Mambo vip wakuu, kwema? Kuna mchongo wa kuzamia Hispania au Italy kusaka maisha (kwa wale wanaopenda kwenda abroad either kusoma, kutafuta kazi..) Hasa Spain ndo uhakika zaidi ..ila changamoto iliyopo ni kwamba pale Spain embassy wanataka atleast mtu mwenye umri wa kuanzia miaka 30 hivi na mimi nina 25 sasa ..so kama kuna raia Yuko interested mwenye na umri huo anicheki pm nimpe maelekezo nini cha kufanya.
Kama tukifanikiwa hata mwezj ujao yani October tunaeza sepa tu ..hapa bongo jua kali, ajira hakuna mitaji nayo haikui ..wazee wa vitengo wanakaba kinoma ukianzisha ka biz kako hakana ata miezi miwili tiyari washatia timu ..wanataka chao ..
Bora tusepe zetu mbele tukabebe ata box tu fresh..
Nipo siriyaz wakuu wakike na kiume..
Mara unasema umeomba visa ubalozi wa Spain Bongo ukaambiwa hadi uwe na 30 yrs. Now unasema upo Spain. Which is which ?
SOON KUNA WATU WATAPIGWA NA KULIZWA NA HUU UPEPO WA KISULISULI!!!Mambo vip wakuu, kwema? Kuna mchongo wa kuzamia Hispania au Italy kusaka maisha (kwa wale wanaopenda kwenda abroad either kusoma, kutafuta kazi..) Hasa Spain ndo uhakika zaidi ..ila changamoto iliyopo ni kwamba pale Spain embassy wanataka atleast mtu mwenye umri wa kuanzia miaka 30 hivi na mimi nina 25 sasa ..so kama kuna raia Yuko interested mwenye na umri huo anicheki pm nimpe maelekezo nini cha kufanya.
Kama tukifanikiwa hata mwezj ujao yani October tunaeza sepa tu ..hapa bongo jua kali, ajira hakuna mitaji nayo haikui ..wazee wa vitengo wanakaba kinoma ukianzisha ka biz kako hakana ata miezi miwili tiyari washatia timu ..wanataka chao ..
Bora tusepe zetu mbele tukabebe ata box tu fresh..
Nipo siriyaz wakuu wakike na kiume..
Waje kumpa mwongozo.
Life popote mzee ..Kila mtu anaona jinsi anavyoweza..Yaani kama umeshindwa kuwin, kwenye ardhi rafiki...!!
Ndio utaweza kuwin, kwenye ardhi ngeni....?!!
"ACHENI KUDANGANYANA VIJANA"
Kazi uku zipo mingi sana endapo utaacha ubishoo ..Sema korona ndo imezingua ..ila job zipo mingi tuWacha kupotosha watu....we fikiria mtu unatoka hapa Tanzania kwenda hizo nchi tajwa una elimu ya Tanzania au hauna elimu yeyote....unakwenda kufanya kazi gani kule ikiwa huko kuna wazungu wamesoma mpaka chuo kikuu hawana kazi?
Ukiwa Risk taker izo ni changamoto tu ..ubaguzi upo adi uku bongo mzeespain chukwenzwe tu stat wa villareal anabaguliwa itakuwa mimi Italy balotelli super star wao anabaguliwa mimi ni nani?
Ni kujilipua tu mkuu ..kwenda kihalali ni long process..Utapeli wa miaka ya nyuma unarejea, unaenda kuomba visa ya kusoma Spain, unajua Spanish?
Vip bro ulifanikiwa kupata? Au kwenda uko?Nia ninayo na nikijipanga nikawin nitakujulisha, ila kwa kweli sijisikii kabisa kwenda Yuropa, akili yangu imelalia Tasmania, New Zealand au Australia
Na ndio wanaoongoza kufa kwa Corona nyuma ya USItaly na Spain kote njaa Kali halafu kuna ubaguz was hatari
Kama bado upo bongo kuna connection la arabuni mkuu. Yemen, Qatar tena World Cup 2022 apo..Nia ninayo na nikijipanga nikawin nitakujulisha, ila kwa kweli sijisikii kabisa kwenda Yuropa, akili yangu imelalia Tasmania, New Zealand au Australia
Sikusafiri wazee ..hapa niliongopa, ila niliwapa watu connection wakasepa.Amna utapeli wowote ..nmesafiri na jamaa wawili ..tuko Spain apa.. ndgu zangu wana familia na mim sikutaka mweny familia..
Sijaenda popote bado nipo bongo. Ila insha Allah mwakani naondoka.Sasa kama upo Spain,unashindwa nini kwenda Sweden?Wakati hakuna control kwenye mipaka ndani ya Schengen ?
Wewe ni muongo. You don't have credibility to tell us anything.Sikusafiri wazee ..hapa niliongopa, ila niliwapa watu connection wakasepa.
Sasa hivi napiga kifaransa hapaAnza kozi ya kihispaniola au kiitaliano kwanza kabla hujafikiria kwenda huko...
Wewe vip wewe kwani spain wanafundwa/fundisha kwa lugha moja tuUtapeli wa miaka ya nyuma unarejea, unaenda kuomba visa ya kusoma Spain, unajua Spanish?
Mipango ipo. Sikai kizembe mimi, watu wapo Spain mdada na chali mmoja wanapiga kazi mimi siyo agent ni koneksheni tu.Wewe ni muongo. You don't have credibility to tell us anything.
Go kiss your ass