Bora tusepe zetu Hispania & Italy

Bora tusepe zetu Hispania & Italy

Mods sijui mnakunywaga uji gani.
Huyu mtu anadanganya na ana kiri hapo nimedanganya meaning credibility yake sio kabisa lakini uzi wake mnauacha.
Watu wakianzisha nyuzi hapa mnalala nazo mbele.
Au huyu ni mtu wa system???? Maana nimegundua nahisi lkn kuna watu wanaanzishaga mada hapa kututeka ili watu tuchangie wapate kujua akili za wanajamii.
Sasa uzi wa mtu kama huyu mara mi niko huku mara mi sijatimiza umri mara aaah nimedanganya kweli mnauacha wa nini?! Invisible hua na wewe unapitiaga threads hapa?!!
 
Mods sijui mnakunywaga uji gani.
Huyu mtu anadanganya na ana kiri hapo nimedanganya meaning credibility yake sio kabisa lakini uzi wake mnauacha.
Watu wakianzisha nyuzi hapa mnalala nazo mbele.
Au huyu ni mtu wa system???? Maana nimegundua nahisi lkn kuna watu wanaanzishaga mada hapa kututeka ili watu tuchangie wapate kujua akili za wanajamii.
Sasa uzi wa mtu kama huyu mara mi niko huku mara mi sijatimiza umri mara aaah nimedanganya kweli mnauacha wa nini?! Invisible hua na wewe unapitiaga threads hapa?!!
Wee tulia kama ulivyo endelea kuwa na negativity.
 
Back
Top Bottom