BORA UBANWE NA HAJA NDOGO/KUBWA SAFARI NDEFU?

Tatizo lenu mnafakamia mavitu hovyohovyo njiani humo mtaachaje kuhara kabla hamjafika muendapo?? Haiwezekani wew Mahindi, Mihogo, viazi, magimbi, sambusa, wali, kuku, korosho, zabibu, kababu, tende, biscuti, soda vyote vyako..!! Yani kwamba ilo tumbo limegeuka dust bin ?? Utahara tu na mi nasema Muhare
 

Umetunga?
 
Unazungumzia usafiri gani? manake kwenye usafiri nnaoupenda kote nakutana na vyoo, kuanzia boat/meli, ndege, treni.
Samahani kama sikueleweka vizuri, namaanisha hizi safari zenye highway barabarani pamoja na makondakta....Nazungumzia safari za kwenye mabasi.
 
Bora mkojo utaubana.. inafika mahali unashikwa na ganzi ..hupati vile vimaumivu vya kubana mkojo.

Lakin sasa ikushike haja kubwa.. tena uharo... mbona utaelewa... ile hata lisaa humalizi maana pressure yake huwa inatoka bila hiari yako.. unakuta tu kitu kimeshatoka..
 
Nilishuhudia Baba mtu mzima alijipupulia tukiwa safarini, abiria wakachachamaa gari ikasimama akashuka , na mbaya zaidi alishuka kituo ambacho sio chake hadi huruma yaani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…