Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mwambie rafiki yako hivi kama kweli kabeba mimba
Mimba sio ugonjwa na wala sio mwisho wa maisha ..kuna watu wanalilia watoto hata kwa dawa ili wawapate lakini hawapati ng'o
atulie tuli azae atunze mwanae na aacahane na huyo guberi wa kiume
you neva know bwana mungu kampangia nn katika maisha yake
jamani muache kupanda ovyo, ukimpa mimba mtu jukumu la kulea ni lako. Jihadharini
kila mtoto na riziki yake eh?
akina nyie uzao wa adamu mnavyojua kuruka
mnakwepa majukumu ..wakati wa perfomance mnaona raha matokeo yanapotokea karaha
hapa sijaelewa kama unashangaa ama unataka nikujibu 😉
LOL Hapo FL1 naomba isomeke "tunaona raha" ili kuondoa dhana kwamba anayeona raha ni mmoja tu (mwanaume). raha waijua lakini?🙄
naenda kupika nitakujibu kesho eti eeeh nikumbusheBoth... Kama hutajali😉
sawa kaizer tunaona raha matokeo yanapotokea nyie mnakimbia majukumu
sawa kaizer tunaona raha matokeo yanapotokea nyie mnakimbia majukumu
sasa kwanini mnafanyaga matuc bila kinga jamani na mnajua hampo tayari kwa matunda?.....huyu mkaka atakuwa ana wake wa moyoni wewe ulikuwa wa mdomoni tu.
Mimi naona ni muhimu kuisoma dhati ya jamaa juu yako kwanza kama umeamua kupata mimba.Miaka minne ni muda wa kutosha kabisa kujua mienendo ya jamaa kama ana nia ya kuwa nawe kweli au anataka kampani tu.Hata akiwa anaficha vipi ukiwa mjanja utamjua tu kama yuko tayari kulea mtoto au hata kukuoa.
Kinadada tuanze kuwasoma vizuri wanaume kabla ya kuji commit na kuhusu kutumia kinga(condom)basi tuwe na ujasili wa kusema HAPANA kama hataki manake majuto ni mjukuu.Mtu anakudanganya,anakuharibia future yako halafu anatokomea zake huko
Miaka minne bado ni midogo sana......ila kutumia condom ni muhimu sana, sema wadada zetu hamzipendi eti hamsikii utamu man ikizivaa!
sasa kwanini mnafanyaga matuc bila kinga jamani na mnajua hampo tayari kwa matunda?.....huyu mkaka atakuwa ana wake wa moyoni wewe ulikuwa wa mdomoni tu.
Sasa anaogopa kitu gani huyu mwanaume?Kibweka hawa ni watu wazima wote, gumegume linaloogopa mimba lina 36 na dada ana 28, hakuna cha kunyea ndoo hapa
no condom no sex!
Shemeji yangu ZD huyu FISI anaogopa mimba kuliko UKIMWI kama nimeielewa thread vizuri. Ajabu "Tanzania Bila UKIMWI inawezekana kweli kwa hali hii?"Hakuna mtu hapo.Mshauri rafiki yake aachane na huyo mwanaume haraka sana kabla hayajamkuta makubwa zaidi,asijifanye kipofu wa mapenzi wakati dalili mbaya keshaziona,hapo wa kupewa ukimwi ni yeye na wala sio huyo mwanaume anayejifanya anaogopa ukimwi.
Kaka Masa kumbe unafaa sana kwenye mapambano dhidi ya UKIMWI eeh. Nitawashauri TACAIDS wakuchukue kama Balozi wa UKIMWI. HongeraHahahahah hapo nimekusoma! Nimeishakufahamu na kukubalina nawe 100% Kuna demu zamani aliisha niambia yaani Masa siku zote hizo unanivalia condom unaniona mimi malaya eeehhhh......hapo kumbuka demu aliishakuwa wet ile sehemu na mimi mihemu iko juu....! Unajua nilimwambia nini? Nina wasi wasi na afya yangu na hawezi pima kwa macho....demu akasisitiza haina shida nzi kufia kwenye kidonda.....nilishauri meichi ihaihirishwe kama hataki condom kwa vizingizio hanifeel sijui zinamuumiza....
Wadada pendeni kutumia condom ama toeni tiGo msisingizie watu mimba!