OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,569
- 24,812
- Thread starter
- #61
Sasa unangoja nini..?? Nini kimekukwamisha..??Sijafanikiwa bado nambwelambwela maisha tight hatari sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa unangoja nini..?? Nini kimekukwamisha..??Sijafanikiwa bado nambwelambwela maisha tight hatari sana
Huna lolote wewe kiazi.Sasa unangoja nini..?? Nini kimekukwamisha..??
Hahaha unazingua mkuu.Huna lolote wewe kiazi.
Umejibanza kwenu ngarenaro uswahilini unakula vumbi
Wee tulia kama ulivyo endelea kuwa na negativity.Mods sijui mnakunywaga uji gani.
Huyu mtu anadanganya na ana kiri hapo nimedanganya meaning credibility yake sio kabisa lakini uzi wake mnauacha.
Watu wakianzisha nyuzi hapa mnalala nazo mbele.
Au huyu ni mtu wa system???? Maana nimegundua nahisi lkn kuna watu wanaanzishaga mada hapa kututeka ili watu tuchangie wapate kujua akili za wanajamii.
Sasa uzi wa mtu kama huyu mara mi niko huku mara mi sijatimiza umri mara aaah nimedanganya kweli mnauacha wa nini?! Invisible hua na wewe unapitiaga threads hapa?!!
Pengine huna hata passportHahaha unazingua mkuu.
Aya aisee. Nshatuliza p√mb√ zanguWee tulia kama ulivyo endelea kuwa na negativity.
Passport ninayo mkuu, unanichukuliaje aise? Ukiwa na mipango kama yangu passport ni kiungo muhimu sana..Pengine huna hata passport
LBLhapa kuna harufu ya utapeli.
Am sorry for my doubts.