Kenya 2022 Bora uchaguzi wa CCM kuliko wa kikabila wa Kenya

Kenya 2022 Bora uchaguzi wa CCM kuliko wa kikabila wa Kenya

Kenya 2022 General Election

Attachments

  • images (2).jpg
    images (2).jpg
    7.6 KB · Views: 4
Utaratibu wa kuwapata una demand diwani atleast awe mwenyeji wa eneo husika? Kwann asitokee kwenye jamii hiyo hiyo?
Wachagga ni isolation case nchini, hao watu ni wakabila kama ndgu zao wakenya
 
Ni me observe uchanguzi wa Kenya unao fanyika sasa hivi nchini mwao, ni hatari sana ku chochea mapigano ya wanyewe kwa wenyewe, kila mtu anapiga kura kulingana na kanda au kabila lake sio kwa hoja ya mgombea wake, kila media House yenye TV inatangaza kulingana na kabila la mliki wa hiyo TV au Radio, paka sasa hivi kila mgombea anaongoza kulingana na Tv ngani unaangalia, lakini hili ni hatari sana kwa jamii zetu zenye hisia kali za ukabila. Paka utamani uchaguzi wa CCM japo nawenyewe paka uwe roho ngumu kukubali ila hauna hatari ya kupigana wenyewe kwa wenyewe.

Hili neno ‘paka, paka’... linaashiria wewe ni kabila gani, au tuambie hii paka inamaanisha nini?
 
Wewe kweli ni kilaza... Ata bongo uez enda Mbeya ukagombea ww Mhaya usiejua changamoto za hapo... hata 2015 Magufuli kanda ya ziwa aliiteka Lowassa kanda ya kaskazini alichukua more than 70% hii allegetion unaitoa wap? Kwa akili ndogo kama hizi ni wazi watanzania ni vilaza sana na sio great thinker thus why hatuwez badilika... Take analysis ndio uanze kutapika utopolo wako huu

Lakini uliona wakitajana makabila kama huko Kenya? Watu hadi wameshindwa kwenda kufanya kampeini kwenye ngome ya meenzie! Hskuna upouzi kama huo hapa kwetu Tanzania!
 
Uhuru anamsupport Raila kunusuru mali za familia yao walizo pora miaka ya nyuma kwa kupunguza chuki baina ya wajaluo na wakikuyu, ila wa kikuyu na wakelejini wengi hawamsupport Raila Central Kenya Raila kapata 20% tu imagine

Ngoja tusubiri jogoo ataibuka nani!
 
Leta hoja na takwimu sio mhemuko mkuu, Tz hamna ukabila in reference to Kenya, kama hujawahi kuishi kenya just shut up Yr big mouth

Upo sahihi kabisa, Tabzania hatuna ukabila ndiyo maana tumeongozwa sasa na marais 5 ambapo hakuna hata kabila moja limejirudia hapo!
 
Kwa hiyo
Ni me observe uchanguzi wa Kenya unao fanyika sasa hivi nchini mwao, ni hatari sana ku chochea mapigano ya wanyewe kwa wenyewe, kila mtu anapiga kura kulingana na kanda au kabila lake sio kwa hoja ya mgombea wake, kila media House yenye TV inatangaza kulingana na kabila la mliki wa hiyo TV au Radio, paka sasa hivi kila mgombea anaongoza kulingana na Tv ngani unaangalia, lakini hili ni hatari sana kwa jamii zetu zenye hisia kali za ukabila. Paka utamani uchaguzi wa CCM japo nawenyewe paka uwe roho ngumu kukubali ila hauna hatari ya kupigana wenyewe kwa wenyewe.
Unataka kusemà Nora kinda mahera!!
 
Kinachofanya watanzania wasigombane sio kwa sababu ya kukosa ukabila, bali uoga uliopandikizwa kwa wananchi kutokana na aina ya siasa zilizoongoza nchi hii kwa miaka mingi. Ukondoo wa watanzania ndio sababu ya kutokutokea machafuko sio zaidi ya hapo.

Kwa hiyo wewe kwa uzezeta wako unatamani watanzania wagombane siyo! Unatamani kuona siku moja mtoto wako amechanwa panga la usoni siyo?
 
Upo sahihi kabisa, Tabzania hatuna ukabila ndiyo maana tumeongozwa sasa na marais 5 ambapo hakuna hata kabila moja limejirudia hapo!

