Kenya 2022 Bora uchaguzi wa CCM kuliko wa kikabila wa Kenya

Kenya 2022 Bora uchaguzi wa CCM kuliko wa kikabila wa Kenya

Kenya 2022 General Election

Covax

JF-Expert Member
Joined
Feb 15, 2021
Posts
10,198
Reaction score
35,323
Ni me observe uchanguzi wa Kenya unao fanyika sasa hivi nchini mwao, ni hatari sana ku chochea mapigano ya wanyewe kwa wenyewe, kila mtu anapiga kura kulingana na kanda au kabila lake sio kwa hoja ya mgombea wake, kila media House yenye TV inatangaza kulingana na kabila la mliki wa hiyo TV au Radio, paka sasa hivi kila mgombea anaongoza kulingana na Tv ngani unaangalia, lakini hili ni hatari sana kwa jamii zetu zenye hisia kali za ukabila. Paka utamani uchaguzi wa CCM japo nawenyewe paka uwe roho ngumu kukubali ila hauna hatari ya kupigana wenyewe kwa wenyewe.
 
Ni me observe uchanguzi wa Kenya unao fanyika sasa hivi nchini mwao, ni hatari sana ku chochea mapigano ya wanyewe kwa wenyewe, kila mtu anapiga kura kulingana na kanda au kabila lake sio kwa hoja ya mgombea wake, kila media House yenye TV inatangaza kulingana na kabila la mliki wa hiyo TV au Radio, paka sasa hivi kila mgombea anaongoza kulingana na Tv ngani unaangalia, lakini hili ni hatari sana kwa jamii zetu zenye hisia kali za ukabila. Paka utamani uchaguzi wa CCM japo nawenyewe paka uwe roho ngumu kukubali ila hauna hatari ya kupigana wenyewe kwa wenyewe.
Kwa uchaguzi huu ukabila n motive ndogo sana inayowadrive Wakenya ..

Uhuru anamsupport Raila, ila Ruto kashinda kwa kishindo kwao na Uhuru.

BONGO HAKUNA DEMOCRACY
 
Wewe kweli ni kilaza... Ata bongo uez enda Mbeya ukagombea ww Mhaya usiejua changamoto za hapo... hata 2015 Magufuli kanda ya ziwa aliiteka Lowassa kanda ya kaskazini alichukua more than 70% hii allegetion unaitoa wap? Kwa akili ndogo kama hizi ni wazi watanzania ni vilaza sana na sio great thinker thus why hatuwez badilika... Take analysis ndio uanze kutapika utopolo wako huu
 
Kwa uchaguzi huu ukabila n motive ndogo sana inayowadrive Wakenya ..

Uhuru anamsupport Raila, ila Ruto kashinda kwa kishindo kwao na Uhuru.

BONGO HAKUNA DEMOCRACY
Uhuru anamsupport Raila kunusuru mali za familia yao walizo pora miaka ya nyuma kwa kupunguza chuki baina ya wajaluo na wakikuyu, ila wa kikuyu na wakelejini wengi hawamsupport Raila Central Kenya Raila kapata 20% tu imagine
 
Ndiyo unajua leo?😄

Kenya ukabila kwanza mengine baadae

Ndiyo shida ya kuwa na makabila makubwa machache ndani ya nchi moja

Tanzania tuna makabila 100+ ndiyo unaona kwenye uchaguzi kabila moja haliwezi kuaffect uchaguzi sababu wingi wao sio mkubwa sana.
 
Wewe kweli ni kilaza... Ata bongo uez enda Mbeya ukagombea ww Mhaya usiejua changamoto za hapo... hata 2015 Magufuli kanda ya ziwa aliiteka Lowassa kanda ya kaskazini alichukua more than 70% hii allegetion unaitoa wap? Kwa akili ndogo kama hizi ni wazi watanzania ni vilaza sana na sio great thinker thus why hatuwez badilika... Take analysis ndio uanze kutapika utopolo wako huu
Leta hoja na takwimu sio mhemuko mkuu, Tz hamna ukabila in reference to Kenya, kama hujawahi kuishi kenya just shut up Yr big mouth
 
Ni me observe uchanguzi wa Kenya unao fanyika sasa hivi nchini mwao, ni hatari sana ku chochea mapigano ya wanyewe kwa wenyewe, kila mtu anapiga kura kulingana na kanda au kabila lake sio kwa hoja ya mgombea wake, kila media House yenye TV inatangaza kulingana na kabila la mliki wa hiyo TV au Radio, paka sasa hivi kila mgombea anaongoza kulingana na Tv ngani unaangalia, lakini hili ni hatari sana kwa jamii zetu zenye hisia kali za ukabila. Paka utamani uchaguzi wa CCM japo nawenyewe paka uwe roho ngumu kukubali ila hauna hatari ya kupigana wenyewe kwa wenyewe.

