Bora tusepe zetu Hispania & Italy

spain chukwenzwe tu stat wa villareal anabaguliwa itakuwa mimi Italy balotelli super star wao anabaguliwa mimi ni nani?
 


Wacha kupotosha watu....we fikiria mtu unatoka hapa Tanzania kwenda hizo nchi tajwa una elimu ya Tanzania au hauna elimu yeyote....unakwenda kufanya kazi gani kule ikiwa huko kuna wazungu wamesoma mpaka chuo kikuu hawana kazi?
 
SOON KUNA WATU WATAPIGWA NA KULIZWA NA HUU UPEPO WA KISULISULI!!!
 
Yaani kama umeshindwa kuwin, kwenye ardhi rafiki...!!
Ndio utaweza kuwin, kwenye ardhi ngeni....?!!

"ACHENI KUDANGANYANA VIJANA"
 
Wacha kupotosha watu....we fikiria mtu unatoka hapa Tanzania kwenda hizo nchi tajwa una elimu ya Tanzania au hauna elimu yeyote....unakwenda kufanya kazi gani kule ikiwa huko kuna wazungu wamesoma mpaka chuo kikuu hawana kazi?
Kazi uku zipo mingi sana endapo utaacha ubishoo ..Sema korona ndo imezingua ..ila job zipo mingi tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nia ninayo na nikijipanga nikawin nitakujulisha, ila kwa kweli sijisikii kabisa kwenda Yuropa, akili yangu imelalia Tasmania, New Zealand au Australia
Kama bado upo bongo kuna connection la arabuni mkuu. Yemen, Qatar tena World Cup 2022 apo..
 
Amna utapeli wowote ..nmesafiri na jamaa wawili ..tuko Spain apa.. ndgu zangu wana familia na mim sikutaka mweny familia..
Sikusafiri wazee ..hapa niliongopa, ila niliwapa watu connection wakasepa.
 
Wewe ni muongo. You don't have credibility to tell us anything.


Go kiss your ass
Mipango ipo. Sikai kizembe mimi, watu wapo Spain mdada na chali mmoja wanapiga kazi mimi siyo agent ni koneksheni tu.

Fuata mambo yako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…