SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Sukuma Gang mna hasira sana mlidhani yule mungu wenu mwovu aliyeko motoni sasa ameimaliza Chadema,nyomi la Jana Arusha limewakera sana mtamaliza matusi yote lakini ndiyo mwisho wenu. Huku Msoga Gang wamewamaliza na huku Chadema inawazika kabisaKuna watu wanakimbilia nchi za ughaibuni wakifika huko ndio wazoa takataka majalalani waosha vyombo migahawani wazibua vyoo vya wazungu hafu wakija huku wanawaletea dharau watanzania wenzao
Lema kwa kazi ya kufugwa na wazungu ni bora ungebaki bongo uwe chawa wa wazungu
Huku anayeosha vyombo tu analipwa dollar 20 kwa saa moja, zidisha masaa nane kwa siku halafu jiulize kwa mwezi anakunja sh ngapi na hapo bado ana benefits kibao kutoka kwa mwajiri wake na serikali ya canada.. sitaki kukwambia nafanya kazi gani hapa canada ila nakunja dola 52 kwa saa sasa jipigie hesabu ... kabla hujaaandika jambo tafuta taarifa zake kwanza.. hiki ulichoandika inadhihirisha wazi kuwa Tanzania ina wajinga wengi sana hata kama elimu wanazo nashauri badilisheni zile rangi za benderaa..Kuna watu wanakimbilia nchi za ughaibuni wakifika huko ndio wazoa takataka majalalani waosha vyombo migahawani wazibua vyoo vya wazungu hafu wakija huku wanawaletea dharau watanzania wenzao
Lema kwa kazi ya kufugwa na wazungu ni bora ungebaki bongo uwe chawa wa wazungu
Loosers jobHakuna mtu anafanya kazi ya bodaboda Kwa mapenzi yake
Wengi wao ni hakuna kitu kingine cha kufanya
Mbona ROMA harudii kama wenzie [emoji23] jokes tuKuna watu wanakimbilia nchi za ughaibuni wakifika huko ndio wazoa takataka majalalani waosha vyombo migahawani wazibua vyoo vya wazungu hafu wakija huku wanawaletea dharau watanzania wenzao
Lema kwa kazi ya kufugwa na wazungu ni bora ungebaki bongo uwe chawa wa wazungu
Mosi ughaibuni mkimbizi wa siasa za udhalimu na uuaji kama za Mwendazake hutunzws kwa heshimaKuna watu wanakimbilia nchi za ughaibuni wakifika huko ndio wazoa takataka majalalani waosha vyombo migahawani wazibua vyoo vya wazungu hafu wakija huku wanawaletea dharau watanzania wenzao
Lema kwa kazi ya kufugwa na wazungu ni bora ungebaki bongo uwe chawa wa wazungu
Je unajua rate ya maisha ya huko Ughaibuni na kulingana na kile anacholipwa huyo mfagia vyoo wa Canada?Huyo mfagia vyoo wa Canada anatengeneza hata mara 10 ya mshahara wa mfanyakazi wa serikali ya Samia.
Usafiri wa anga kwa 3B ?Ficha ujinga wako labda usafiri wa ungo.3B ni dola milioni 1 na nusu unafungua biashara ya usafiri wa anga????Ulivyo chizi umekalia ubea, Lema amepata capital ya 3B kuanzisha usafiri wa anga, 3B hata muuzwe ukoo wenu wote hamuwezi kufikia hicho kiasi
Ujaishi ulaya ndio maana unaongea tu.Je unajua rate ya maisha ya huko Ughaibuni na kulingana na kile anacholipwa huyo mfagia vyoo wa Canada?
Je unajua kiwango cha kodi anachokatwa kila mwezi kufidia gharama za jamii anazopokea mlipwaji?
Acha ujinga wa kukomenti usichokielewa kwa kina.
Kwahiyo unajivunia kuwa third world country?Je unajua rate ya maisha ya huko Ughaibuni na kulingana na kile anacholipwa huyo mfagia vyoo wa Canada?
Je unajua kiwango cha kodi anachokatwa kila mwezi kufidia gharama za jamii anazopokea mlipwaji?
Acha ujinga wa kukomenti usichokielewa kwa kina.
Nyumbani ni nyumbani tu. Hata kuweje.Kuna watu wanakimbilia nchi za ughaibuni wakifika huko ndio wazoa takataka majalalani waosha vyombo migahawani wazibua vyoo vya wazungu hafu wakija huku wanawaletea dharau watanzania wenzao
Lema kwa kazi ya kufugwa na wazungu ni bora ungebaki bongo uwe chawa wa wazungu
Hela siyo mwisho wa mahitaji ya mtu. Ona bandiko langu Na. 34.Huyo mfagia vyoo wa Canada anatengeneza hata mara 10 ya mshahara wa mfanyakazi wa serikali ya Samia.
Hivi wewe unadhani vyoo vya huko ni sawa na vya kwenu! Huku kwetu vyoo vyote ni harufu kali za mkojo na ngama ndiyo sababu vinajengwa mbali na nyumba kubwa, msafisha choo ni mtu muhimu sana kuliko wewe mpiga domo kijiweni, hata hivyo Lema si saizi yako kwani anskoweza kuingia wewe huthubutu hata kuugusa mlango.Kuna watu wanakimbilia nchi za ughaibuni wakifika huko ndio wazoa takataka majalalani waosha vyombo migahawani wazibua vyoo vya wazungu hafu wakija huku wanawaletea dharau watanzania wenzao
Lema kwa kazi ya kufugwa na wazungu ni bora ungebaki bongo uwe chawa wa wazungu
Haya ni maoni yako na una haki ya kusikilizwa bila kubezwa, maana hata Malawi ujafika, leave alone Canada, kwa hiyo unatakiwa kuchukuliwa tu hivyo hivyo.
Mtiti wa jana umekuumiza eeehh weka barafu ipowe....Kuna watu wanakimbilia nchi za ughaibuni wakifika huko ndio wazoa takataka majalalani waosha vyombo migahawani wazibua vyoo vya wazungu hafu wakija huku wanawaletea dharau watanzania wenzao
Lema kwa kazi ya kufugwa na wazungu ni bora ungebaki bongo uwe chawa wa wazungu