Habari za Jumapili,
Sera ya nchi tunaambiwa "HAPA KAZI TU"
Mimi ni kibarua katika kampuni moja hivi ya simu za mikononi lakini mnajua maana ya kibarua unaweza ukaamka ukaambiwa "your no longer" huna kazi! Hakuna mkataba wa kudumu.
Na pia nina ada kabisa ya ya kulipia chuo college diploma miaka yote 3. Je nipige shule chini nibaki na kazi pamoja na biashara niwekeze katika
kununua mazao niweke ndani maana mwezi wa kwanza na wa pili nipige bao la maana?
Sijawahi kuona sera inayosema shule shule kwanza.
Fursa2017