Kaka Masa kumbe unafaa sana kwenye mapambano dhidi ya UKIMWI eeh. Nitawashauri TACAIDS wakuchukue kama Balozi wa UKIMWI. Hongera
Mmmh!! Please do not take this advise to your friend, i beg you. LOL!Mletee Ukimwi kweli tusikie atatoa kauli gani tena..
Kweli Mpwa anaweza kukimbia uchiMpwa Sipo
Ila yataka ujasiri sana kama ni demu mpya mmmmmhhhhh wazamani uliye mzoea ni easy.....!
eeehe,we firstlady umeolewa au?
eeehe,we firstlady umeolewa au?
Kaka Masa kumbe unafaa sana kwenye mapambano dhidi ya UKIMWI eeh. Nitawashauri TACAIDS wakuchukue kama Balozi wa UKIMWI. Hongera
Eh na TACAIDS watamchukua na ushauri wa Tigo?