Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
Wadau kutokana na kuwahi ibiwa Tv zangu za Samsung mara 3 nyakati tofauti tofaut sasa nmeamua kuachana na kununua TV.
Sasa nawaza kununua Projector. Naomba ushauri kwa projector ya kufaa kwa ajili ya kuangalizia movie. Nahitaji Full HD, iwe 4K, 3D ,High Resolution.
But katika hayo yote naomba wataalamu mtufafanulie vizuri. Tukianzia na hilo wazo la kununua projector badala ya TV. sabab projector ni mobile so ntaweza ihamisha isiwe inalala Sebuleni.
But pia nimeona EBAY wakiuza projectors mpaka kwa usd 100 na zipo za chini ya hiyo Usd 100. Walio na uzoefu wa kuagiza mizigo Ebay wanipe ushauri pia.
Nawakaribisha wataamu akiwepo Chief-Mkwawa
Sasa nawaza kununua Projector. Naomba ushauri kwa projector ya kufaa kwa ajili ya kuangalizia movie. Nahitaji Full HD, iwe 4K, 3D ,High Resolution.
But katika hayo yote naomba wataalamu mtufafanulie vizuri. Tukianzia na hilo wazo la kununua projector badala ya TV. sabab projector ni mobile so ntaweza ihamisha isiwe inalala Sebuleni.
But pia nimeona EBAY wakiuza projectors mpaka kwa usd 100 na zipo za chini ya hiyo Usd 100. Walio na uzoefu wa kuagiza mizigo Ebay wanipe ushauri pia.
Nawakaribisha wataamu akiwepo Chief-Mkwawa