Wee utakuwa mwanaume wa kwqnza kutozitaka mbususuNafurahia hali yangu mkuu, wala sizitaki.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wee utakuwa mwanaume wa kwqnza kutozitaka mbususuNafurahia hali yangu mkuu, wala sizitaki.
Kuna age ukifika sex is not interesting anymore, sijui labda nimeshafika huko🤣Wee utakuwa mwanaume wa kwqnza kutozitaka mbususu
Narudia tena u r not normalKuna age ukifika sex is not interesting anymore, sijui labda nimeshafika huko🤣
Utakuwa na high libido wewe, kwani huwezi kukaa mwezi bila bila?Narudia tena u r not normal
Mwezi tena...mie wiki simalizi bila kuchovya asaliUtakuwa na high libido wewe, kwani huwezi kukaa mwezi bila bila?
Hii ni style ya uandishi mzee, ujumbe wote upo kwenye heading mzee, usikimbilie kumlaumu mleta madaHii thread umeandika ukiwa juu ya boda boda maana ni inadunda dunda sio poa
Hukutuambia ''marehemu ndoa'' amefariki akiwa na umri gani mkuu?Zamani kabla ya kuingia ndoani nikiona watu wanaachana nilikuwa najiuliza hivi inawezekanaje mtu amuache mkewe au mumewe waliooana kwa bashasha zote, weee!! Kumbe ulikuwa ni utoto , ukikua utaacha.
Kuna ule wimbo wa darasa unasema " Tembea ujionee Dunia imebeba mengi".
Kweli Kabsaa Dunia imebeba mengi.
Watu hawafanani, hatuwezi kuhukumu kwa ujumla, lakini ukiona amezingua jitoe tu kwa Amani ya nafsi na ya moyo, usiyabebe maumivu kwa miaka mingi , ni hatari kwa afya yako ya akili.
Afadhali ya ugali matembele kwenye Amani kuliko wali nyama vitani.
Sitaki kuleta ushuhuda ila naendelea kuinjoy.
Sio mkumbo mkuu,pale mwanzoni ndoa huwa ina raha sana,kuna kitu ambacho huwa hatuambiwi tunapoingia kwenye ndoa.Unapongia kwenye ndoa kiroho unakuwa umeingia vitani na shetani moja kwa moja,sasa ni vizuri kama mtakuwa vizuri kiroho,lakini kama mnaishi kienyeji na kufikiri kuwa mtaweza kumshinda shetani kwa kutumia akili zenu za kawaida lazima ujuwe atawayumbisha vibaya sana.Fanya research kidogo utagundua kuwa ndoa nyingi ambazo zina migogoro hakuna uwepo wa Mungu,wahusika hawaishi sawasawa na mapenzi ya Mungu....
Christian men and women are not allowed to divorce for any reason (Matt 19:3–8; Mark 10:6–9; 1 Cor 7:10–13, 17, 27)Mbona dvorce ipo meanswane
Unakuta unakumbuka ungekula tu wali nyama liwalo na liwe ...😂🙌Ugali tembele kwenye Amani mara gafla M23 hawa hapa booom💥💥
Kama upo 20s au 30s ni sawa, ila ukishapanda ghorofa ya nne mambo yanaanza kubadilika.Mwezi tena...mie wiki simalizi bila kuchovya asali
Mie mbona nipo 46 na naona bado sijala mbususu zakutosha.Kama upo 20s au 30s ni sawa, ila ukishapanda ghorofa ya nne mambo yanaanza kubadilika.
Unachekesha sana bwashe🤣🤣🤣Mie mbona nipo 46 na naona bado sijala mbususu zakutosha.
Anyways labda becoz mie nilianza kula mbususu age 25
Kivipi....kweli mie mbususu nimeanza kula nina miaka 25. So inabidi nifidieUnachekesha sana bwashe🤣🤣🤣
Lawama iko wapi!?Hii ni style ya uandishi mzee, ujumbe wote upo kwenye heading mzee, usikimbilie kumlaumu mleta mada