Kinachofanya watanzania wasigombane sio kwa sababu ya kukosa ukabila, bali uoga uliopandikizwa kwa wananchi kutokana na aina ya siasa zilizoongoza nchi hii kwa miaka mingi. Ukondoo wa watanzania ndio sababu ya kutokutokea machafuko sio zaidi ya hapo.
 
Police wa ccm wanapiga wana siasa na makada wa chama pizani ila sio raia wakawaida kama unataka kuepuka viboko vya police usiwe mkereketwa wa vyama vya siasa utapona, piga kura yako rudi nyumbani.

Ni wajibu wa vyombo vya dola kupiga wapinzani? Hiyo ndio siasa unayojivuna nayo hapa dhidi ya ukabila wa Kenya. Sasa kama vyombo vya dola vina ubaguzi dhidi ya vyama, kuna tofauti gani na huo ukabila unaoulalamikia hapa?
 
Kinachofanya watanzania wasigombane sio kwa sababu ya kukosa ukabila, bali uoga uliopandikizwa kwa wananchi kutokana na aina ya siasa zilizoongoza nchi hii kwa miaka mingi. Ukondoo wa watanzania ndio sababu ya kutokutokea machafuko sio zaidi ya hapo.
Siasa za ujamaa za kutisha wana nchi na kuweka state suprmacy over raia, watanzania wegi wanazaliwa na uoga wa state, hata haki yao wanabembeleza wapewe, Nyerere ana mazuri na mabaya kama binaadamu wengine
 
Ni me observe uchanguzi wa Kenya unao fanyika sasa hivi nchini mwao, ni hatari sana ku chochea mapigano ya wanyewe kwa wenyewe, kila mtu anapiga kura kulingana na kanda au kabila lake sio kwa hoja ya mgombea wake, kila media House yenye TV inatangaza kulingana na kabila la mliki wa hiyo TV au Radio, paka sasa hivi kila mgombea anaongoza kulingana na Tv ngani unaangalia, lakini hili ni hatari sana kwa jamii zetu zenye hisia kali za ukabila. Paka utamani uchaguzi wa CCM japo nawenyewe paka uwe roho ngumu kukubali ila hauna hatari ya kupigana wenyewe kwa wenyewe.
Hizi vilaza za namna hii ndio ama zinakula keki ya taifa au ni low IQ to the maximum... Take analysis of Tanzania general election 2015... Kuna sehemu ipi ambayo mgombea urais wa kwao hakupata uungwaji mkono kwao.? Wewe ni mtu asie na analysis ya mambo
 
Siasa za ujamaa za kutisha wana nchi na kuweka state suprmacy over raia, watanzania wegi wanazaliwa na uoga wa state, hata haki yao wanabembeleza wapewe, Nyerere ana mazuri na mabaya kama binaadamu wengine

Sasa hapo ubora wa Tanzania sio kukosa ukabila, bali uoga wa kihistoria. Hakuna anayekubali dhuluma, mkiwa mmejipanga vizuri kikabila mnaweza kufanya jambo hata kuingia msituni.
 
Umelogwa.Bora uchaguzi wa kikabila kuliko uchaguzi wa wizi na utapel.Tanzia ni maskini kwa sababu hatujui maana ya uchaguzi.Nadhani ni mpaka tunyukane kama Kenya ili tujifunze kuwa na chaguzi huru.

Hebu just imagine jinsi shujaa alivyokuwa anakata majina wagombea wote na kukataa mawakala kisha anachukua asilimia mia ya kura 😁
Ni me observe uchanguzi wa Kenya unao fanyika sasa hivi nchini mwao, ni hatari sana ku chochea mapigano ya wanyewe kwa wenyewe, kila mtu anapiga kura kulingana na kanda au kabila lake sio kwa hoja ya mgombea wake, kila media House yenye TV inatangaza kulingana na kabila la mliki wa hiyo TV au Radio, paka sasa hivi kila mgombea anaongoza kulingana na Tv ngani unaangalia, lakini hili ni hatari sana kwa jamii zetu zenye hisia kali za ukabila. Paka utamani uchaguzi wa CCM japo nawenyewe paka uwe roho ngumu kukubali ila hauna hatari ya kupigana wenyewe kwa wenyewe.
 
Back
Top Bottom