Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii story tamu sana nikitoka kazini napitia hapa baada ya mawazo ya January kuniendesha sanaUmeshafika🙌😂
Shukrani sanaPole Boss
Mzee amemzingua bintiStory nzuri, inafunzo ndani yake, inaumiza lakini kuna sehemu inatia moyo hasa kwa hiyo commitment binti aliyoionyesha kwa huyo mzee, najaribu kuwaza kama huyu mzee angekua hana ukimwi afu yuko single huyu binti alikua anamfaa sana adse
Anyway that's life
Lakucha vincenzo na mshamba_hachekwiShukrani sana
Vyema kujihami kama unaweza nje kunatisha na hapatabiriki. Na ukweli baadhi hufanya makusudi kwa kudhamiria na wengine ni kutokujali mana si wote wenye kujua afya zao mpaka waskie kuna sehemu waliyopita imelipuka ndo hujihisi na wao tayari.Naomba kuuliza sii kwa ubaya
Hivi mtu km huyu mzee ni mgonjwa au wengine wenye tabia za hivi inakuwa wanafanya makusudi ilihali anajua afya yake ni changamoto dhidi ya mwingine ambaye sio......
Ninunue kile kifaa kabisa kisikosekane kwenye begi huku nje ni kubaya
Shukrani bossVyema kujihami kama unaweza nje kunatisha na hapatabiriki. Na ukweli baadhi hufanya makusudi kwa kudhamiria na wengine ni kutokujali mana si wote wenye kujua afya zao mpaka waskie kuna sehemu waliyopita imelipuka ndo hujihisi na wao tayari.
Ok bei zake zipoje za hivyo vifaaKuna kile cha kuweka damu na kingine kipya cha kuweka kwenye fizi.
Mimi napenda hiki cha pili sababu naogopa sindano.
Alafu Mzee Yuko makini na malezi ya binti ake na hafichi hiloMzee amemzingua binti
Amewakilisha wazazi wote wanaoharibu maisha ya watoto wa watu
Yule dada muhusika pia alishindwa kumsoma huyo mzee afu ukizingatia ana binti ambaye ni age mate nadhani udhaifu wake ulianza hapo..,..Pia mzee amepata bahati ya kua na binti anayejitambua
Leta kigongo,huku tukisherehekea ushindi wa Tundu.Pia mzee amepata bahati ya kua na binti anayejitambua
Umwambie kisa chake knatoa elimu,especially kwa sisi vijana tunaoanza kuanzisha familiaSawasawa subiri niandike mwendelezo.
Najitahidi kuandika kwa code ili hata Tina akifuma huu uzi asome bila kunijua ila afikirie tu hiki kisa kinafanana na chake😂