tabibumtaratibu
JF-Expert Member
- May 29, 2011
- 2,414
- 1,215
- Thread starter
- #121
umeona eehni shidaaa.. .wanawake kwa wanawake.. wanaume kwa wanaume ngoma droo!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
umeona eehni shidaaa.. .wanawake kwa wanawake.. wanaume kwa wanaume ngoma droo!!
I think am an alien. I never seem to have anything to complain about when it comes to sex.
Watu tunatafuta pesa bana wacha wasagane...wala sijitesi kupiga mabao mengii.
Acha wanawake tusemwe! Sleeping around causes psychological problems, which might hinder sexual pleasure. Sasa mtu anajaza coaster mbili za maex, unategemea nini?
naona ii imekaa kifalsafa zaidiKutwa kusugua miguu na kusogea na jua.
Hata ukimwambia ainame apige deki utasikia ushuzi tu. Anamngojea atoke huko alikoshindia hasira ya bosi na foleni ili aje ampe haki ya ndoa.
Haya kazi kwenu.
anaonekana amekubuhu
AMA KWELI mankachara USIMLAUMU MKWEZI NAZI IMELIWA NA MWEZINa uo mchezo wa usagaji ameshauzoea
Habari wana MMU
Imenisikitisha sana, nilikua nipo sehemu ya watu wengi wake kwa waume, wengi tumejitenga kwa vikundi vikundi, pembeni ya kundi letu kulikua na kundi la wanawake wanne, wanajadili mambo Yao tena kwa sauti kubwa, mara nikasikia, "kwa wanaume waskuiz shost bora msagaji tu......ka mine wangu saiv amenichosha, yani kimoja tu...hata hakinifikish[/red] popote,ILA Kuna dada mmoja anasaga huyo [color=]yani ad mume wangu simtamani tena..."
Mmh hali ni mbaya kwa kweli wanaume inaonekana tumeshindwa kazi ad wanawake wanasaidiana wenyewe kwa wenyewe ama?
Au tatizo ni nini?
Karibuni tujadili
asante mkuu wakati mwingine ntaandika kama nafanya mtihani vile.....Mh! Kazi ipo. Umeona maneno niliyowekea rangi nyekundu hayo? Jitahidi kuandika vizuri wakati mwingine.
me naona inaelekea pabaya, au sijui ndo imeshafika pabaya.....sielewi...:wacko:Sodoma Na gomoraa hiyoooo.,,,sijui dunia inaelekea wapi jamani!!
tatizo ni wanaume kupungukiwa nguvu za kiume au ni wanawake kuzidiwa na nguvu za kike?!!! Nadhani tatizo liko pande zote mbili. Wanawake wa siku hizi wanaume inabidi kujipanga haswaaa maana ashiki zimewazidi hawa wanawake.
Huyo mshenzi tuu wa tabia na Hana malezi, ivi unaanzaje kumkashif mumeo mbele za wenzio, Kama bao moja tuu basi na yeye pia sio mwanamke wa kisawa sawa, ampe nyama tamu ya ulimi, ampoke mume akirudi kazini, a ulize siku ya mwenzie ilikwendaje? Amliwaze, ampumbaze am chombeze, ampikie amuandalie, yy mwenyewe awe msafi anukie Kama Udi au manukato mazuri, hatoki huyo, mwambie arudi unyagoni asilaumu bure kosa lake mwenyewe, ndio mana nyumba ndogo zina pewa kila kitu sababu wanajitumaaa.....
"The truth is hard to swallow when you're choking on your pride."
Aisee mwanamke akija kwangu ajipange kwa kupagawa...ma x plus niliye naye wameishia kupepwa achilia mbali kiyoyozi..in short nakamua pia mdude wenyewe umejaaa ukisimama ni mishipa tu inaonekana!! kama kuna mwanamke yeyote anataka picha aje pm
Habari wana MMU
Imenisikitisha sana, nilikua nipo sehemu ya watu wengi wake kwa waume, wengi tumejitenga kwa vikundi vikundi, pembeni ya kundi letu kulikua na kundi la wanawake wanne, wanajadili mambo Yao tena kwa sauti kubwa, mara nikasikia, "kwa wanaume waskuiz shost bora msagaji tu......ka mine wangu saiv amenichosha, yani kimoja tu...hata hakinifikish popote,ILA Kuna dada mmoja anasaga huyo yani ad mume wangu simtamani tena..."
Mmh hali ni mbaya kwa kweli wanaume inaonekana tumeshindwa kazi ad wanawake wanasaidiana wenyewe kwa wenyewe ama?
Au tatizo ni nini?
Karibuni tujadili