tabibumtaratibu
JF-Expert Member
- May 29, 2011
- 2,414
- 1,215
Habari wana MMU
Imenisikitisha sana, nilikua nipo sehemu ya watu wengi wake kwa waume, wengi tumejitenga kwa vikundi vikundi, pembeni ya kundi letu kulikua na kundi la wanawake wanne, wanajadili mambo Yao tena kwa sauti kubwa, mara nikasikia, "kwa wanaume waskuiz shost bora msagaji tu......ka mine wangu saiv amenichosha, yani kimoja tu...hata hakinifikish popote,ILA Kuna dada mmoja anasaga huyo yani ad mume wangu simtamani tena..."
Mmh hali ni mbaya kwa kweli wanaume inaonekana tumeshindwa kazi ad wanawake wanasaidiana wenyewe kwa wenyewe ama?
Au tatizo ni nini?
Karibuni tujadili
Imenisikitisha sana, nilikua nipo sehemu ya watu wengi wake kwa waume, wengi tumejitenga kwa vikundi vikundi, pembeni ya kundi letu kulikua na kundi la wanawake wanne, wanajadili mambo Yao tena kwa sauti kubwa, mara nikasikia, "kwa wanaume waskuiz shost bora msagaji tu......ka mine wangu saiv amenichosha, yani kimoja tu...hata hakinifikish popote,ILA Kuna dada mmoja anasaga huyo yani ad mume wangu simtamani tena..."
Mmh hali ni mbaya kwa kweli wanaume inaonekana tumeshindwa kazi ad wanawake wanasaidiana wenyewe kwa wenyewe ama?
Au tatizo ni nini?
Karibuni tujadili