakujikuta nnakuwa shabiki wake, sijui nipoje tu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We ndo mtamu sasašUjue nini, mtu hunivutia kutokana na swaga zake tu, siyo lazima nione msura wala nini, yaan nakujikuta nnakuwa shabiki wake, sijui nipoje tu!
Haya ndo madini ya comments nnazopenda mie. Mungu tena.We ndo mtamu sasaš
š¤£š¤£š¤£š¤£ Imebaki kupractise tu....alaaaHaya ndo madini ya comments nnazopenda mie. Mungu tena.
100% uwezekano huo upo ndani ya wanawake kuna wanaofaa kuwa wake nao ni wachache na ni bahati KUWAPATA, hao ndio wenye hizo sifa... Nakurudia kusema "WAPO" Sijisifii akiwemo mke wangu kipenz Mama Abby, "Kuoa au kuelewa skuiz ni sawasawa na Kubet tu" Unaweza ukala au ukaliwa... Ni kumtanguliza Mungu akupe macho ufanye chaguo sahihi usiliweKuna uwezekano wa kumpata mtu mwenye hivi vyote