Bora nipigwe mawe lakini sitarudia tena kufanya mapenzi na wanawake wavaa mawigi

Umeongea kitu cha maana sana mkuu

Lakin naongeza wananuka had vikwapa
 
Hivi wewe ni shoga?
Kwanini mkuu unataka kunikosea heshima kias hicho

Kama mtu unamuchukia si unakaa mbali tu kiongoz

Yanini mazarau kama hayo kamanda

Au wewe ndo shoga unajitangaza kupitia mgongo wangu ili wakufate huko pm? Bas subir watakuja
 
Pole sana mkuu
 
Haha [emoji23]
Kutwa mwawasifia hao, hebu muache unafiki basi
 
Akivua wigi tu anajua kutmbana..??
 
Mie nilidhani ni ushamba kumbe kuna wengine kama mie,juu ya kua mwanamke ila wig hua halinifurahishi,nilikua napenda sana kusuka rasta ila nyewele zangu mara zinafumka,na mara ya mwisho nikaenda kusuka kwa Wamasai
walivyonifanyia vituka niliapa sitosuka tena rashta wala nini ntabakia na hizi hizi zangu..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…