Kuongozwa na marais watano wa makabila tofauti ni kutokana na nafasi yenyewe kuwa moja na muda wa kuikalia. Lakini sio lazima iwe ni dalili ya kukosekana ukabila. Ingia kwenye taasisi nyingi hasa za umma, watu huko wanapata upendeleo kutokana na kabila la mkuu wa taasisi. Labda useme ukabila wetu sio wa wazi kama Kenya.

Lakini kwa sasa tunaona upendeleo wa wazi wa kiitikadi kwenye ajira za umma. Na hili sio siri linazidi kuota mizizi.
 
Police wa ccm wanapiga wana siasa na makada wa chama pizani ila sio raia wakawaida kama unataka kuepuka viboko vya police usiwe mkereketwa wa vyama vya siasa utapona, piga kura yako rudi nyumbani.
Cheki ujinga ulioandika hapo.
 
Ni me observe uchanguzi wa Kenya unao fanyika sasa hivi nchini mwao, ni hatari sana ku chochea mapigano ya wanyewe kwa wenyewe, kila mtu anapiga kura kulingana na kanda au kabila lake sio kwa hoja ya mgombea wake, kila media House yenye TV inatangaza kulingana na kabila la mliki wa hiyo TV au Radio, paka sasa hivi kila mgombea anaongoza kulingana na Tv ngani unaangalia, lakini hili ni hatari sana kwa jamii zetu zenye hisia kali za ukabila. Paka utamani uchaguzi wa CCM japo nawenyewe paka uwe roho ngumu kukubali ila hauna hatari ya kupigana wenyewe kwa wenyewe.
Umenena vema kabisaa
 
Ni kweli siasa za Kenya zinatawaliwa sana na ukabila lakini hiyo haituzuii kukubali ukweli kwamba katika ukanda huu wao ndio wanafanya uchaguzi wenye hadhi ya kuitwa uchaguzi.

Angalia hata namna wanavyotoa matokeo, vyombo vya habari vinaruhusiwa kujumlisha matokeo kutokana na form number 34 B wanayopewa na tume ya uchaguzi.

Vyama vya siasa navyo vinaruhusiwa kufanya mahesabu yao bila bugudha na mtandao wa intaneti haufungwi kama Tanzania na Uganda wanavyofanya.

Uchaguzi unakuwa mgumu na usiotabirika kwa sababu hakuna chama kinachobebwa na serikali na polisi hawajihusishi na siasa. Wafungwa wanaruhusiwa kupiga kura sawa na wakenya walioko nje ya nchi. Kwa kweli Tanzania bila uongo Kenya wanatupa darasa kubwa sana na wako mbele yetu miaka 70+ Bravo Kenya for being a model for your authoritarian ruled neighbours.
 
Mbona dikteta Magufuli alikuwa akifanya ukabila wazi kabisa, tatizo la watanzania ni wepesi sana kusahau.

Wakati Magufuli akiwabomolea nyumba wakazi wa Kimara huku wengi wao wakiwa ni wachagga alipiga marufuku watu wa Mwanza wasibomolewe sasa kama huo haukuwa ukabila ulikuwa ni nini?
 
Ni me observe uchanguzi wa Kenya unao fanyika sasa hivi nchini mwao, ni hatari sana ku chochea mapigano ya wanyewe kwa wenyewe, kila mtu anapiga kura kulingana na kanda au kabila lake sio kwa hoja ya mgombea wake, kila media House yenye TV inatangaza kulingana na kabila la mliki wa hiyo TV au Radio, paka sasa hivi kila mgombea anaongoza kulingana na Tv ngani unaangalia, lakini hili ni hatari sana kwa jamii zetu zenye hisia kali za ukabila. Paka utamani uchaguzi wa CCM japo nawenyewe paka uwe roho ngumu kukubali ila hauna hatari ya kupigana wenyewe kwa wenyewe.
Huu ujinga mnaondelea kupandikiza kwa watanzania ipo siku utaligharimu taifa hili kwa uchu wa kutetea ujinga na uovu wa chama.

Mnajiita wachambuzi huku mkijionesha mlivyo watupu, utafifiti ukishawekwa wazi kama ule wa TWAWEZA mnaanza kudai passport za watu pengine kuwapoteza kabisa.

