Mama Sabrina
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 16,620
- 27,589
- Thread starter
- #81
Wameniudhi shunie[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wameniudhi shunie[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
SawaKufweni na mautamu yenu[emoji2] [emoji2] [emoji2]
Hehehe inamaana hata baba Sabrina sio mwanaume kumbe!Masikini akakuacha uandamane pekeako mpaka ukapigwa teke la kalioni dah[emoji24] ..Hebu mlipizie kisasi kwakunikabidhi kalio nilichue mama sabrina wangu[emoji8]Hakika tumeanguka sana tumeshindwa kuandamana yaan hii nchi hakuna wanaume kabisa sijui ,yajayo yanahudhunisha kabisa,kuna mikoa tulitegemea lazima kinuke kama Mwanza,Dar,Arusha,Mbeya,Musoma lakin kote kimyaa tumeogopa police ,mi nilipigwa teke moja nikakimbilia na kulala kabisa maana hakuna mtu barabarani ,,wale wanasiasa wanaofungwa fungwa hivi si mgejitokeza na nyie yaan hakuna mtu wa karibu wa kujitoa sadaka akaongoza maandamano,basi tunawashukuru watanzania diaspora kwa kuonesha kutusapoti maana nyie mpo kwenye nchi zenye social service nzuri japo hamkujitokeza kwa wingi sana kama tulivyotegemea lakin mmeweza sisi huku hata kuthubutu hatujaweza na mikwara ya wajeda na police kazi kweli
Lakin kungekuwa hata na vichwa vitano tu vikisimama na kuamsha dude nadhani ingekuwa poa lakin nadhani maandamano pia ni gharama kunatakiwa baadhi ya kikundi kijitoe haswaaa basi tuwe tunakodi hata waarabu jamani wanaume wa Tz waoga
Basi nawaomba wale mnaokujaga huku na mikwara yenu oooh mnaandika upuuzi tu na kujifanya nyie mna akili mtukomeee muende kwenye majukwaa mengine maana hata nyie hatujawaona hata mkiandamana lakin mkija humu jf wakali wakali na kujifanya mnajua kila kitu
Mtuache kina ,mama Sabrina tuendeleze kuchatika,kungonoka na story za mapenzi tena na nyie washauri nasaha mje tu huku maana hamuwezi lolote
Kujifanya kule siasani kupiga kelele tu
Yaaan acha tuHehehe inamaana hata baba Sabrina sio mwanaume kumbe!Masikini akakuacha uandamane pekeako mpaka ukapigwa teke la kalioni dah[emoji24] ..Hebu mlipizie kisasi kwakunikabidhi kalio nilichue mama sabrina wangu[emoji8]
Poleee sana mama hiv ndivyo watanzania tulivyo[emoji116]Yaaan acha tu