Bora nipate ukimwi kuliko kuniambia una mimba yangu

Kaka Masa kumbe unafaa sana kwenye mapambano dhidi ya UKIMWI eeh. Nitawashauri TACAIDS wakuchukue kama Balozi wa UKIMWI. Hongera

Mpwa Sipo

Ila yataka ujasiri sana kama ni demu mpya mmmmmhhhhh wazamani uliye mzoea ni easy.....!
 
eeehe,we firstlady umeolewa au?
 
Kaka Masa kumbe unafaa sana kwenye mapambano dhidi ya UKIMWI eeh. Nitawashauri TACAIDS wakuchukue kama Balozi wa UKIMWI. Hongera

Eh na TACAIDS watamchukua na ushauri wa Tigo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…