Ona ujinga wako ulipo,
1. Vyombo vya habari zaidi ya 6 vya Kenya kikiwemo chombo cha taifa KBC vina matokeo yenye mwelekeo unaofanana. Huo ubaguzi wa kikabila umeuchunguza wapi?

2. Citizen tv ambayo mmiliki wake ni mkikuyu Ndiyo pekee inayotoa matokeo yanayoelekea kumbeba Odinga ambaye si mkikuyu. Je hapa ubaguzi wa kikabila umeuchunguza wapi?

3. Ruto ameweza kushinda vizuri nyumbani kwao na Odinga. Je hapa napo una uchunguzi upi?

4. Raila ameshinda sehemu za pembezoni mwa nchi yaani mashariki na magharibi vijijini ambako uelewa wao wa elimu si mkubwa Sana kama ilivyo hapa kwetu kwamba mnaowaita wapinzani hupata kura nyingi mjini ambako walau kuna waliofuta ujinga wengi kama TWAWEZA walivyotafiti.

5. Mtu kupigiwa kura na watu wa nyumbani kwao ndilo linaloyegemewa kutokea kwa yule aliyeishi vizuri na wa kwao wala huu siyo ubaguzi kama unavyotaka kuaminisha watu. Yaani kwenu wakukatae halafu utake kura kusiko kwenu ni dalili ya kutokufaa.

Mwisho, embu acha kupandikiza propaganda za kizamani zinazorudisha nyuma maendeleo ya kidemokrasia na uhuru wa kweli.
 
Huu unapaswa uwe uzi kabisa na sio comment ya kumjibu huyu kilaza
Huu ujinga mnaondelea kupandikiza kwa watanzania ipo siku utaligharimu taifa hili kwa uchu wa kutetea ujinga na uovu wa chama.

Mnajiita wachambuzi huku mkijionesha mlivyo watupu, utafifiti ukishawekwa wazi kama ule wa TWAWEZA mnaanza kudai passport za watu pengine kuwapoteza kabisa.

Ona ujinga wako ulipo,
1. Vyombo vya habari zaidi ya 6 vya Kenya kikiwemo chombo cha taifa KBC vina matokeo yenye mwelekeo unaofanana. Huo ubaguzi wa kikabila umeuchunguza wapi?

2. Citizen tv ambayo mmiliki wake ni mkikuyu Ndiyo pekee inayotoa matokeo yanayoelekea kumbeba Odinga ambaye si mkikuyu. Je hapa ubaguzi wa kikabila umeuchunguza wapi?

3. Ruto ameweza kushinda vizuri nyumbani kwao na Odinga. Je hapa napo una uchunguzi upi?

4. Raila ameshinda sehemu za pembezoni mwa nchi yaani mashariki na magharibi vijijini ambako uelewa wao wa elimu si mkubwa Sana kama ilivyo hapa kwetu kwamba mnaowaita wapinzani hupata kura nyingi mjini ambako walau kuna waliofuta ujinga wengi kama TWAWEZA walivyotafiti.

5. Mtu kupigiwa kura na watu wa nyumbani kwao ndilo linaloyegemewa kutokea kwa yule aliyeishi vizuri na wa kwao wala huu siyo ubaguzi kama unavyotaka kuaminisha watu. Yaani kwenu wakukatae halafu utake kura kusiko kwenu ni dalili ya kutokufaa.

Mwisho, embu acha kupandikiza propaganda za kizamani zinazorudisha nyuma maendeleo ya kidemokrasia na uhuru wa kweli.
 
Ni me observe uchanguzi wa Kenya unao fanyika sasa hivi nchini mwao, ni hatari sana ku chochea mapigano ya wanyewe kwa wenyewe, kila mtu anapiga kura kulingana na kanda au kabila lake sio kwa hoja ya mgombea wake, kila media House yenye TV inatangaza kulingana na kabila la mliki wa hiyo TV au Radio, paka sasa hivi kila mgombea anaongoza kulingana na Tv ngani unaangalia, lakini hili ni hatari sana kwa jamii zetu zenye hisia kali za ukabila. Paka utamani uchaguzi wa CCM japo nawenyewe paka uwe roho ngumu kukubali ila hauna hatari ya kupigana wenyewe kwa wenyewe.
Kakojoe ulale
 
Back
Top Bottom