JT2014
JF-Expert Member
- Jan 18, 2014
- 1,863
- 1,368
Nadhani shida hiyo inasababishwa na mambo mawili"Masterblation" ni shideer
domo zege na ugumu wa maisha,kwa sababu watu wanaogopa kuoa wanahamia kwenye sabuni.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nadhani shida hiyo inasababishwa na mambo mawili"Masterblation" ni shideer
Mambo mengine tunajitakia tu kwa kwelitusipoolewa ooh nna nuksi kelele mingi ndoa tunazitafuta kama sindano kwenye mchanga, tukiolewa ndo hivo tena hatueleweki kama papuchi...
Ndo maana tunasaidiwa...Mambo mengine tunajitakia tu kwa kweli
Ndo maana tunasaidiwa...
mapepo ndo nini?utaoanishaje kitu halisia na kitu cha kufikirika?vibamia vinasingiziwa sana, wanawake wengine ni mapepo tu yanawaongoza
mapepo ndo nini?utaoanishaje kitu halisia na kitu cha kufikirika?
yanipate kutokea wapi kunipeleka wapi?jibu swali acha kukoroga hoja..ngoja yakupate ndo utayajua vizur
yanipate kutokea wapi kunipeleka wapi?jibu swali acha kukoroga hoja..
Inaelekea huyo keshazoea hayo mambo ndio maana anamuona mwenzie hawezi tena kumshughulikia
Shida ni moja huyo mwanaume kabla ya ndoa alikuaje?
Mwanamke mwingine keshapitia miti mia kidogo,anakuja kukutana na baba wa watu kibamia watawezana kweli?
..lakini kwa upande wa pili hicho kibamia ni size ya mwanamke mwingine..
Mwisho wa siku ndo kuwaza kusagana badala ya kufanya mazoezi ya kubana misuli..
Unaweza ukawa tatizo na uishie kuhukumu wengine.
Huyo mshenzi tuu wa tabia na Hana malezi, ivi unaanzaje kumkashif mumeo mbele za wenzio, Kama bao moja tuu basi na yeye pia sio mwanamke wa kisawa sawa, ampe nyama tamu ya ulimi, ampoke mume akirudi kazini, a ulize siku ya mwenzie ilikwendaje? Amliwaze, ampumbaze am chombeze, ampikie amuandalie, yy mwenyewe awe msafi anukie Kama Udi au manukato mazuri, hatoki huyo, mwambie arudi unyagoni asilaumu bure kosa lake mwenyewe, ndio mana nyumba ndogo zina pewa kila kitu sababu wanajitumaaa.....
"The truth is hard to swallow when you're choking on your pride."
Watu tunatafuta pesa bana wacha wasagane...wala sijitesi kupiga mabao mengii.
Uyo mwanamke kwanza hana adabu, itakuaje akatangaze nje aibu ya mumewe
Wanataka kuhalalisha na vile wanavyoita neck massage. Kazi ipo
There are no desperate situations, there're only desperate people.
Tatizo ni wanaume kupungukiwa nguvu za kiume au ni wanawake kuzidiwa na nguvu za kike?!!! Nadhani tatizo liko pande zote mbili. Wanawake wa siku hizi wanaume inabidi kujipanga haswaaa maana ashiki zimewazidi hawa wanawake.
Acha wafanye yao, nijichoshe mabao3 daily na kazi yangu kubeba mizigo unadhani nitawezaje? Na nikishindwa kazini hamna chapaa unadhani atakulaje maisha gharama si atatoka kisingizio siachi hela ya matumizi nataka kutunzwa km jike! Fanya vyovyote kutoka atatoka na lawama palepale! We kausha acha asagwe akichoka ataacha..