Bora nipate ukimwi kuliko kuniambia una mimba yangu

Ntamwaga nje

hivi hadi leo kuna mtu anaweza akamwambia mpenziwe namwaga nje na akamuamini/kubali?...wajikinge kwa njia nyingine kama wameamua kufanya bila kinga...kumwaga nje mchezo? mtu kakukakamalia kifuani anapatia wapi uwezo za kumwaga nje?
 


huyo dada bado hajajuaga bla bla za wanaume tu?
 
fidel uko wapi najua utakuwa wa kwanza jamani karibuni

Hehehehe unajua watu tunaogopa majukumu sana ya kulea vibabies ndo maana utakuta mtu anaruka vihunzi balaa hata nyie wanawake mnaogopa sana kuzaa nje ya ndoa lakini wapo wanaume wanao penda sana kusikia G/F wake mjamzito lakini yote haya unapo mega kavu kavu unategemea nini?
Swadakta mimba inaogopwa sana kuliko ukimwi.
 
mnawapata wanaowaamini, mie nilikuwa siamini m2 kwenye hayo mambo.

Unajua haya mambo ni uwezo wa n'tu binafsi ukiamini nafsi yako unaweza kwa sisi wazee wa Valeur usiombe ukutane na huo mkiki mkiki ni balaa inaweza ikawa 4 in 1 umeelewa?
 
inaonyesha raia wengi hatufanyi ngono iliyo salama hahahahahaaa huyu anayeogopa mimba anaona bora ukimwi kaniacha hoi ..
 
Unajua haya mambo ni uwezo wa n'tu binafsi ukiamini nafsi yako unaweza kwa sisi wazee wa Valeur usiombe ukutane na huo mkiki mkiki ni balaa inaweza ikawa 4 in 1 umeelewa?


unanilazimisha nikuelewe....
 
hivi hadi leo kuna mtu anaweza akamwambia mpenziwe namwaga nje na akamuamini/kubali?...wajikinge kwa njia nyingine kama wameamua kufanya bila kinga...kumwaga nje mchezo? mtu kakukakamalia kifuani anapatia wapi uwezo za kumwaga nje?

Inawezekana sana! Na tuna i-practice sana tu
 
kuna mambo huwa siyaelewi duniani, nadhani hili ni mojawapo.
 





Naona kaka unaenda nje ya fikra zako mwenyewe, Nenda katembelee ward ya wagonjwa wa HIV/AIDS, then nenda ward ya wajawazito halafu ulinganishe na maneno yako, kngne watu waruka Ujauzto wao according to the records of their spouses, kama nkruka njia unakua ni vgumu kkbali. Mwingne anaweza akakuambia ujauzto n wakwako ktokana unauwezo wa kumtimizia mahitaji yake lakini ujauzito huo sio wako wa jamaa mwingine.
 
Hasiende wodin huyo anaweza kupoteza network, amtembelee jiran yake tu mwenye HIV ambae ameanza kuchokachoka kidogo atajua mimba OYEE AU HV OYEE



Naomba umkaribishe aje ashuhudie mwenyewe, asngoje kuambiwa!!!!!!!!!!!
 
Inaonekana wote hawajatulia..... Hajachelewa... Tell her to Flash it!!!
 
Inaonekana wote hawajatulia..... Hajachelewa... Tell her to Flash it!!!




Heeeeeeeeeeeeeeeeee, we mtu wewe umetoka usngzini nini, ushauri gani huo unaoutoa???? Naona unapenda kuuwa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!1
 
Inaonekana wote hawajatulia..... Hajachelewa... Tell her to Flash it!!!



Unatufndsha nini waumin wako? Coz wanadini wanakataza even to use Condom thn wewe unashauri akaflash, ASKOFU GANI WEWE,nenda ukatubu/Kaungame kwanza
 
wanaume wa siku hizi bwana! lakini na sisi wanawake ndo tukome.....utaishiji na mtu hamjafunga ndoa!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…