Ntamwaga nje
Mwanajamii hapa unanifurahisha ile mbaya maana naona km hawa watu unawafaham, dume nasikia ndio yalikuwa majibu yake hayo tutalea bwana my darling, leo yalaaah bora nipate UKIMWI aaah dume hili kimeo kweli jamani! miaka 4 mnadate tena ktk serious relationship bado uogope mimba uone bora UKIMWI
fidel uko wapi najua utakuwa wa kwanza jamani karibuni
hivi hadi leo kuna mtu anaweza akamwambia mpenziwe namwaga nje na akamuamini/kubali?...?
Hii njia nuzir sana Nyamayao mm nimeitumia sana kipindi cha nyuma huko
mnawapata wanaowaamini, mie nilikuwa siamini m2 kwenye hayo mambo.
Unajua haya mambo ni uwezo wa n'tu binafsi ukiamini nafsi yako unaweza kwa sisi wazee wa Valeur usiombe ukutane na huo mkiki mkiki ni balaa inaweza ikawa 4 in 1 umeelewa?
hivi hadi leo kuna mtu anaweza akamwambia mpenziwe namwaga nje na akamuamini/kubali?...wajikinge kwa njia nyingine kama wameamua kufanya bila kinga...kumwaga nje mchezo? mtu kakukakamalia kifuani anapatia wapi uwezo za kumwaga nje?
Hehehehe unajua watu tunaogopa majukumu sana ya kulea vibabies ndo maana utakuta mtu anaruka vihunzi balaa hata nyie wanawake mnaogopa sana kuzaa nje ya ndoa lakini wapo wanaume wanao penda sana kusikia G/F wake mjamzito lakini yote haya unapo mega kavu kavu unategemea nini?
Swadakta mimba inaogopwa sana kuliko ukimwi.
unanilazimisha nikuelewe....
inaonyesha raia wengi hatufanyi ngono iliyo salama hahahahahaaa huyu anayeogopa mimba anaona bora ukimwi kaniacha hoi ..
Hasiende wodin huyo anaweza kupoteza network, amtembelee jiran yake tu mwenye HIV ambae ameanza kuchokachoka kidogo atajua mimba OYEE AU HV OYEE
Inaonekana wote hawajatulia..... Hajachelewa... Tell her to Flash it!!!
Inaonekana wote hawajatulia..... Hajachelewa... Tell her to Flash it!!!
Du, there are people who still dont know how precious babies are.Inaonekana wote hawajatulia..... Hajachelewa... Tell her to Flash it!!!
wanaume wa siku hizi bwana! lakini na sisi wanawake ndo tukome.....utaishiji na mtu hamjafunga ndoa!?