Bora kuwa huru ukiendesha bodaboda Tanzania kuliko kuwa mfagia vyoo wa Canada

Bora kuwa huru ukiendesha bodaboda Tanzania kuliko kuwa mfagia vyoo wa Canada

Kuna watu wanakimbilia nchi za ughaibuni wakifika huko ndio wazoa takataka majalalani waosha vyombo migahawani wazibua vyoo vya wazungu hafu wakija huku wanawaletea dharau watanzania wenzao

Lema kwa kazi ya kufugwa na wazungu ni bora ungebaki bongo uwe chawa wa wazungu
Mshahara wa fundi Bomba pale Ubalozi wa Canada,ni milioni 2.1kwa mwezi,hiyo haikatwi Kodi,Kuna bima ya afya,mikopo,na safari za kwenda ulaya kwa familia,huwezi kulinganisha na upuuzi wa bodaboda,
Uhuru unaouzungumzia wa hapa bongo?huwezi kuwa huru kwenye umaskini,polisi wanawasumbua,vibaka wakitsfutwa,bodaboda ndio wa kwanza kutafutwa,
Walio huru ni wale walio na kipato.
Wamarekani weusi wanalia Lia kila leo kwamba wanqbaguliwa,lakini hawapo tayari kuamia Afrika!!ulaya ni ulaya tu.
 
Mshahara wa fundi Bomba pale Ubalozi wa Canada,ni milioni 2.1kwa mwezi,hiyo haikatwi Kodi,Kuna bima ya afya,mikopo,na safari za kwenda ulaya kwa familia,huwezi kulinganisha na upuuzi wa bodaboda,
Uhuru unaouzungumzia wa hapa bongo?huwezi kuwa huru kwenye umaskini,polisi wanawasumbua,vibaka wakitsfutwa,bodaboda ndio wa kwanza kutafutwa,
Walio huru ni wale walio na kipato.
Wamarekani weusi wanalia Lia kila leo kwamba wanqbaguliwa,lakini hawapo tayari kuamia Afrika!!ulaya ni ulaya tu.
True
 
Bodaboda ni kazi ya watu walioshindwa kabisa kujitengenezea maisha bora, haifanani na hizo kazi nyingine kabisa.

Bodaboda ni matokeo ya ukosefu wa viwanda, mfumo mbovu wa elimu, miondombinu mibovu ya barabara na reli na uduni wa kipato.
Sasa sote tukiwa wanasiasa nani atakuwa bodaboda? Nani atakuwa mwalimu? Nani atakuwa nurse? Nani atakuwa mwanasheria? N.k. Ifike sehemu tuheshimu kazi ya kila mmoja. Tunategemeana.
 
3B Ni mtaji wa kuanzisha usafiri wa Anga?? Dogo acha kutulisha matango pori 3B hupati hata Bus 7 za marcopolo G7 huo usafiri wa Anga ni upi wa 3B?
We huna akili, mtu anaweza kukodi au kuwa share na makampuni makubwa, sijasema amenunua ndege isipokuwa ana mtaji wa 3B, mtaji ni akili yako mwenyewe na siyo cash
 
We huna akili, mtu anaweza kukodi au kuwa share na makampuni makubwa, sijasema amenunua ndege isipokuwa ana mtaji wa 3B, mtaji ni akili yako mwenyewe na siyo cash
Sawa sina akili ila we kichwa unatumia Kama mfuko wa kubebea meno siku ukijua unachoongea utajiona ni jinsi gani ulikua mpumbavu
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Mf kwa US mtu asiye mvivu hawezi kosa 100 kwa siku
Kwa mwezi hakosi 2000 ambazo ni sawa na 4.7mil

Na hapo amefanya kazi kwa siku 20 pekee

Akitoa matumizi yote hawezi kosa 1mil cash

Kibongo bongo wachache sana
4M kwa mwezi kwa maisha ya USA ni hela ndogo sana mzee ukifanya mchezo utafanya kazi miaka 6+ na unarudi bongo na raba pea mbili tu
 
Je unajua rate ya maisha ya huko Ughaibuni na kulingana na kile anacholipwa huyo mfagia vyoo wa Canada?

Je unajua kiwango cha kodi anachokatwa kila mwezi kufidia gharama za jamii anazopokea mlipwaji?

Acha ujinga wa kukomenti usichokielewa kwa kina.

Mtu anaekula maisha ni anayeishi developing country halafu akawa anapata kipato kwa strong currency labda USD

Ukiwa unaishia Tz na ukawa una earn labda $4500 kwa mwezi wewe una maisha mazuri, ila
sio kule ughaibuni hapo ni mlala hoi

Kuna mcanada mmoja akawa anasema kama 100K unapata Mansion Africa bora ahame aje huku[emoji28]
 
Huyo mfagia vyoo wa Canada anatengeneza hata mara 10 ya mshahara wa mfanyakazi wa serikali ya Samia.
Hata atengeneze Bilioni siwezi kushika mavi ya Wazungu inaondoa utu na hadhi yangu .

Ndio maana kakonda 😁😁
 
Sasa sote tukiwa wanasiasa nani atakuwa bodaboda? Nani atakuwa mwalimu? Nani atakuwa nurse? Nani atakuwa mwanasheria? N.k. Ifike sehemu tuheshimu kazi ya kila mmoja. Tunategemeana.
Bila kusahau nani atasafisha mavi ya Wana Canada kama sio Lema 🤪🤪
 
Bodaboda ni kazi ya watu walioshindwa kabisa kujitengenezea maisha bora, haifanani na hizo kazi nyingine kabisa.

Bodaboda ni matokeo ya ukosefu wa viwanda, mfumo mbovu wa elimu, miondombinu mibovu ya barabara na reli na uduni wa kipato.
Walioshindwa wanafanya mlioshinda muonekane.
 
Back
Top Bottom