SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Sukuma Gang mna hasira sana mlidhani yule mungu wenu mwovu aliyeko motoni sasa ameimaliza Chadema,nyomi la Jana Arusha limewakera sana mtamaliza matusi yote lakini ndiyo mwisho wenu. Huku Msoga Gang wamewamaliza na huku Chadema inawazika kabisaKuna watu wanakimbilia nchi za ughaibuni wakifika huko ndio wazoa takataka majalalani waosha vyombo migahawani wazibua vyoo vya wazungu hafu wakija huku wanawaletea dharau watanzania wenzao
Lema kwa kazi ya kufugwa na wazungu ni bora ungebaki bongo uwe chawa wa wazungu
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app