Bora Taifa liwe na Rais kama Hayati Magufuli kuliko kuwa na Rais anayeruhusu maandamano ‘uchwara’ huku ufisadi ukitamalaki

Bora Taifa liwe na Rais kama Hayati Magufuli kuliko kuwa na Rais anayeruhusu maandamano ‘uchwara’ huku ufisadi ukitamalaki

Ok tumeandamana Mwanza, Dar Mbeye na Arusha nini cha maana taifa limepata?

Kuingilia msafara wa Biteko ?

Leo hii hali ni mbaya sana. Maana pesa za umma zinachotwa hovyo na hakuna cha maana kikifanyika.

Mpaka waziri mkuu Majaliwa anazunguka nchi nzima kuibua madudu. Mbona wakati wa JPM haya tuliyasahau? Pamoja alizuia maandamano lakini taifa lilinufaika.
Chinja chinja mnaumia sana amani ikitawala
 
Ok tumeandamana Mwanza, Dar Mbeye na Arusha nini cha maana taifa limepata?

Kuingilia msafara wa Biteko ?

Leo hii hali ni mbaya sana. Maana pesa za umma zinachotwa hovyo na hakuna cha maana kikifanyika.

Mpaka waziri mkuu Majaliwa anazunguka nchi nzima kuibua madudu. Mbona wakati wa JPM haya tuliyasahau? Pamoja alizuia maandamano lakini taifa lilinufaika.

Kuandamana na wajibu wa viongozi kuwawajibisha wabadhirifu ni vitu viwili tofauti.

Bora ya waandamanaji wamefanya sehem yao kuliko ambaye hajachukua hatua kwenye linalopaswa kuchukuliwa hatua.
 
Ok tumeandamana Mwanza, Dar Mbeye na Arusha nini cha maana taifa limepata?

Kuingilia msafara wa Biteko ?

Leo hii hali ni mbaya sana. Maana pesa za umma zinachotwa hovyo na hakuna cha maana kikifanyika.

Mpaka waziri mkuu Majaliwa anazunguka nchi nzima kuibua madudu. Mbona wakati wa JPM haya tuliyasahau? Pamoja alizuia maandamano lakini taifa lilinufaika.
Wewe huna akili ndani ya kivuli cha Chadema
 
Ok tumeandamana Mwanza, Dar Mbeya na Arusha nini cha maana taifa limepata?

Kuingilia msafara wa Biteko ?

Leo hii hali ni mbaya sana. Maana pesa za umma zinachotwa hovyo na hakuna cha maana kikifanyika.

Mpaka waziri mkuu Majaliwa anazunguka nchi nzima kuibua madudu. Mbona wakati wa JPM haya tuliyasahau? Pamoja alizuia maandamano lakini taifa lilinufaika.
We ni sawa tu na hawa wanawake wasioridhika.
 
Ok tumeandamana Mwanza, Dar Mbeya na Arusha nini cha maana taifa limepata?

Kuingilia msafara wa Biteko ?

Leo hii hali ni mbaya sana. Maana pesa za umma zinachotwa hovyo na hakuna cha maana kikifanyika.

Mpaka waziri mkuu Majaliwa anazunguka nchi nzima kuibua madudu. Mbona wakati wa JPM haya tuliyasahau? Pamoja alizuia maandamano lakini taifa lilinufaika.
Mkuu kulalamika bila kuweka ushahidi wa kilichochotwa na mhusika wake ni mawenge tu ya ndoto za alinacha za masalia ya Sukuma Gang!

Kuna mtu aliye wahi kukwapua kiasi kikubwa kwa wakati mmoja shaaaaa kwenye historia ya Tanzania kama Mwendazake! Shilingi trilioni 1.5 kwa mujibu wa CAG!

Nani aliye wahi kuibia watu mchana kweupeee kama Mwendazake, rejea hela za kitambulisho cha machinga! Michango ya Tetemeko la kagera na uporaji wa Bereau de change Arusha!

Ama kweli Sukuma Gang ni wasahaulifu balaa! Halafu unaleta maneno mengi!
 
Wewe ni mshenzi tu kama washenzi wenzio. Magufuli aliyezuia wizi kutangazwa anakuwa wa maana kuliko anayetabgaza Wezi? Kama kuna kipindi nchi imeibiwa enzi za Jiwe zimevunja rekodi. 1.5T mpaka CAG anashikiwa mtutu halafu linajitokeza Chawa linasema hakukuwa na ufisadi? Makonda na makontena yake alikamatwa enzi za Nyerere?
1.5 Tillion ni uwongo,,
 
viongzoi wa Chada wesema suala la ufisadi kwao siyo muhimu
 
Ok tumeandamana Mwanza, Dar Mbeya na Arusha nini cha maana taifa limepata?

Kuingilia msafara wa Biteko ?

Leo hii hali ni mbaya sana. Maana pesa za umma zinachotwa hovyo na hakuna cha maana kikifanyika.

Mpaka waziri mkuu Majaliwa anazunguka nchi nzima kuibua madudu. Mbona wakati wa JPM haya tuliyasahau? Pamoja alizuia maandamano lakini taifa lilinufaika.
Zile hela ulizokwapua kule Chadema ulizitumia vibaya ulifikiri hazitakwisha? Hela imekata na CCM nao hawakupi tena posho umebaki kubweka bweka kama mbwakoko. Uza makalio sasa pimbi wewe
 
We jamaa maisha yako yote utaishi kwa tabu sana mifumo huijui lkn unaleta harakati za pimbi kutaka iendeshwe unavotaka wewe😁vp zle harakati zako kwa Palestine zimezaaa matunda?
 
Back
Top Bottom